nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,902
- 2,488
Acha habari zako wewe, mungu wa kipagani kivipi?El alikua ni caananite deity(mungu wa wacaanan),, wenyewe wanaita pagan god,,
Hivyo inakuwa ngumu kuamini eti malaika mkuu, michael apewe jina la mungu wa kipagani,
Wote michael, daniel Rafael, israel, ezekiel, emanuel, wote wanaoishia na El,. Wanabeba jina la mungu wa kipagani wa wacaanan.
Hivyo ni wazi kuwa tumelishwa hekaya tangu zamani mno
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu kama hicho,, yakobo ni mythical figure hajapata kuwepo,Acha habari zako wewe, mungu wa kipagani kivipi?
Kwa mfano jina Israel, si kalitoa mungu mwenyewe akampa yakub/Jacob, mungu asiyependa kushirikishwa hawezi kuwa alitoa jina hilo lenye el unayodai ina maana mungu wa kipagani.
Mungu asiye wa kipagani ni yupi mwanangu.Hakuna kitu kama hicho,, yakobo ni mythical figure hajapata kuwepo,
Jina lolote linaloishia na El,, anzia kwa IshamEl, MichaEl, DaniEl, RafaEl EmanuEl, etc
Limebeba jina la mungu wa kipagani wa caanan,
Watu hawataki kuchimbua zaidi lakini huo ndo ukweli na history imeweka wazi
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Anapokea rushwa Kia's gani niweze kupatana nae[emoji4]Kutokana na Mythology ya dini nilizozitaja hapo juu, inaelezwa kwamba Azrael kazi yake kuandikisha kwenye kitabu cha wanaoishi duniani pindi wanapozaliwa, vile vile hufuta watu katika kitabu hicho cha kuzaliwa na kuwaandikisha katika kitabu cha kifo.
Yeye ndiye aliyepewa ufunguo wa kifo. Sasa basi kama unataka kuishi miaka mingi hapa duniani, jaribu kupata na malaika huyu.
Vilevile malaika huyu anakaa katika bingu ya tatu(Paradise aka paradiso). Mbingu ya tatu, inaelezwa kwamba baada ya mtu kufa akiwa na matendo mema ndiyo sehemu anaenda kujituliza.
we jamaa kuna wakati una sound intelligent na kuna muda unaonekana Jinga Jinga fulan.El alikua ni caananite deity(mungu wa wacaanan),, wenyewe wanaita pagan god,,
Hivyo inakuwa ngumu kuamini eti malaika mkuu, michael apewe jina la mungu wa kipagani,
Wote michael, daniel Rafael, israel, ezekiel, emanuel, wote wanaoishia na El,. Wanabeba jina la mungu wa kipagani wa wacaanan.
Hivyo ni wazi kuwa tumelishwa hekaya tangu zamani mno
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Huyo ana stress za u spika wa bunge.we jamaa kuna wakati una sound intelligent na kuna muda unaonekana Jinga Jinga fulan.
umejua kuwa hayo majina ya malaika waliyakopi kwa hao waPagani na sio wapagani walikopi kwa malaika hayo majina na kuyafanya kuwa majina ya miungu yao?. ujue jambo moja malaika (kwa mujibu wa imani) wamekuwepo kabla ya wapagani.
ilo tu likufanye ujue wapagani ndio wamekopi
Mkuu kwa jina la Fidelis je unalizungumziaje?Hakuna kitu kama hicho,, yakobo ni mythical figure hajapata kuwepo,
Jina lolote linaloishia na El,, anzia kwa IshamEl, MichaEl, DaniEl, RafaEl EmanuEl, etc
Limebeba jina la mungu wa kipagani wa caanan,
Watu hawataki kuchimbua zaidi lakini huo ndo ukweli na history imeweka wazi
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Katika mfululizo wa masomo yangu haya ya mythology nitafundisha namna ya kuongea na viumbe vingine katika ulimwengu wa roho[emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545].View attachment 2067317View attachment 2067318
Ndugu zangu wana JF Leo nimeamua kuanza kutoa masomo ya mythology. Iwe kweli au siyo kweli lakini tupate kutambua namna wengine wanavyo iendesha dunia hii.
Leo nitaongelea malaika mtoa roho aitwae Azrael. Huyu anaongelewa sana katika imani za Judaism na uislam. Kwa wakristo yaani biblia wanawaongelea Michael, Gabriel na Raphael.
Ukipata kukisoma kitabu (The book of Enoch) utawatambua baadhi ya hawa malaika na baadhi ya kazi zao.
Malaika huyu unaweza kumwita ili aweze kufanya kazi kwa mujibu was taratibu za kuwaita malaika na kuongea nao.
Katika mfululizo wa masomo yangu haya ya mythology nitafundisha namna ya kuongea na viumbe vingine katika ulimwengu wa roho.
Karibuni sana.
FatherKatika mfululizo wa masomo yangu haya ya mythology nitafundisha namna ya kuongea na viumbe vingine katika ulimwengu wa roho[emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545].
Hivi huyu malaika mtoa roho ni kweli yupo au!!!View attachment 2067317View attachment 2067318
Ndugu zangu wana JF Leo nimeamua kuanza kutoa masomo ya mythology. Iwe kweli au siyo kweli lakini tupate kutambua namna wengine wanavyo iendesha dunia hii.
Leo nitaongelea malaika mtoa roho aitwae Azrael. Huyu anaongelewa sana katika imani za Judaism na uislam. Kwa wakristo yaani biblia wanawaongelea Michael, Gabriel na Raphael.
Ukipata kukisoma kitabu (The book of Enoch) utawatambua baadhi ya hawa malaika na baadhi ya kazi zao.
Malaika huyu unaweza kumwita ili aweze kufanya kazi kwa mujibu was taratibu za kuwaita malaika na kuongea nao.
Katika mfululizo wa masomo yangu haya ya mythology nitafundisha namna ya kuongea na viumbe vingine katika ulimwengu wa roho.
Karibuni sana.
Hivi huyu malaika mtoa roho ni kweli yupo au!!!
muite kimoyo moyo ukute asubuhi unaamkia mawinguniUngefanya research, ungelewa naongelea nini hata mimi nilishtuka sana kugundua hii kitu,, nakushauri sasa taratibu kwa wakati wako, research, El,,we jamaa kuna wakati una sound intelligent na kuna muda unaonekana Jinga Jinga fulan.
umejua kuwa hayo majina ya malaika waliyakopi kwa hao waPagani na sio wapagani walikopi kwa malaika hayo majina na kuyafanya kuwa majina ya miungu yao?. ujue jambo moja malaika (kwa mujibu wa imani) wamekuwepo kabla ya wapagani.
ilo tu likufanye ujue wapagani ndio wamekopi
Ungefanya research, ungelewa naongelea nini hata mimi nilishtuka sana kugundua hii kitu,, nakushauri sasa taratibu kwa wakati wako, research, El,,
Halafu jiulize tu, ilikuaje ghafla wakaacha kuabudu El na kuhamia Yahwew,
Search pia, 'Documentary hypothesis'
Utapata mwanga
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kwa mujibu wa bible,Mungu asiye wa kipagani ni yupi mwanangu.
Nimekuuliza swali unajibu kitu tofauti.Kwa mujibu wa bible,
Mungu mkuu ni El elyon
Huyu ana watoto 70,, miongoni mwao ni Baal, jehova, etc,
Abraham alikua introduced kwa mungu El na mtawala wa yerushalem alieitwa Melkizedek,, so hatuelewi wakati yuko mesopotamia, Abraham aliabudu mungu yupi,,,
Moses alikua introduced kwa mungu, Yahwew na baba mkwe wake, yethro ambae alikuwa ni kuhani wa yahwew wa kabila la wa midian
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hamna kitu hapamuite kimoyo moyo ukute asubuhi unaamkia mawinguni
Lazima uwe na IQ kubwa sana kulielewa jibu langu, so ngoja nikupe black and white,Nimekuuliza swali unajibu kitu tofauti.
Mungu asiye wa kipagani ni yupi!?
Nakuongezea swali la pili upagani ni nini!?