Ingekuwa ni kule kwa wenzetu wala huo mda wa kuja kuandika hii habari yake JF asingeupata, angekuwa tayari yupo jela!.Unajisikia raha mwenyee kutangazia ulivyompiga mkeo. There is nothing worse than aggressive stupidity!!
Guys my day has been spoiled by my beloved wife. Jana jioni nili mdrop home then mimi nikageuza kwenda Club kupiga story kidogo japokuwa nimesimama pombe sababu za kiafya. Dont think if this could be an excuse ya mimi kuto hang kabisa na friends. Later alinipigia just to check my position. I told her where I am and she knows the joint. Alikuwa kama haamini vile but I told that I am there and she could just walk in if she feels like. Hakuja ila nami nilikaa mpaka around saa nne usiku then I went back home.
Asubuhi hii eti analeta zangwe kwamba nilikuwa na mwanamke ndio maana nili mdrop haraka haraka na kurudi town. Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu. Kweli nimekasirika sana and my whole day is spoiled.
Guys my day has been spoiled by my beloved wife. Jana jioni nili mdrop home then mimi nikageuza kwenda Club kupiga story kidogo japokuwa nimesimama pombe sababu za kiafya. Dont think if this could be an excuse ya mimi kuto hang kabisa na friends. Later alinipigia just to check my position. I told her where I am and she knows the joint. Alikuwa kama haamini vile but I told that I am there and she could just walk in if she feels like. Hakuja ila nami nilikaa mpaka around saa nne usiku then I went back home.
Asubuhi hii eti analeta zangwe kwamba nilikuwa na mwanamke ndio maana nili mdrop haraka haraka na kurudi town. Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu. Kweli nimekasirika sana and my whole day is spoiled.
Kuna wanaume wengine wanaoharibu sifa ya kuwa waume, moja wapo ni wewe. oa wako piga ua halafu tukukute Segerea ukinyea debe. Unaharibu sifa za ukoo wa Lasway
Blue, unahitahitaji kupevuka akili. Kwa vitendo vyako huafai kuitwa mume wala kiongozi wa familia. Huwezi ukatatua matatizo kwa kupiga mkeo. Ubaya ni kwamba huwezi fahamu matokeo ya kipigo hicho. Unaweza ukafikiri umemweka mkeo mahala pake na atakuheshimu zaidi au labda atakuogopa ila hujui umepunguza pendo lake kwako kwa sehemu kubwa sana. Naomba nikupe mfano mdogo sana na labda hili litakusaidia wewe.
"Pendo la mke/mume ni sawa na sahani nyeupe. Kila unapomkosea mwenzi wako ni sawa na kuweka doa kwenye sahani hiyo. Kila doa linatofautiana na doa lililotangulia. Kuna madoa utaweza kuyatoa kwa kusafisha sahani ila kuna yale ambayo yanakomaa hata ufanye nini yanabaki kuwepo. Tatizo lingine madoa huwa yanaonekana sehemu ambayo ni safi kwenye sahani na siyo mahala ambapo doa lingine lilitangulia. Itafika mahala sahani hiyo itajaa madoa kiasi kwamba mwenye nayo ashindwe kuitumia tena. Usije ukafanya ndoa yako ijae madoa mengi hadi pale utakapohitaji upendo wa mwenza naye akakujibu , " roho yangu imejaa madoa mengi sana kutokana na matendo yako hadi nashindwa nikupende kwa kutumia sehemu gani".
Mkeo alipokukubalia uende zako club wewe hukutumia akili kumsoma amekukubalia kivipi. Ishi na mkeo kwa akili. Mpende ili akuheshimu. Piga piga itakuja kukuvunjia heshima mbele ya jamii, mkeo, familia, ndugu na hata watoto wako. Na kama una mtoto wa kiume, sijui unampa mfano gani. Na kama mkeo ana tabia mbaya ulikuwa wapi siku zote usigundue yeye siyo mke mwenye kukufaa wewe?
Mkeo alipokwambia una mwanamke nje ulipaswa umueleweshe kuwa huna ila kwa matendo yako inakuwa vigumu sana kwake kuamini huna mwanamke nje. Namalizia, "ndoa siyo lele mama"
Hapo kwenye red kumbe we bado wa mwaka 47?poleGuys my day has been spoiled by my beloved wife. Jana jioni nili mdrop home then mimi nikageuza kwenda Club kupiga story kidogo japokuwa nimesimama pombe sababu za kiafya. Dont think if this could be an excuse ya mimi kuto hang kabisa na friends. Later alinipigia just to check my position. I told her where I am and she knows the joint. Alikuwa kama haamini vile but I told that I am there and she could just walk in if she feels like. Hakuja ila nami nilikaa mpaka around saa nne usiku then I went back home.
Asubuhi hii eti analeta zangwe kwamba nilikuwa na mwanamke ndio maana nili mdrop haraka haraka na kurudi town. Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu. Kweli nimekasirika sana and my whole day is spoiled.
Hi guys naomba labda tukumbushane jamani kitu hichi ambacho watu wengi tumekuwa nakasumba asa wanaume wengi
Yaani unashindwa kupata time hata ya kupumzika home na mkeo zen unaenda kuchili na marafiki me i gues rafiki wako wa kwanza ni wife wako.
Halafu unarudi usiku unampa kipondo so kisa we mwanume au dat not fair ok she was right halafu kwa ujasiri kabisa unapost post kutueleza huo ujinga wako. so ulitaka ye afikiliaje coz hata maandiko yanaasema ussiende njia ya mwanamke mzizi maana maneno yake ni matamu kama asali na ni laini kama mafuta.Remember time to ur famil it more important more than u think so kuwa mwangalifu ok .