My x is making me mad!

My x is making me mad!

usinishobokee mwanamke,sijaandika thread ya kutaka mchumba hapa
Watu wasio na hoja ndio zenu. Nikushobokee kwa kuwa kilaza? Nikikuita mjinga jua fika hata kwenye list ya maadui zangu huwezi ingia.
 
Kama unataka watu wasome bila ku-comment peleka gazetini kwenye barua za wasomaji> teh teh tehe

i mean,comment kitu cha maana,siyo mtu anajifanya anaenda kwa thread za nyuma,eti u wrote this,we muongo,spend mambo hayo,u beta comment in a gudway or live it kama niya kijinga.basi
 
Watu wasio na hoja ndio zenu. Nikushobokee kwa kuwa kilaza? Nikikuita mjinga jua fika hata kwenye list ya maadui zangu huwezi ingia.

Hasira za mumeo huko huko,haya kasome,we genius?hapy now?.tchao!
 
Still making a fool out of yourself ehhh?
Mara boyfriend, mara mume. . . unamtaka nini?
Usiogope kusema.

Staki kitu chochote kutoka kwako mie,kwanza hata sikujui.Am out with my GF now.
 
Moyo wako ndio uhamue nini cha kufanya kwani wenyewe ndio unajua ni kwa kiasi gani unayakumbuka yale mema aliyokufanyia. pia moyo huo huo ndio unajua ni kwanini mliachana.KAMA SABABU ZA KUACHANA MOYO UMESHAZIFANYIA KAZI NA KUZIONDOA BASI huu ndio wakati wa moyo huohuo kuhamua kurudi au la
 
Moyo wako ndio uhamue nini cha kufanya kwani wenyewe ndio unajua ni kwa kiasi gani unayakumbuka yale mema aliyokufanyia. pia moyo huo huo ndio unajua ni kwanini mliachana.KAMA SABABU ZA KUACHANA MOYO UMESHAZIFANYIA KAZI NA KUZIONDOA BASI huu ndio wakati wa moyo huohuo kuhamua kurudi au la

Asante mkuu kwa ushauri mzuri.narudi tu.mapungufu yote nshayaona,and i kan change.
 
"Huwezi kujua uzuri wa kitu mpaka ukikose"....
suala ya kumrudia X wako linategemea km dawa ya kile kilichowatenganisha imepatikana. Unamshangaa huyo X wako kwa kuwa tulio wengi tuna kasumba eti ukimwagana hata kupeana salamu hamuwezi, achilia mbali kuongea.
 
hizi sredi za kutunga zaleta balaa
mkuu tambua watu wana kumbukumbu.
sio wanakariri ila wanatokea kukumbuka vinavyoandikwa humu ndani.
OTIS
 
"Huwezi kujua uzuri wa kitu mpaka ukikose"....
suala ya kumrudia X wako linategemea km dawa ya kile kilichowatenganisha imepatikana. Unamshangaa huyo X wako kwa kuwa tulio wengi tuna kasumba eti ukimwagana hata kupeana salamu hamuwezi, achilia mbali kuongea.

aah,mkuu mi naongea nae,story kwenda mbele,you never know,mnawekeana ukimnya au hata salamu hakuna,what if you mit with her or him in a condition ambayo u nid help,utafanyaje,ila ndiyo hivyo,but many man huwa hawakai kimnya,gals daah,kama hakujui vile.
 
alaaaa.......kumbeeeee........
mnatakaga muone tunalia tukiwaona......tujigaregare chini......
au mnategemea mtuone tumechakaa kama tambara la deki.....


Kibongobongo hua tunapenda siku ukionana na X wako awe taabani, kapigika, maisha yamemnyoosha kapauka kama mhogo. Sasa unapokutana nae yuko safi na tabasamu tele roho huuma, na mbaya zaidi unakuta kapata partner bora zaidi dah hapo ndo huuma zaidi.

Kwa mleta thread, ushauri wangu huyo dada muache aendelee na maisha yake kwa mpenzi wake mpya. Wee ulichezea nafasi ijutie basi.
 
Mwanamme wa kwli akifanya maamuzi kafanya. Au unavyo mwacha ulikuwa unajaribu.
Aisee upo kwenye target ukiingia 2 kwishney
 
We nawe acha kusumbua watu.

Jana ulianzisha thread kua una girlfriend ambae bado unampenda ila hataki kuwa na wewe. Jana hiyo hiyo mkarudiana. Jana hiyo hiyo umekutana na X wa tangu 2010 na leo hii simu zako hapokei na unamtaka.

UNABOA SASA. . . . usipotezee watu wengine muda na thread zisizo na mwelekeo.

Nashukuru sana kwa kumweleza ukweli, kuna watu wanakurupuka sana.
 
Kibongobongo hua tunapenda siku ukionana na X wako awe taabani, kapigika, maisha yamemnyoosha kapauka kama mhogo. Sasa unapokutana nae yuko safi na tabasamu tele roho huuma, na mbaya zaidi unakuta kapata partner bora zaidi dah hapo ndo huuma zaidi.

Kwa mleta thread, ushauri wangu huyo dada muache aendelee na maisha yake kwa mpenzi wake mpya. Wee ulichezea nafasi ijutie basi.

Hahaha,eti kapauka kama muogo,duuh,kali kweli kweli...aah,wengine noma unakuta ukimuacha tu anazidishine mbaya...halafu usikute anafanya kazi ya maana.duuh..hapo ndo mmh!.
 
We nawe acha kusumbua watu.

Jana ulianzisha thread kua una girlfriend ambae bado unampenda ila hataki kuwa na wewe. Jana hiyo hiyo mkarudiana. Jana hiyo hiyo umekutana na X wa tangu 2010 na leo hii simu zako hapokei na unamtaka.

UNABOA SASA. . . . usipotezee watu wengine muda na thread zisizo na mwelekeo.

Lizzy na mie naomba huo mtambo ulionao wa kufatilia huu ukenge tafadhali.
 
Back
Top Bottom