nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Hata mimi sijaona ubaya wa hii thread. Mimi nadhani hapa unaweza andika chochote na bado usimdhalilishe mtu yeyote kwa kuwa hujataja jina. Angekuwa anaongea na washkaji kijiweni hapo sawa tungesema amemdhalilisha msichana wake.
Naona tunaanza kutishana yani tuanze ku calculate kabla ya kuandika kwani imekuwa face book. Hunijuhi, sikujuhi ndio maana this is a place where we can dare to talk openely.
Wanaonuka midomo ni wengi hivyo hii thread inaweza wasaidia wengi tu. Tupunguze kuwa monitors; mtu ukiona thread haina maana ipotezee.
Naona tunaanza kutishana yani tuanze ku calculate kabla ya kuandika kwani imekuwa face book. Hunijuhi, sikujuhi ndio maana this is a place where we can dare to talk openely.
Wanaonuka midomo ni wengi hivyo hii thread inaweza wasaidia wengi tu. Tupunguze kuwa monitors; mtu ukiona thread haina maana ipotezee.
Jamani cdhani kama 2kianza kuchunguzana ni lini w2 wamejiunga na jf ndio 2tasolve matatizo y2 na2mai jf imewekwa na kwa uzuri zaidi wameamua kuweka forums mbalimbali ambapo kunatakiwa kuwe na mada zitakazoendana na hapo sa mnanishangaza kuanza kumponda mwenze2 wakati anahtaji ushauri after all keshasema hataki kumpoteza mdada cz he z in love nadhani lazima m2 uwe open ili tatizo lako lishughulikiwe na kwa ushauri w2 weng wanarudi kusema asante plz plz 2toe ushauri hata kama topic kwa kiasi flani itakuchefua bt hebu 2jaribu kujiweka ktk nafasi yake na kumjibu muhusika kadri ya uelewa na uwezo w2!