LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,241
- 940
Habari zenu wanajamvi,ni hivi mimi nafanyakazi na jamaa ambaye mkewe naye anafanya kazi ktk kampuni hiyo hiyo,tatizo ni kwamba huyo mkewe mwenyewe hajatulia hata kidogo ktk watu ambao niko nao kitengo kimoja ni watu wawili tu ambao hatujamchakachua huyu shemu we2.
Ktk hao ambao wamemchakachua/wanamchakachua,rafiki yangu huyu anajua live kuwa demu wake katendwa na mshikaji,ikafikia hatua ya kuanza kutishana kuuana.lkn hao wengine wanamega kisela ni mwendo wa kimyakimya ila mie nafahamu kuwa wanamtenda maana hawanifichi.
Kuanzia Ijumaa mpaka J2 huyu demu anaenda kujirusha na kurudi nyumbani kwa J3 str8 kazini.
Binafsi nashindwa kumshauri huyu jamaa kuwa demu wake ni kicheche si mnajua tena mambo ya mapenzi na yeye kakolea ile mbaya.ila huwa najiuliza hivi huyu jamaa alimkuta huyu demu anauza ngozi au vp mbona hachukui hatua zozote?
Sasa hivi ananisumbua mie mara anikumbatie mara anishike something yangu mara anishikishe naniliyu yake yaani tukibaki wawili inakuwa ni vtuko kwa kwenda mbele binafsi namuheshimu jamaa maana nimemkuta pale kazini na pia ndiye aliyenifundisha jinsi ya kuiba hapo kiwandani
Sasa ndugu zangu mnanishauri nini,nimdinye huyu demu liwalo na liwe au niendelee kumuheshimu msela wangu?
maana naanza kuona huyu demu ataweza kufikiria kuwa something yangu haifanyi kazi
Natanguliza shukrani zangu.
Ahsante kwa kuliona hiloRed....acha kabisa na tubu.
Hii nayo hatari sana.
acha kushauri upupu.K**a bwana haiilimwi shambani condomize chakachua kama kawa, maana ukimwacha atakudharau siku ya siku atamwambia jamaa yake kuwa ulishamwomba na akakupiga kibuti. Hivyo kula hata mara moja uachane naye.
ushauri mweingine bana ..ooh kazi kweli kweliMkuu Washawasha sasa jina lako mbona unalishushia hadhi? Washa washa tu mkuu kama msela akija juu mwambie mbona kila mtu kala mzee? au mie unaona nafaidi zaidi? Demu wako malaya na unajua,ni jamvi la wageni na wenyeji na mimi ni mwenyeji....Maliza kaka halafu njoo tupe how she is kunako mechi za ugenini....washa tu mtu wangu...usipomwasha atamwambia Bwana ake wewe unamtaka sasa hapo ndo wewe utakoma jamaa atakapokuwashia moto, usiulete hapa...maliza liwalo na liwe ila umeweka nyavuni...tumia Kakifanyilo ketu..
Habari zenu wanajamvi,ni hivi mimi nafanyakazi na jamaa ambaye mkewe naye anafanya kazi ktk kampuni hiyo hiyo,tatizo ni kwamba huyo mkewe mwenyewe hajatulia hata kidogo ktk watu ambao niko nao kitengo kimoja ni watu wawili tu ambao hatujamchakachua huyu shemu we2.
Ktk hao ambao wamemchakachua/wanamchakachua,rafiki yangu huyu anajua live kuwa demu wake katendwa na mshikaji,ikafikia hatua ya kuanza kutishana kuuana.lkn hao wengine wanamega kisela ni mwendo wa kimyakimya ila mie nafahamu kuwa wanamtenda maana hawanifichi.
Kuanzia Ijumaa mpaka J2 huyu demu anaenda kujirusha na kurudi nyumbani kwa J3 str8 kazini.
Binafsi nashindwa kumshauri huyu jamaa kuwa demu wake ni kicheche si mnajua tena mambo ya mapenzi na yeye kakolea ile mbaya.ila huwa najiuliza hivi huyu jamaa alimkuta huyu demu anauza ngozi au vp mbona hachukui hatua zozote?
Sasa hivi ananisumbua mie mara anikumbatie mara anishike something yangu mara anishikishe naniliyu yake yaani tukibaki wawili inakuwa ni vtuko kwa kwenda mbele binafsi namuheshimu jamaa maana nimemkuta pale kazini na pia ndiye aliyenifundisha jinsi ya kuiba hapo kiwandani
Sasa ndugu zangu mnanishauri nini,nimdinye huyu demu liwalo na liwe au niendelee kumuheshimu msela wangu?
maana naanza kuona huyu demu ataweza kufikiria kuwa something yangu haifanyi kazi
Natanguliza shukrani zangu.
Kuitwa Washawasha haina maana unawasha kweli. Mlipe fadhira jamaa yako kwa kutomgusa demu wake. Hiyo itakuwa mbaya sana siyo kwamba kwa sababu wengine wanachakachua basi na ww uingie tamaa ya kufanya hivyo. Pia tafuta mbinu mbadala za kumfahamisha jamaa yako. Ukiacha hivyo iko siku utakuja kujilaumu kwa nini hukusema wakati jamaa hayupo duniani kwa HIV/AIDS.
acha wizi kijanaHabari zenu wanajamvi,ni hivi mimi nafanyakazi na jamaa ambaye mkewe naye anafanya kazi ktk kampuni hiyo hiyo,tatizo ni kwamba huyo mkewe mwenyewe hajatulia hata kidogo ktk watu ambao niko nao kitengo kimoja ni watu wawili tu ambao hatujamchakachua huyu shemu we2.
Ktk hao ambao wamemchakachua/wanamchakachua,rafiki yangu huyu anajua live kuwa demu wake katendwa na mshikaji,ikafikia hatua ya kuanza kutishana kuuana.lkn hao wengine wanamega kisela ni mwendo wa kimyakimya ila mie nafahamu kuwa wanamtenda maana hawanifichi.
Kuanzia Ijumaa mpaka J2 huyu demu anaenda kujirusha na kurudi nyumbani kwa J3 str8 kazini.
Binafsi nashindwa kumshauri huyu jamaa kuwa demu wake ni kicheche si mnajua tena mambo ya mapenzi na yeye kakolea ile mbaya.ila huwa najiuliza hivi huyu jamaa alimkuta huyu demu anauza ngozi au vp mbona hachukui hatua zozote?
Sasa hivi ananisumbua mie mara anikumbatie mara anishike something yangu mara anishikishe naniliyu yake yaani tukibaki wawili inakuwa ni vtuko kwa kwenda mbele binafsi namuheshimu jamaa maana nimemkuta pale kazini na pia ndiye aliyenifundisha jinsi ya kuiba hapo kiwandani
Sasa ndugu zangu mnanishauri nini,nimdinye huyu demu liwalo na liwe au niendelee kumuheshimu msela wangu?
maana naanza kuona huyu demu ataweza kufikiria kuwa something yangu haifanyi kazi
Natanguliza shukrani zangu.
Huyu nafikiri anapata raha zaidi kuliko karaha ndio maana anapenda hii ki2ahhh wanawake wengine ooooovyo,anapata raha gani jamani,zaidi ya kujishushia heshima.huyo mwanamke baadae atajuta
Mshahara hauruhusu sana,c unajua mbuzi anakula kutokana na urefu wa kamba yake?acha wizi kijana
Nitafanya hivyo nitakuwa nakumbuka kadri niwezavyoUnakumbuka kuna kitu inaitwa HIV mbona hili wengi huwa tunalisahau. Jaribu kukumbuka kila wakati na shetani atashindwa kwa nguvu zote. Mwisho wa yote ni kuchimbiana makaburi tu hakuna lingine.
Hamna noma,asante kwa ushauriChakachua kwani umekatazwa.
Hahahahaha hafi mtu hapa,wote 2ko machoDah! Huyo mumewe cio kama *****! Ila akirudi wanajadili mwenzangu umepata wangapi! Hapo kazini wamepanga wakuuweni wote nyinyi!