hii sio sehemu ya picha za project za chato, jifunze kukubali chakp hata kama ni dhaifu[emoji23][emoji23][emoji23].Dah baada ya jamaa wa Wivu Choir kuumwa kweli kweli hadi kwenye firigisi, kwasababu ya hii expressway ya Nairobi, walijikakamua wakaketi kwenye kikao wakajadili watoke vipi. Waone sasa wanavoibuka na picha za nje ya bara hili wakizitumia kuponda mradi huu. Hivi wadau hamna hata kapicha kamoja tu ka mradi kama huu kule Jamhuri mpya ya Chato? [emoji57]
Dah baada ya jamaa wa Wivu Choir kuumwa kweli kweli hadi kwenye firigisi, kwasababu ya hii expressway ya Nairobi, walijikakamua wakaketi kwenye kikao wakajadili watoke vipi. Waone sasa wanavoibuka na picha za nje ya bara hili wakizitumia kuponda mradi huu. Hivi wadau hamna hata kapicha kamoja tu ka mradi kama huu kule Jamhuri mpya ya Chato? [emoji57]