My vision: kocha Robertinho hastahili kupewa mkataba (kandarasi) ya muda mrefu kwa sababu zifuatazo

My vision: kocha Robertinho hastahili kupewa mkataba (kandarasi) ya muda mrefu kwa sababu zifuatazo

Sijaona sababu ya Simba sc kuendelea na kocha ambaye.

Kaipokea timu kutoka mikononi mwa kocha Mgunda na kuishia Robo fainali katika michuano ya CAF tena robo ambayo imezoeleka kila mwaka.

Robertinho kashindwa kuchukua hata kombe la kufutia machozi kwa mashabiki wa Simba kombe la shirikisho Azam kaishia nusu fainali kwa kichapo Cha mbili bila.

Kila nikimtazama Robertinho kwa mbinu zake naona kabisa Mashabiki wa Simba wanakwenda kulia kilio kingine (kilio Cha ukiwa) kisicho na kombe ndani ya kabati.

Nilichokiona kwa kocha Robertinho ana talent kubwa ya kujua kushangilia tu.
tangu lini ukawa mwanasimba
 
Sijaona sababu ya Simba sc kuendelea na kocha ambaye.

Kaipokea timu kutoka mikononi mwa kocha Mgunda na kuishia Robo fainali katika michuano ya CAF tena robo ambayo imezoeleka kila mwaka.

Robertinho kashindwa kuchukua hata kombe la kufutia machozi kwa mashabiki wa Simba kombe la shirikisho Azam kaishia nusu fainali kwa kichapo Cha mbili bila.

Kila nikimtazama Robertinho kwa mbinu zake naona kabisa Mashabiki wa Simba wanakwenda kulia kilio kingine (kilio Cha ukiwa) kisicho na kombe ndani ya kabati.

Nilichokiona kwa kocha Robertinho ana talent kubwa ya kujua kushangilia tu.
HATARI SANA.
 
Sijaona sababu ya Simba SC kuendelea na kocha ambaye.

Kaipokea timu kutoka mikononi mwa kocha Mgunda na kuishia Robo fainali katika michuano ya CAF tena robo ambayo imezoeleka kila mwaka.

Robertinho kashindwa kuchukua hata kombe la kufutia machozi kwa mashabiki wa Simba kombe la shirikisho Azam kaishia nusu fainali kwa kichapo Cha mbili bila.

Kila nikimtazama Robertinho kwa mbinu zake naona kabisa Mashabiki wa Simba wanakwenda kulia kilio kingine (kilio Cha ukiwa) kisicho na kombe ndani ya kabati.

Nilichokiona kwa kocha Robertinho ana talent kubwa ya kujua kushangilia tu.
Ukiona mbali sana.
 
Ukiona mbali sana.
Maneno mengi na miruzi mingi itaenda kuwaondolea Simba kocha Bora Kwa mara nyingine [emoji736]

Haya yalimtokea kishingo alisemwa Sana akazushiwa kagombana na kagere kisa tu alikuwa hampangi Kwa sababu aliamua kubadilika kutoka kucheza na washambuliaji 3 na kuja kucheza na mshambuliaji mmoja lkn Wana zengo Kwa sababu walizoea uchebe anacheza na washambuaji 3 bc japo timu ilikuwa inashinda lkn walitka kuona bado kishingo haingizi mbinu zake bali aendelee na mbinu za uchebe
Kishingo alicho kifanya aliingiza timu makundi hlf akasepa zake maana Yale maneno alikuwa anayaona

Alikuja Gomes nae alifanya vzr Sana mwanzo na kuitengeneza Simba Bora Sana lkn baadae aliakuwa na yeye hampi nafasi kagere anamtumia bocco na mugalu Wanazengo Waka Anza kumnanga
Baadae likaja swala la VIBALI Wanazengo wakaona wamchinje hapo hapo bwana Gomes
[emoji3532]Sasa ni Mr Robertinho kocha ambae alikuta Simba inayo tengenezwa upya baada ya kupoteza ubora wake lkn angalia maneno anayo tupiwa utafikilia kaikuta Simba kama man city tutulie wana simba
 
Sijaona sababu ya Simba SC kuendelea na kocha ambaye.

Kaipokea timu kutoka mikononi mwa kocha Mgunda na kuishia Robo fainali katika michuano ya CAF tena robo ambayo imezoeleka kila mwaka.

Robertinho kashindwa kuchukua hata kombe la kufutia machozi kwa mashabiki wa Simba kombe la shirikisho Azam kaishia nusu fainali kwa kichapo Cha mbili bila.

Kila nikimtazama Robertinho kwa mbinu zake naona kabisa Mashabiki wa Simba wanakwenda kulia kilio kingine (kilio Cha ukiwa) kisicho na kombe ndani ya kabati.

Nilichokiona kwa kocha Robertinho ana talent kubwa ya kujua kushangilia tu.
Yametimia, tunalia milio yote Kwa Sasa.
 
Sijaona sababu ya Simba SC kuendelea na kocha ambaye.

Kaipokea timu kutoka mikononi mwa kocha Mgunda na kuishia Robo fainali katika michuano ya CAF tena robo ambayo imezoeleka kila mwaka.

Robertinho kashindwa kuchukua hata kombe la kufutia machozi kwa mashabiki wa Simba kombe la shirikisho Azam kaishia nusu fainali kwa kichapo Cha mbili bila.

Kila nikimtazama Robertinho kwa mbinu zake naona kabisa Mashabiki wa Simba wanakwenda kulia kilio kingine (kilio Cha ukiwa) kisicho na kombe ndani ya kabati.

Nilichokiona kwa kocha Robertinho ana talent kubwa ya kujua kushangilia tu.
Unabii huu unakwenda kutimia hata kwa kuchelewa ila lazima utatimia
 
Maneno mengi na miruzi mingi itaenda kuwaondolea Simba kocha Bora Kwa mara nyingine [emoji736]

Haya yalimtokea kishingo alisemwa Sana akazushiwa kagombana na kagere kisa tu alikuwa hampangi Kwa sababu aliamua kubadilika kutoka kucheza na washambuliaji 3 na kuja kucheza na mshambuliaji mmoja lkn Wana zengo Kwa sababu walizoea uchebe anacheza na washambuaji 3 bc japo timu ilikuwa inashinda lkn walitka kuona bado kishingo haingizi mbinu zake bali aendelee na mbinu za uchebe
Kishingo alicho kifanya aliingiza timu makundi hlf akasepa zake maana Yale maneno alikuwa anayaona

Alikuja Gomes nae alifanya vzr Sana mwanzo na kuitengeneza Simba Bora Sana lkn baadae aliakuwa na yeye hampi nafasi kagere anamtumia bocco na mugalu Wanazengo Waka Anza kumnanga
Baadae likaja swala la VIBALI Wanazengo wakaona wamchinje hapo hapo bwana Gomes
[emoji3532]Sasa ni Mr Robertinho kocha ambae alikuta Simba inayo tengenezwa upya baada ya kupoteza ubora wake lkn angalia maneno anayo tupiwa utafikilia kaikuta Simba kama man city tutulie wana simba
Yangu inawachallange sana simba hali inayopelekea mashabiki kuumia moyo
 
Back
Top Bottom