X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,605
- 1,843
- Thread starter
- #41
Mkuu, nashukuru sana kaka.Mungu akubariki na kukuzidishia uzao wako mkuu.
Hongera sana ndugu yangu
Mkuu nashukuru na nimeongera sana, salamu zimefika na kwa niaba yake na watoto nasema shukran sana sana.Hongera sana Mkuu.
Salaam nyingi kwa Shemeji na Watoto.
Ahsante kaka.Congratulation Mkuu.
Shukran mkuu.hongera sana
Mkuu Lau, shukran mkuu, wala usiwe na wasiwasi ndoa tamu bana asikwambie mtu.Kaka hongera sana nami najifunza kitu hapa kutoka kwako pindi niingiapo nami iwe zaidi na zaidi ,Mungu aendelee kuwabariki kwa dhati kabisa