Mythology: Mjue Malaika Azrael(Malaika mtoa roho)

Mythology: Mjue Malaika Azrael(Malaika mtoa roho)

Lazima uwe na IQ kubwa sana kulielewa jibu langu, so ngoja nikupe black and white,
El
Yahwew
Baal
Sagon
Venus
Ra
Salem
Allah..
Etc
Hawa waluabudiwa na jamii mbalimbali kabla ya ujio wa mainstream Religious,
Naposema pagan, namaanisha non mainstream Religious,
Kila jamii ilikuwa na mungu iliyomuabudu ,
So mungu anaweza kuwa mmoja,, lakini jamii inaabudu kwa style tofauti tofauti na kwa jina tofauti tofauti[emoji1745]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mzee sasa tuambie Mungu wa mainstream ambayo siyo upagani ni yupi!?
 
Mafundisho ya dini nyingine ni upagani mtupu!
Hakuna malaika mtoa roho!
Hakuna malaika anaekujia kaburini na kuanza kukuhoji, hakuna kitu kama hicho!
 
Kutokana na Mythology ya dini nilizozitaja hapo juu, inaelezwa kwamba Azrael kazi yake kuandikisha kwenye kitabu cha wanaoishi duniani pindi wanapozaliwa, vile vile hufuta watu katika kitabu hicho cha kuzaliwa na kuwaandikisha katika kitabu cha kifo.

Yeye ndiye aliyepewa ufunguo wa kifo. Sasa basi kama unataka kuishi miaka mingi hapa duniani, jaribu kupata na malaika huyu.

Vilevile malaika huyu anakaa katika bingu ya tatu(Paradise aka paradiso). Mbingu ya tatu, inaelezwa kwamba baada ya mtu kufa akiwa na matendo mema ndiyo sehemu anaenda kujituliza.
nimecheka san hapo uliposema eti ukitaka kuishi miaka mingi uwe unaelewana nae [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].

Katika malaika watata mzee huyo ndo namba hatari,ukitaka umpatie mwislamu yoyote yule ukimtajia hadithi za huyo bwana lazma apoe kama maji vile.

nakumbuka kuna mtume alikuwa anafosi sana kwa mungu amuone live huyo malaika,basi mungu hakufanya hiyana akamkutanisha nae na alikuja kwa sura tu ya kirafiki sababu anaongea na mtume wa mwenyezi mungu.

Lakini baadae mtume alivyoulizwa anafananaje malaikatul mauti jibu alilotoa ni kwamba sura na umbile lake tu ni kifo tosha na hapo ndo kaja na umbile la kirafiki je akija kwa shari anakuwaje

allah atupe mwisho mwema mimi na wewe amim
 
Kwa mujibu wa bible,
Mungu mkuu ni El elyon
Huyu ana watoto 70,, miongoni mwao ni Baal, jehova, etc,
Abraham alikua introduced kwa mungu El na mtawala wa yerushalem alieitwa Melkizedek,, so hatuelewi wakati yuko mesopotamia, Abraham aliabudu mungu yupi,,,
Moses alikua introduced kwa mungu, Yahwew na baba mkwe wake, yethro ambae alikuwa ni kuhani wa yahwew wa kabila la wa midian

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
We jamaaa nakuonea huruma sana ukifa sijui utaenda wapi maana unaongea vitu havieleweki na ni ujinga mtupu
 
El alikua ni caananite deity(mungu wa wacaanan),, wenyewe wanaita pagan god,,
Hivyo inakuwa ngumu kuamini eti malaika mkuu, michael apewe jina la mungu wa kipagani,
Wote michael, daniel Rafael, israel, ezekiel, emanuel, wote wanaoishia na El,. Wanabeba jina la mungu wa kipagani wa wacaanan.
Hivyo ni wazi kuwa tumelishwa hekaya tangu zamani mno

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Ahsante kwa elimu
Nalog off
 
Nimekuuliza swali unajibu kitu tofauti.
Mungu asiye wa kipagani ni yupi!?
Nakuongezea swali la pili upagani ni nini!?
Maelezo yangu yalikuwa yanachochea ufanye critical thinking mwenyewe, kama El ni mungu wa kipagani,, maana yake inavunja kabisa misingi ya Abrahamic religions
 
Nimekuuliza swali unajibu kitu tofauti.
Mungu asiye wa kipagani ni yupi!?
Nakuongezea swali la pili upagani ni nini!?
Maelezo yangu yalikuwa yanachochea ufanye critical thinking mwenyewe, kama El ni mungu wa kipagani,, maana yake inavunja kabisa misingi ya Abrahamic religions
 
Kutokana na Mythology ya dini nilizozitaja hapo juu, inaelezwa kwamba Azrael kazi yake kuandikisha kwenye kitabu cha wanaoishi duniani pindi wanapozaliwa, vile vile hufuta watu katika kitabu hicho cha kuzaliwa na kuwaandikisha katika kitabu cha kifo.

Yeye ndiye aliyepewa ufunguo wa kifo. Sasa basi kama unataka kuishi miaka mingi hapa duniani, jaribu kupata na malaika huyu.

Vilevile malaika huyu anakaa katika bingu ya tatu(Paradise aka paradiso). Mbingu ya tatu, inaelezwa kwamba baada ya mtu kufa akiwa na matendo mema ndiyo sehemu anaenda kujituliza.

Hakuna mfu anaenda mbinguni. huo ni uongo​

1 Wakorintho 15:52​

ghafula, kufumba na kufumbua, parapanda ya mwisho itakapolia. Kwa kuwa parapanda italia, nao wafu watafufuliwa na miili isiyoharibika, nasi tutabadilishwa.
 
Back
Top Bottom