My True Love Story: Dear Single Mother, huyo mtoto siyo wangu

Amen.

#YNWA
 
Yap A.K.A no string attached.

#YNWA
✋ Mbona uli hack simu yake sasa kama haukuwa ume catch feelings?

Au mimi ndo sielewi maana ya no string attached? Hebu elezea hapa bro.

N.b
Unakosea kumuita mzazi mwenzako malaya na wakati wote ninyi ni malaya na mlikuwa mnafanya biashara sasa umezidiwa kete.
 
Mtoto anaweza kuwa wako pia so jaribu kuwa na akiba ya maneno walau kidogo
 
Ukisoma vizuri tulikula wa3 siku mbili mfululizo night (1) - day (2 - Me) - night (3).

Huo ndio mwezi mimba iliingia.

Kwanini shahawa yangu ndio i-ferilize na sio wale wengine?

#YNWA
nimecheka kama mwehu, ila na wewe ulijua kabisa mnashirikiana hadi siku moja watu watatu ukabaki tu hapo,,,mimi ningekuwa mwanaume siwezi aiseee


hahahhahahah
 
hivi huo muda wa kupima kila week mnaupata wapi? tulia na mutu mumoja

nafurahia tu msg zako lakini
hahahahhaha
 
Yaani Kati ya wotee waliopiga wakikutana njiani

Yaani Kati ya wotee waliopiga wakikutana Whatsapp, FB, BADOO ila mimi ndio jumba bovu limeniangukia..

Dah kweli DUNIA haina haki.....

#YNWA
unanipa raha sana na majibu yako, jiamini bhana hivyo hivyo,,,angetakiwa awe na wewe tuuuu na asibishane na wewe coz wewe ni wa kiume

teh teh mtamuelewa tu Liverpool soon
 
Mwanamke akikupenda Ana uwezo wa kukupa mtoto asiye wako,,na mwanamke akikuchukia Ana uwezo wa kukunyima mtoto wako kabisaaa..Hilo lazima kila mwanaume aelewe
 
Nikiwa nataka kukuacha huwa nakutafutia sababu.

Tulikutana day one tukafanya biashara.
Ila mwenzangu ali fall then kwakuwa alianza nipa Bure then nikaona nigande.

Sasa nikamchoka, nikaona ni hack simu ili nitafute cha kuondokea..!!

Na kweli nilipata cha kuondokea japo aling'ang'ania ana mimba yangu ila mi NABISHA.

#YNWA
 
hivi huo muda wa kupima kila week mnaupata wapi? tulia na mutu mumoja

nafurahia tu msg zako lakini
hahahahhaha
Your welcome.

Utafurahia zaidi huko mji mtakatifu uitwao PM...!!!

#YNWA
 
Kama una ushahidi wote basi kaa pembeni hivyo hivyo ila kama unathamini watoto basi mchukue mlee [emoji955]

Ushauri tu

TEKERI

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…