Umesma kweli mkuuYupo sahihi, akitamka direct anaweza kusababisha hata vita ya wenyewe kwa wenyewe, kumbuka huyu alikuwa ni kiongozi mkubwa na ana ushawishi wa kutosha, hata maaskofu ukikutana nao live ukaongea nao wanaongea kama sisi lakini mbele ya camera lazima apunguze makali haswa.
Hamna sema mzee anajua mambo mengi amekula vyapo vingi mno so lazima achague maneno vzrHuyu mzee naye ana kaunafisi kwa mbali mpk utulie ndiyo utakaona, but ukilinganisha na majangili ya CCM mzee yupo vizuri, kimsingi hakuna msafi ndani ya CCM, kuna matekaji, majangili, mafisadi na kusanyiko la shetani tupu.
Kabisa.Ni kama ile miradi ya Hitler wa Ujerumani.Magufuli ametuachia miradi ya karne vilaza muache kumtajataja wajinga nyie
Yupo sahihi, akitamka direct anaweza kusababisha hata vita ya wenyewe kwa wenyewe, kumbuka huyu alikuwa ni kiongozi mkubwa na ana ushawishi wa kutosha, hata maaskofu ukikutana nao live ukaongea nao wanaongea kama sisi lakini mbele ya camera lazima apunguze makali haswa.
Lugha hawezi kumoesha matendo ya uovu, ila tabia kuacha ubinafsi..waswahili wana msemo, " samaki mkunje angali mbichi. "
..lugha laini-laini wanayotumia viongozi wakuu, na viongozi wa dini, wakati wananchi wakifanyiwa uovu inatengeneza mazingira ya matendo hayo kutokukomeshwa.
Pa1naunga mkono hoja。
p
Huyo ndiye mwana CCM pekee aliyebaki.Mzee tunakuombea kwa Mungu uishi maisha marefu, uzalendo wako sisi watanzania tunauona.
Usichoke kusema na kukemea na kushauri viongozi wetu hawa ambao wengi wao wanajua kujaza matumbo yao, hawapo kimasilai zaidi ya inchi.
Mzee wetu wewe ndio uliobaki ndani ya chaa cha CCM mwenyewe uthubutu wa kukemea, kukosoa, pale ambapo viongozi wetu hawa wabinafsi, waloo wa madaraka, wanao angalia zaidi familia zao kuliko kuangalia uzalendo wa taifa letu pendwa la Tanzania.
Mzee wetu tupo nyuma Yako kukuunga mkono juu ya kujenga taifa letu kwa ajili ya kizazi cha kesho.
Mzee wetu tunajua unapitia wakati ngumu juu ya kutetea maslai mapana ya taifa letu pendwa juu ya hawa wanaojiita wanaCCM huku wakiacha misingi ile CHAMA ilio anzishwa na Baba wa Taifa hili ambao ni upendo, watanzania wote ni ndugu, umoja na mshika mano, pamoja na kulinda utu wa mtu.
Mzee warioba karma itakuinua, upo tayari kupoteza malupulupu, Yako kwa ajili ya kutetea maslai ya taifa letu hili, hakuna mwingine mzee mwenyewe ujasili kama wako huo Mungu akulinde, akupe maisha marefu zaidi, usivunjike moyo, haki HUINUA TAIFA, watanzania wengi wapo nyuma Yako ila hawana ujasiri wa kusema wanaogopa" kutekwa" kupoteza maslai yao" kupoteza vyeo vyao, kupoteza mali zao . Mungu Ibariki Tanzania.
By mwinjilist
Mzee hana watoto wanaovizia teuzi.Mzee tunakuombea kwa Mungu uishi maisha marefu, uzalendo wako sisi watanzania tunauona.
Usichoke kusema na kukemea na kushauri viongozi wetu hawa ambao wengi wao wanajua kujaza matumbo yao, hawapo kimasilai zaidi ya inchi.
Mzee wetu wewe ndio uliobaki ndani ya chaa cha CCM mwenyewe uthubutu wa kukemea, kukosoa, pale ambapo viongozi wetu hawa wabinafsi, waloo wa madaraka, wanao angalia zaidi familia zao kuliko kuangalia uzalendo wa taifa letu pendwa la Tanzania.
Mzee wetu tupo nyuma Yako kukuunga mkono juu ya kujenga taifa letu kwa ajili ya kizazi cha kesho.
Mzee wetu tunajua unapitia wakati ngumu juu ya kutetea maslai mapana ya taifa letu pendwa juu ya hawa wanaojiita wanaCCM huku wakiacha misingi ile CHAMA ilio anzishwa na Baba wa Taifa hili ambao ni upendo, watanzania wote ni ndugu, umoja na mshika mano, pamoja na kulinda utu wa mtu.
Mzee warioba karma itakuinua, upo tayari kupoteza malupulupu, Yako kwa ajili ya kutetea maslai ya taifa letu hili, hakuna mwingine mzee mwenyewe ujasili kama wako huo Mungu akulinde, akupe maisha marefu zaidi, usivunjike moyo, haki HUINUA TAIFA, watanzania wengi wapo nyuma Yako ila hawana ujasiri wa kusema wanaogopa" kutekwa" kupoteza maslai yao" kupoteza vyeo vyao, kupoteza mali zao . Mungu Ibariki Tanzania.
By mwinjilist
Mkuu unajisubuq kujibizana na nyumbu...Mkuu, mtu akisema ulikuwa na dosari ,hauwelewi? Hii ni lugha ya kifasihii
Amina ,kwa lwelini mzee pekee ambaye anazeeka na akili zake timamu, wengine Mungu aliamua kuchukua akili mapema sasa wanazeeka wakiwa empty na ubaya zaidi ni kwamba wanapewa nafasi ya kuzungumza public ili tuone umbu mbu mbu wao 😎 . Mzee warioba aishi maisha marefu Mungu aendelee kumtumia na kumuongezea miaka ya kuishi..hayupo kwenye kundi la wa wazee wa hovyo
Marefu kwakeKuna kijana mwenye laana alijaribu kumfanyia fujo pale Ubungo plaza - CCM imejaza vijana wa hovyo sana.
Mungu akupe maisha marefu Jaji pekee wa heshima uliyebakia TZ baada ya Majaji Nyalali na Kisanga kutangulia mnele za haki.
Kweli kabisa kuna vina wa hovyo kabisaKuna kijana mwenye laana alijaribu kumfanyia fujo pale Ubungo plaza - CCM imejaza vijana wa hovyo sana.
Mungu akupe maisha marefu Jaji pekee wa heshima uliyebakia TZ baada ya Majaji Nyalali na Kisanga kutangulia mnele za haki.
Kweli kabisa kuna vina wa hovyo kabisa