My Wife wa rafiki yangu anataka nimchakachue

My Wife wa rafiki yangu anataka nimchakachue

Upupu huo na unatafuta wa kumuwasha ila sasa kwa bahati mbaya wewe ni washawasha sasa huo upupu ushindwe na ulegee! achana nae huyo huwezi jua yule rafiki yako ana plans gani na wote wanaomuibia mkewe, siku zote ogopa sana watu wa hivyo maana kama anajua watu wanamuibia sasa anafanya machunguzi yake na ukijiingiza tu umeliwa!
 
Habari zenu wanajamvi,ni hivi mimi nafanyakazi na jamaa ambaye mkewe naye anafanya kazi ktk kampuni hiyo hiyo,tatizo ni kwamba huyo mkewe mwenyewe hajatulia hata kidogo ktk watu ambao niko nao kitengo kimoja ni watu wawili tu ambao hatujamchakachua huyu shemu we2.
Ktk hao ambao wamemchakachua/wanamchakachua,rafiki yangu huyu anajua live kuwa demu wake katendwa na mshikaji,ikafikia hatua ya kuanza kutishana kuuana.lkn hao wengine wanamega kisela ni mwendo wa kimyakimya ila mie nafahamu kuwa wanamtenda maana hawanifichi.
Kuanzia Ijumaa mpaka J2 huyu demu anaenda kujirusha na kurudi nyumbani kwa J3 str8 kazini.
Binafsi nashindwa kumshauri huyu jamaa kuwa demu wake ni kicheche si mnajua tena mambo ya mapenzi na yeye kakolea ile mbaya.ila huwa najiuliza hivi huyu jamaa alimkuta huyu demu anauza ngozi au vp mbona hachukui hatua zozote?
Sasa hivi ananisumbua mie mara anikumbatie mara anishike something yangu mara anishikishe naniliyu yake yaani tukibaki wawili inakuwa ni vtuko kwa kwenda mbele binafsi namuheshimu jamaa maana nimemkuta pale kazini na pia ndiye aliyenifundisha jinsi ya kuiba hapo kiwandani
Sasa ndugu zangu mnanishauri nini,nimdinye huyu demu liwalo na liwe au niendelee kumuheshimu msela wangu?
maana naanza kuona huyu demu ataweza kufikiria kuwa something yangu haifanyi kazi
Natanguliza shukrani zangu.


Red....acha kabisa na tubu.
Hii nayo hatari sana.
 
Mimi cha kukushauri tu ni kwamba huyo jamaa alikufundisha kuiba na wewe ukafuata, hilo kwanza ni tatizo kubwa sana.
Kwa nini watz tuko vidokozi kiasi hicho? ndio maana makamouni yetu siku zote hayadumu yanaishia kufa mikononi mwetu tu
Tunaona makampuni mengi yanapochukua wakenya na foerigner wengine sisi ndio wakwanza tena kulaumu
wito wangu: TUACHE WIZI NA UDOKOZI MAKAZINI.

Back to the topic:
Rafiki yapo alipokuwa anakueleza matatizo yake kuhusu huyo mwanamke maana yake alikuwa anafurahishwa au alikuwa anachukizwa??
wewe si umesema amemtishia huyo jamaa mwingine kumuua?? na wewe sio kwamba atakumalizia kabisa?
wewe si umesema wanaotembea na mke wake karibu wote anawajua? je wewe hatakujua?

Tafakari:Heshima ya mtu ni utu wake na huyo mke wake ndio utu wake, wewe kitendo cha kutenmdea naye ni sawa na kumvua nguo rafiki yako.
 
K**a bwana haiilimwi shambani condomize chakachua kama kawa, maana ukimwacha atakudharau siku ya siku atamwambia jamaa yake kuwa ulishamwomba na akakupiga kibuti. Hivyo kula hata mara moja uachane naye.
acha kushauri upupu.
nani alikudanganya mapenzi huwa ni ya siku moja tu?
 
Mkuu Washawasha sasa jina lako mbona unalishushia hadhi? Washa washa tu mkuu kama msela akija juu mwambie mbona kila mtu kala mzee? au mie unaona nafaidi zaidi? Demu wako malaya na unajua,ni jamvi la wageni na wenyeji na mimi ni mwenyeji....Maliza kaka halafu njoo tupe how she is kunako mechi za ugenini....washa tu mtu wangu...usipomwasha atamwambia Bwana ake wewe unamtaka sasa hapo ndo wewe utakoma jamaa atakapokuwashia moto, usiulete hapa...maliza liwalo na liwe ila umeweka nyavuni...tumia Kakifanyilo ketu..
ushauri mweingine bana ..ooh kazi kweli kweli
 
chukua line ya simu mpya mtumie msela wake sms umchane ila usijitambulishe mpe ukweli na umwambie afuatilie na ushauri kuwa amuache make sure asijue kama ni wewe ili msije kukosana pale watakapo elewana cz mapenzi co kitu cha mchezo na wewe usitembee naye ni dhambi kutoka na mke wa mtu ukimgonga na wewe watakugongea je siku ukijua utalia au utacheka? Ndyo ushauri
 
usicheke na kima,atamaliza mahindi shambani.
Mke wa mtu ni sumu
 
kama vp na ww mchakachue. Ila sasa kumbuka kuna ck nawe waja kuchakachuliwa demu wako. Think critical then argue with reasoning.
 
mpotezee huyo mwanamke,usiwe cheap kihivyo.....heshimu uhusiano wako na rafiki yako,ilinde roho yako na mateso ya baada ya wewe kufanya hivyo kama hofu na woga na zaidi utumwa.....ukimwi bado upo......Mungu akusaidie najua mwanamke akidhamiria ni mtihani.....be strong!:hand:
 
Dah! Huyo mumewe cio kama *****! Ila akirudi wanajadili mwenzangu umepata wangapi! Hapo kazini wamepanga wakuuweni wote nyinyi!
 
Habari zenu wanajamvi,ni hivi mimi nafanyakazi na jamaa ambaye mkewe naye anafanya kazi ktk kampuni hiyo hiyo,tatizo ni kwamba huyo mkewe mwenyewe hajatulia hata kidogo ktk watu ambao niko nao kitengo kimoja ni watu wawili tu ambao hatujamchakachua huyu shemu we2.
Ktk hao ambao wamemchakachua/wanamchakachua,rafiki yangu huyu anajua live kuwa demu wake katendwa na mshikaji,ikafikia hatua ya kuanza kutishana kuuana.lkn hao wengine wanamega kisela ni mwendo wa kimyakimya ila mie nafahamu kuwa wanamtenda maana hawanifichi.
Kuanzia Ijumaa mpaka J2 huyu demu anaenda kujirusha na kurudi nyumbani kwa J3 str8 kazini.
Binafsi nashindwa kumshauri huyu jamaa kuwa demu wake ni kicheche si mnajua tena mambo ya mapenzi na yeye kakolea ile mbaya.ila huwa najiuliza hivi huyu jamaa alimkuta huyu demu anauza ngozi au vp mbona hachukui hatua zozote?
Sasa hivi ananisumbua mie mara anikumbatie mara anishike something yangu mara anishikishe naniliyu yake yaani tukibaki wawili inakuwa ni vtuko kwa kwenda mbele binafsi namuheshimu jamaa maana nimemkuta pale kazini na pia ndiye aliyenifundisha jinsi ya kuiba hapo kiwandani
Sasa ndugu zangu mnanishauri nini,nimdinye huyu demu liwalo na liwe au niendelee kumuheshimu msela wangu?
maana naanza kuona huyu demu ataweza kufikiria kuwa something yangu haifanyi kazi
Natanguliza shukrani zangu.

Unakumbuka kuna kitu inaitwa HIV mbona hili wengi huwa tunalisahau. Jaribu kukumbuka kila wakati na shetani atashindwa kwa nguvu zote. Mwisho wa yote ni kuchimbiana makaburi tu hakuna lingine.
 
Kuitwa Washawasha haina maana unawasha kweli. Mlipe fadhira jamaa yako kwa kutomgusa demu wake. Hiyo itakuwa mbaya sana siyo kwamba kwa sababu wengine wanachakachua basi na ww uingie tamaa ya kufanya hivyo. Pia tafuta mbinu mbadala za kumfahamisha jamaa yako. Ukiacha hivyo iko siku utakuja kujilaumu kwa nini hukusema wakati jamaa hayupo duniani kwa HIV/AIDS.

Kweli hii itakuwa fadhila bab kubwa
 
Habari zenu wanajamvi,ni hivi mimi nafanyakazi na jamaa ambaye mkewe naye anafanya kazi ktk kampuni hiyo hiyo,tatizo ni kwamba huyo mkewe mwenyewe hajatulia hata kidogo ktk watu ambao niko nao kitengo kimoja ni watu wawili tu ambao hatujamchakachua huyu shemu we2.
Ktk hao ambao wamemchakachua/wanamchakachua,rafiki yangu huyu anajua live kuwa demu wake katendwa na mshikaji,ikafikia hatua ya kuanza kutishana kuuana.lkn hao wengine wanamega kisela ni mwendo wa kimyakimya ila mie nafahamu kuwa wanamtenda maana hawanifichi.
Kuanzia Ijumaa mpaka J2 huyu demu anaenda kujirusha na kurudi nyumbani kwa J3 str8 kazini.
Binafsi nashindwa kumshauri huyu jamaa kuwa demu wake ni kicheche si mnajua tena mambo ya mapenzi na yeye kakolea ile mbaya.ila huwa najiuliza hivi huyu jamaa alimkuta huyu demu anauza ngozi au vp mbona hachukui hatua zozote?
Sasa hivi ananisumbua mie mara anikumbatie mara anishike something yangu mara anishikishe naniliyu yake yaani tukibaki wawili inakuwa ni vtuko kwa kwenda mbele binafsi namuheshimu jamaa maana nimemkuta pale kazini na pia ndiye aliyenifundisha jinsi ya kuiba hapo kiwandani
Sasa ndugu zangu mnanishauri nini,nimdinye huyu demu liwalo na liwe au niendelee kumuheshimu msela wangu?
maana naanza kuona huyu demu ataweza kufikiria kuwa something yangu haifanyi kazi
Natanguliza shukrani zangu.
acha wizi kijana
 
ahhh wanawake wengine ooooovyo,anapata raha gani jamani,zaidi ya kujishushia heshima.huyo mwanamke baadae atajuta
Huyu nafikiri anapata raha zaidi kuliko karaha ndio maana anapenda hii ki2
 
Unakumbuka kuna kitu inaitwa HIV mbona hili wengi huwa tunalisahau. Jaribu kukumbuka kila wakati na shetani atashindwa kwa nguvu zote. Mwisho wa yote ni kuchimbiana makaburi tu hakuna lingine.
Nitafanya hivyo nitakuwa nakumbuka kadri niwezavyo
 
Dah! Huyo mumewe cio kama *****! Ila akirudi wanajadili mwenzangu umepata wangapi! Hapo kazini wamepanga wakuuweni wote nyinyi!
Hahahahaha hafi mtu hapa,wote 2ko macho
 
Back
Top Bottom