My Wife wa rafiki yangu anataka nimchakachue

My Wife wa rafiki yangu anataka nimchakachue

Hiyo heading ya thread imeniacha njia panda hasa hapo kwenye red. My Wife wa rafiki yangu anataka nimchakachue
 
huyo jamaa alikufundisha kuiba hana maana, kama vipi muibie na mke Pia. maana ninyi wote hapo ofisini kwenu yaelekea mnaendekeza sana ufirauni.. Kupumbuana tu!
 
waulize rafiki zako waliomchakachua kama walishaenda ku-test HIV. Unaweza kufikiri ni namna gani ofisi yenu itapukutika iwapo huyo demu ameathirika? Acheni mambo ya uzizinzi. Isitoshe hao jamaa ni wachache tu ambao wewe unawafahamu. Kwa vyovyote kutakuwa na masela kibao tu mtaani ambao wanammega!!!
 
mchunguze rafiki yk vizuri usikute kawekewa limbwata, haiwezekani mwanamke wk end akajirushe, jamatatu apitie kazini huko huko, then eti jamaa bado anampenda tu!!
 
usijaribu mjomba.no matter what.kugonga dem hasa wa mtu wako wa karibu ni kitendo kibaya sana
 
Kwanza nikupe hongera kwa kujitahidi kumkwepa huyo mwanamama muhuni, pili nikushauri, kaa mbali naye na uwe very very serious akikushika mwambie tabia hiyo huipendi kabisa hata akikukalia uchi we usimjali halafu mdharau live na onyesha haeshima yako ukiwa mbele yake. Na huyo ameshaukwaa sasa anataka kuondoka na wengi pengine ndio maana mume wake hamfuatilii japo anajua anayoyafanya kwa sababu katika hali ya kawaida mwanaume ni lazima awe na wivu kwa mke wake hata mwanamke kwa mumewe. Mkimbie kwa nguvu zote baadae atajua msimamo wako ataachana na wewe
 
mchunguze rafiki yk vizuri usikute kawekewa limbwata, haiwezekani mwanamke wk end akajirushe, jamatatu apitie kazini huko huko, then eti jamaa bado anampenda tu!!

Ndoa, ndoana Susy!!!!!!
 
Habari zenu wanajamvi,ni hivi mimi nafanyakazi na jamaa ambaye mkewe naye anafanya kazi ktk kampuni hiyo hiyo,tatizo ni kwamba huyo mkewe mwenyewe hajatulia hata kidogo ktk watu ambao niko nao kitengo kimoja ni watu wawili tu ambao hatujamchakachua huyu shemu we2.
Ktk hao ambao wamemchakachua/wanamchakachua,rafiki yangu huyu anajua live kuwa demu wake katendwa na mshikaji,ikafikia hatua ya kuanza kutishana kuuana.lkn hao wengine wanamega kisela ni mwendo wa kimyakimya ila mie nafahamu kuwa wanamtenda maana hawanifichi.
Kuanzia Ijumaa mpaka J2 huyu demu anaenda kujirusha na kurudi nyumbani kwa J3 str8 kazini.
Binafsi nashindwa kumshauri huyu jamaa kuwa demu wake ni kicheche si mnajua tena mambo ya mapenzi na yeye kakolea ile mbaya.ila huwa najiuliza hivi huyu jamaa alimkuta huyu demu anauza ngozi au vp mbona hachukui hatua zozote?
Sasa hivi ananisumbua mie mara anikumbatie mara anishike something yangu mara anishikishe naniliyu yake yaani tukibaki wawili inakuwa ni vtuko kwa kwenda mbele binafsi namuheshimu jamaa maana nimemkuta pale kazini na pia ndiye aliyenifundisha jinsi ya kuiba hapo kiwandani
Sasa ndugu zangu mnanishauri nini,nimdinye huyu demu liwalo na liwe au niendelee kumuheshimu msela wangu?
maana naanza kuona huyu demu ataweza kufikiria kuwa something yangu haifanyi kazi
Natanguliza shukrani zangu.

Sioni kwa nini unataka kumwangusha jamaa, kwani kama alikufundisha kuiba. onyesha kuwa ulimwelewa kwa kumtumia mkewe...
 
Huyo mama inawezekana ameshukwaa na anataka kuondoka na wengi. mkalie mbali siku zake zinahesabika. Viwembe wa aina hiyo tunao wengi na swala la muda utaona dalili zote za ngoma
 
katika story yako yooote mi imeniuma kwenye kufundishwa kuiba kiwandani tu......ole wako nijue unafanya kazi TANESCO maumivu yangu ya mgao wa umeme nitakumalizia wewe.
 
Habari zenu wanajamvi,ni hivi mimi nafanyakazi na jamaa ambaye mkewe naye anafanya kazi ktk kampuni hiyo hiyo,tatizo ni kwamba huyo mkewe mwenyewe hajatulia hata kidogo ktk watu ambao niko nao kitengo kimoja ni watu wawili tu ambao hatujamchakachua huyu shemu we2.
Ktk hao ambao wamemchakachua/wanamchakachua,rafiki yangu huyu anajua live kuwa demu wake katendwa na mshikaji,ikafikia hatua ya kuanza kutishana kuuana.lkn hao wengine wanamega kisela ni mwendo wa kimyakimya ila mie nafahamu kuwa wanamtenda maana hawanifichi.
Kuanzia Ijumaa mpaka J2 huyu demu anaenda kujirusha na kurudi nyumbani kwa J3 str8 kazini.
Binafsi nashindwa kumshauri huyu jamaa kuwa demu wake ni kicheche si mnajua tena mambo ya mapenzi na yeye kakolea ile mbaya.ila huwa najiuliza hivi huyu jamaa alimkuta huyu demu anauza ngozi au vp mbona hachukui hatua zozote?
Sasa hivi ananisumbua mie mara anikumbatie mara anishike something yangu mara anishikishe naniliyu yake yaani tukibaki wawili inakuwa ni vtuko kwa kwenda mbele binafsi namuheshimu jamaa maana nimemkuta pale kazini na pia ndiye aliyenifundisha jinsi ya kuiba hapo kiwandani
Sasa ndugu zangu mnanishauri nini,nimdinye huyu demu liwalo na liwe au niendelee kumuheshimu msela wangu?
maana naanza kuona huyu demu ataweza kufikiria kuwa something yangu haifanyi kazi
Natanguliza shukrani zangu.

Demu wa mshikaji wako,, hana heshima we muheshimu jamaa yako then usimgonge huyo demu,,,, wa kazi gani mdau,,, unajua makazini uswahilini kuna mademu wanagongwa kushinda wauza K hapa mjini,,, km from monday to sunday anakula dudu,,,hafai huyo brooo hat km anafaaa ni wa mshikaji wako.
Hapo ulipo ni support ya mshikaji why dont you appreciate,,,,, tatizo vijan mnatak mtelemko,,,,unataka uweke history mbona mimi nishgonga huyu demu,,,utakuwa kwenye list ya walioukwaa nawewe!!!!
 
Habari zenu wanajamvi,ni hivi mimi nafanyakazi na jamaa ambaye mkewe naye anafanya kazi ktk kampuni hiyo hiyo,tatizo ni kwamba huyo mkewe mwenyewe hajatulia hata kidogo ktk watu ambao niko nao kitengo kimoja ni watu wawili tu ambao hatujamchakachua huyu shemu we2.
Ktk hao ambao wamemchakachua/wanamchakachua,rafiki yangu huyu anajua live kuwa demu wake katendwa na mshikaji,ikafikia hatua ya kuanza kutishana kuuana.lkn hao wengine wanamega kisela ni mwendo wa kimyakimya ila mie nafahamu kuwa wanamtenda maana hawanifichi.
Kuanzia Ijumaa mpaka J2 huyu demu anaenda kujirusha na kurudi nyumbani kwa J3 str8 kazini.
Binafsi nashindwa kumshauri huyu jamaa kuwa demu wake ni kicheche si mnajua tena mambo ya mapenzi na yeye kakolea ile mbaya.ila huwa najiuliza hivi huyu jamaa alimkuta huyu demu anauza ngozi au vp mbona hachukui hatua zozote?
Sasa hivi ananisumbua mie mara anikumbatie mara anishike something yangu mara anishikishe naniliyu yake yaani tukibaki wawili inakuwa ni vtuko kwa kwenda mbele binafsi namuheshimu jamaa maana nimemkuta pale kazini na pia ndiye aliyenifundisha jinsi ya kuiba hapo kiwandani
Sasa ndugu zangu mnanishauri nini,nimdinye huyu demu liwalo na liwe au niendelee kumuheshimu msela wangu?
maana naanza kuona huyu demu ataweza kufikiria kuwa something yangu haifanyi kazi
Natanguliza shukrani zangu.
RED:Kwa hiyo unastahi shemeji kwa sababu ya dhambi hii au nafsi inakusuta...?:A S 13:
 
Mkuu Washawasha sasa jina lako mbona unalishushia hadhi? Washa washa tu mkuu kama msela akija juu mwambie mbona kila mtu kala mzee? au mie unaona nafaidi zaidi? Demu wako malaya na unajua,ni jamvi la wageni na wenyeji na mimi ni mwenyeji....Maliza kaka halafu njoo tupe how she is kunako mechi za ugenini....washa tu mtu wangu...usipomwasha atamwambia Bwana ake wewe unamtaka sasa hapo ndo wewe utakoma jamaa atakapokuwashia moto, usiulete hapa...maliza liwalo na liwe ila umeweka nyavuni...tumia Kakifanyilo ketu..
:rain::rain::rain::rain:
 
kaka, muogope huyo demu kama ana ukoma!!!!
kwani demu au mke wa mshikaji ni noma saaana!
pia kwakuwa ana dinywa na watu kibao huenda tayari ana "tanesco"mwilini.
achana nae !! ikibidi mchane kabisa kuwa akizidi utamwambia mmewe!
 
Back
Top Bottom