My Wife wa rafiki yangu anataka nimchakachue

Hakuna shaka nitamtanguliza muumba ktk hili
 
kama vp na ww mchakachue. Ila sasa kumbuka kuna ck nawe waja kuchakachuliwa demu wako. Think critical then argue with reasoning.
Demu wangu naye watamchakachua? Jamani mbona mie ananiambia niko peke yangu.
 
Hakuna tatizo nitafanya hivyo
 
Achana nae huyo msichana, sababu niwa rafiki yako pia anao wengi ambayo inaweza kuwa hatari na maradhi haya yalivyo. embu fikiri umchukue then rafiki yako ajue itakuwaje?
Itakuwa noma 2pu
 
Asante in advansi,nitayaangalia kwa makini haya maangalizo
 
Hapa atanipa wakati mgumu au nimtongoze halafu mie na mumewe 2mtege?
 
Mie nakupa mtazamo wa kidini, kwa mujibu wa dini ya Islam.

1. Ukitembea na mke wa mtu, kama wewe ni Muislam, na mwanamke huyo awe ameolewa, awe Muislam au asiye Muislam, HUTAUONA MLANGO WA PEPO.

2. Kama ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mtafute mumewe, omba radhi kwamba ulipitiwa na shetani. Ukitaka kujisafisha na dhambi hiyo, jitambulishe kwa mumewe, mweleze yote, kisha mwombe akusamehe au akupe adhabu yoyote ile aitakayo, asuuzike, ili akusamehe. La sivyo, mwanawane, pepo huioni. So, iwapo utaamua kutembea na huyo mke wa mtu, elewa kwamba raha za duniani zitaishia duniani. Pepo hutaiona.

MJUMBE HAUWAWI.
 
Samahani sana kwa kuwalet down,ni kweli eh! itanibidi Nimdondokee halafu nimuwashe kunako utamu
 
nitajitahidi kuufikisha ujumbe
 
K**a bwana haiilimwi shambani condomize chakachua kama kawa, maana ukimwacha atakudharau siku ya siku atamwambia jamaa yake kuwa ulishamwomba na akakupiga kibuti. Hivyo kula hata mara moja uachane naye.
kumbe dawa yake ni condom
 
basi itabidi nisimtende
 
Naapa ninaahidi mbele ya Jf,kazini ctoiba tena mpaka kufa.bac cntomgusa huyu demu.
 

Mkuu hii mbona ni hatari!!!!
 
Nashukuru yaa ustadh,ila nitaku PM kuhusu hili nina maswali magumu sana jiandae.
 
Hiyo post kidogo imenichanganya, ni wife wa rafiki yako au demu tu ambae hawajafunga ndoa kisheria?

Kama ni wife wa ndoa, wewe mkanyage tu, itakuwa unamsaidia huyi rafiki yako, kwani kama dada hapati inavyotakiwa kwa mumewe, afanye nini? si bora umsaidie wewe kuliko kwenda hovyo na kila mtu.

Na kama ni demu tu na si wife wa ndoa, basi kula tu, hana mwenyewe huyo.
 
Hawajafunga ndoa mkuu ila wanakaa pamoja
 

Pwambafu, unamchelewesha nini, si umdinye tu upate ukimwi uondoke zako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…