Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
-
- #41
Mzee sasa tuambie Mungu wa mainstream ambayo siyo upagani ni yupi!?Lazima uwe na IQ kubwa sana kulielewa jibu langu, so ngoja nikupe black and white,
El
Yahwew
Baal
Sagon
Venus
Ra
Salem
Allah..
Etc
Hawa waluabudiwa na jamii mbalimbali kabla ya ujio wa mainstream Religious,
Naposema pagan, namaanisha non mainstream Religious,
Kila jamii ilikuwa na mungu iliyomuabudu ,
So mungu anaweza kuwa mmoja,, lakini jamii inaabudu kwa style tofauti tofauti na kwa jina tofauti tofauti[emoji1745]
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Utajua siku yako ikifika, hapa tutapigana kamba tu πππHivi huyu malaika mtoa roho ni kweli yupo au!!!
Upagani ni nini? bwana pilipili kichaaMafundisho ya dini nyingine ni upagani mtupu!
Hakuna malaika mtoa roho!
Hakuna malaika anaekujia kaburini na kuanza kukuhoji, hakuna kitu kama hicho!
nimecheka san hapo uliposema eti ukitaka kuishi miaka mingi uwe unaelewana nae [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].Kutokana na Mythology ya dini nilizozitaja hapo juu, inaelezwa kwamba Azrael kazi yake kuandikisha kwenye kitabu cha wanaoishi duniani pindi wanapozaliwa, vile vile hufuta watu katika kitabu hicho cha kuzaliwa na kuwaandikisha katika kitabu cha kifo.
Yeye ndiye aliyepewa ufunguo wa kifo. Sasa basi kama unataka kuishi miaka mingi hapa duniani, jaribu kupata na malaika huyu.
Vilevile malaika huyu anakaa katika bingu ya tatu(Paradise aka paradiso). Mbingu ya tatu, inaelezwa kwamba baada ya mtu kufa akiwa na matendo mema ndiyo sehemu anaenda kujituliza.
We jamaaa nakuonea huruma sana ukifa sijui utaenda wapi maana unaongea vitu havieleweki na ni ujinga mtupuKwa mujibu wa bible,
Mungu mkuu ni El elyon
Huyu ana watoto 70,, miongoni mwao ni Baal, jehova, etc,
Abraham alikua introduced kwa mungu El na mtawala wa yerushalem alieitwa Melkizedek,, so hatuelewi wakati yuko mesopotamia, Abraham aliabudu mungu yupi,,,
Moses alikua introduced kwa mungu, Yahwew na baba mkwe wake, yethro ambae alikuwa ni kuhani wa yahwew wa kabila la wa midian
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hata mimi nimemsoma huyo jamaa ni wa ovyo sana, hajui ila anajiona anajuaWe jamaaa nakuonea huruma sana ukifa sijui utaenda wapi maana unaongea vitu havieleweki na ni ujinga mtupu
Hakuna haja ya kuwafungiaMods. Watu wanao anzisha mada na hawamalizi wafungiwe wanajaza servers hovyo.
Ova
unazinguaKwaribu mwaka 2013
Ahsante kwa elimuEl alikua ni caananite deity(mungu wa wacaanan),, wenyewe wanaita pagan god,,
Hivyo inakuwa ngumu kuamini eti malaika mkuu, michael apewe jina la mungu wa kipagani,
Wote michael, daniel Rafael, israel, ezekiel, emanuel, wote wanaoishia na El,. Wanabeba jina la mungu wa kipagani wa wacaanan.
Hivyo ni wazi kuwa tumelishwa hekaya tangu zamani mno
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo tunapigwa mkuu πππhakuna malaika mtoa roho wala nini!
yaleyale ya malaika kuja kaburuni! π€£ π€£ π€£
Maelezo yangu yalikuwa yanachochea ufanye critical thinking mwenyewe, kama El ni mungu wa kipagani,, maana yake inavunja kabisa misingi ya Abrahamic religionsNimekuuliza swali unajibu kitu tofauti.
Mungu asiye wa kipagani ni yupi!?
Nakuongezea swali la pili upagani ni nini!?
Maelezo yangu yalikuwa yanachochea ufanye critical thinking mwenyewe, kama El ni mungu wa kipagani,, maana yake inavunja kabisa misingi ya Abrahamic religionsNimekuuliza swali unajibu kitu tofauti.
Mungu asiye wa kipagani ni yupi!?
Nakuongezea swali la pili upagani ni nini!?
Kutokana na Mythology ya dini nilizozitaja hapo juu, inaelezwa kwamba Azrael kazi yake kuandikisha kwenye kitabu cha wanaoishi duniani pindi wanapozaliwa, vile vile hufuta watu katika kitabu hicho cha kuzaliwa na kuwaandikisha katika kitabu cha kifo.
Yeye ndiye aliyepewa ufunguo wa kifo. Sasa basi kama unataka kuishi miaka mingi hapa duniani, jaribu kupata na malaika huyu.
Vilevile malaika huyu anakaa katika bingu ya tatu(Paradise aka paradiso). Mbingu ya tatu, inaelezwa kwamba baada ya mtu kufa akiwa na matendo mema ndiyo sehemu anaenda kujituliza.