Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasubiri.Hahahhaha yangu nitakusimulia pm
Ila naruhusiwaNot too far,
poa sana za kwakoMambo
We we!Ila naruhusiwa
Yep mkuuUnaishi Engaruka Dada?
Natamani sana kufika Engaruka na kupafahamu.Yep mkuu
Karibu sana utatembea mpaka ziwa natron, jioni utafurahia sunset ukiwa unarudi na kuona mlima lengai na shimo la Mungu.Natamani sana kufika Engaruka na kupafahamu.
Siku nikifika Mto wa Mbu nitajitahidi kuja Engaruka.
Mkuu sorry, kupigapiga picha et narusha huwa sipendi hata kama ni za mazingiraNani kakwambia picha ni selfie peke yake?
Unashindwa hata kurusha picha za mandhari ya miji unayokatiza?
Ushahidi au kumbukumbu ya unayoyaangalia ni yapi?
Halafu umetoka Namtumbo huna update yoyote, ghafla upo Singida, inamaana umepita Jiji la Dodoma kimya kimya?
Ndio natamani sana kufika huko. Nilienda Natron nikiwa bd mdg mwaka 2001 June.Karibu sana utatembea mpaka ziwa natron, jioni utafurahia sunset ukiwa unarudi na kuona mlima lengai na shimo la Mungu.