Mzalendo namba moja, aliyebaki Tanzania ni mzee Jaji Joseph Warioba, Watanzania wanakutegemea sana. Uishi miaka mingi

Mzalendo namba moja, aliyebaki Tanzania ni mzee Jaji Joseph Warioba, Watanzania wanakutegemea sana. Uishi miaka mingi

Yupo sahihi, akitamka direct anaweza kusababisha hata vita ya wenyewe kwa wenyewe, kumbuka huyu alikuwa ni kiongozi mkubwa na ana ushawishi wa kutosha, hata maaskofu ukikutana nao live ukaongea nao wanaongea kama sisi lakini mbele ya camera lazima apunguze makali haswa.
Umesma kweli mkuu
 
Huyu mzee naye ana kaunafisi kwa mbali mpk utulie ndiyo utakaona, but ukilinganisha na majangili ya CCM mzee yupo vizuri, kimsingi hakuna msafi ndani ya CCM, kuna matekaji, majangili, mafisadi na kusanyiko la shetani tupu.
Hamna sema mzee anajua mambo mengi amekula vyapo vingi mno so lazima achague maneno vzr
 
Yupo sahihi, akitamka direct anaweza kusababisha hata vita ya wenyewe kwa wenyewe, kumbuka huyu alikuwa ni kiongozi mkubwa na ana ushawishi wa kutosha, hata maaskofu ukikutana nao live ukaongea nao wanaongea kama sisi lakini mbele ya camera lazima apunguze makali haswa.


..waswahili wana msemo, " samaki mkunje angali mbichi. "

..lugha laini-laini wanayotumia viongozi wakuu, na viongozi wa dini, wakati wananchi wakifanyiwa uovu inatengeneza mazingira ya matendo hayo kutokukomeshwa.
 
..waswahili wana msemo, " samaki mkunje angali mbichi. "

..lugha laini-laini wanayotumia viongozi wakuu, na viongozi wa dini, wakati wananchi wakifanyiwa uovu inatengeneza mazingira ya matendo hayo kutokukomeshwa.
Lugha hawezi kumoesha matendo ya uovu, ila tabia kuacha ubinafsi
 
Mzee tunakuombea kwa Mungu uishi maisha marefu, uzalendo wako sisi watanzania tunauona.

Usichoke kusema na kukemea na kushauri viongozi wetu hawa ambao wengi wao wanajua kujaza matumbo yao, hawapo kimasilai zaidi ya inchi.

Mzee wetu wewe ndio uliobaki ndani ya chaa cha CCM mwenyewe uthubutu wa kukemea, kukosoa, pale ambapo viongozi wetu hawa wabinafsi, waloo wa madaraka, wanao angalia zaidi familia zao kuliko kuangalia uzalendo wa taifa letu pendwa la Tanzania.

Mzee wetu tupo nyuma Yako kukuunga mkono juu ya kujenga taifa letu kwa ajili ya kizazi cha kesho.

Mzee wetu tunajua unapitia wakati ngumu juu ya kutetea maslai mapana ya taifa letu pendwa juu ya hawa wanaojiita wanaCCM huku wakiacha misingi ile CHAMA ilio anzishwa na Baba wa Taifa hili ambao ni upendo, watanzania wote ni ndugu, umoja na mshika mano, pamoja na kulinda utu wa mtu.

Mzee warioba karma itakuinua, upo tayari kupoteza malupulupu, Yako kwa ajili ya kutetea maslai ya taifa letu hili, hakuna mwingine mzee mwenyewe ujasili kama wako huo Mungu akulinde, akupe maisha marefu zaidi, usivunjike moyo, haki HUINUA TAIFA, watanzania wengi wapo nyuma Yako ila hawana ujasiri wa kusema wanaogopa" kutekwa" kupoteza maslai yao" kupoteza vyeo vyao, kupoteza mali zao . Mungu Ibariki Tanzania.

By mwinjilist
Huyo ndiye mwana CCM pekee aliyebaki.
 
ni mzee pekee ambaye anazeeka na akili zake timamu, wengine Mungu aliamua kuchukua akili mapema sasa wanazeeka wakiwa empty na ubaya zaidi ni kwamba wanapewa nafasi ya kuzungumza public ili tuone umbu mbu mbu wao 😎 . Mzee warioba aishi maisha marefu Mungu aendelee kumtumia na kumuongezea miaka ya kuishi..hayupo kwenye kundi la wa wazee wa hovyo
 
Mzee tunakuombea kwa Mungu uishi maisha marefu, uzalendo wako sisi watanzania tunauona.

Usichoke kusema na kukemea na kushauri viongozi wetu hawa ambao wengi wao wanajua kujaza matumbo yao, hawapo kimasilai zaidi ya inchi.

Mzee wetu wewe ndio uliobaki ndani ya chaa cha CCM mwenyewe uthubutu wa kukemea, kukosoa, pale ambapo viongozi wetu hawa wabinafsi, waloo wa madaraka, wanao angalia zaidi familia zao kuliko kuangalia uzalendo wa taifa letu pendwa la Tanzania.

Mzee wetu tupo nyuma Yako kukuunga mkono juu ya kujenga taifa letu kwa ajili ya kizazi cha kesho.

Mzee wetu tunajua unapitia wakati ngumu juu ya kutetea maslai mapana ya taifa letu pendwa juu ya hawa wanaojiita wanaCCM huku wakiacha misingi ile CHAMA ilio anzishwa na Baba wa Taifa hili ambao ni upendo, watanzania wote ni ndugu, umoja na mshika mano, pamoja na kulinda utu wa mtu.

Mzee warioba karma itakuinua, upo tayari kupoteza malupulupu, Yako kwa ajili ya kutetea maslai ya taifa letu hili, hakuna mwingine mzee mwenyewe ujasili kama wako huo Mungu akulinde, akupe maisha marefu zaidi, usivunjike moyo, haki HUINUA TAIFA, watanzania wengi wapo nyuma Yako ila hawana ujasiri wa kusema wanaogopa" kutekwa" kupoteza maslai yao" kupoteza vyeo vyao, kupoteza mali zao . Mungu Ibariki Tanzania.

By mwinjilist
Mzee hana watoto wanaovizia teuzi.
 
Kuna kijana mwenye laana alijaribu kumfanyia fujo pale Ubungo plaza - CCM imejaza vijana wa hovyo sana.

Mungu akupe maisha marefu Jaji pekee wa heshima uliyebakia TZ baada ya Majaji Nyalali na Kisanga kutangulia mnele za haki.
 
ni mzee pekee ambaye anazeeka na akili zake timamu, wengine Mungu aliamua kuchukua akili mapema sasa wanazeeka wakiwa empty na ubaya zaidi ni kwamba wanapewa nafasi ya kuzungumza public ili tuone umbu mbu mbu wao 😎 . Mzee warioba aishi maisha marefu Mungu aendelee kumtumia na kumuongezea miaka ya kuishi..hayupo kwenye kundi la wa wazee wa hovyo
Amina ,kwa lweli
 
Kabisa maisha ma
Kuna kijana mwenye laana alijaribu kumfanyia fujo pale Ubungo plaza - CCM imejaza vijana wa hovyo sana.

Mungu akupe maisha marefu Jaji pekee wa heshima uliyebakia TZ baada ya Majaji Nyalali na Kisanga kutangulia mnele za haki.
Marefu kwake
 
Kuna kijana mwenye laana alijaribu kumfanyia fujo pale Ubungo plaza - CCM imejaza vijana wa hovyo sana.

Mungu akupe maisha marefu Jaji pekee wa heshima uliyebakia TZ baada ya Majaji Nyalali na Kisanga kutangulia mnele za haki.
Kweli kabisa kuna vina wa hovyo kabisa
 
Kweli kabisa kuna vina wa hovyo kabisa

..sasa hao waliomshambuliwa Mzee Warioba wameteuliwa ktk nyadhifa kubwa kuliko walizokuwa nazo wakati walipomshambulia.

..kitu cha kushangaza ni kwamba Mzee Warioba bado yuko ktk chama hicho hicho cha waliomshambulia. Pia anaendelea kujinyenyekeza kwa watawala na mamlaka zinazopandisha vyeo wahuni waliomshambulia.

..Mzee Warioba labda yuko kwenye denial akiamini watawala wahuni watamsikiliza akiwasilisha hoja zake kwa kumung'unya maneno. Au labda ni mnafiki anayetumika kuwadanganya wanamageuzi wamuone anawaunga mkono.
 
Back
Top Bottom