Mzalendo namba moja, aliyebaki Tanzania ni mzee Jaji Joseph Warioba, Watanzania wanakutegemea sana. Uishi miaka mingi

Mzalendo namba moja, aliyebaki Tanzania ni mzee Jaji Joseph Warioba, Watanzania wanakutegemea sana. Uishi miaka mingi

Mzee tunakuombea kwa Mungu uishi maisha marefu, uzalendo wako sisi watanzania tunauona.

Usichoke kusema na kukemea na kushauri viongozi wetu hawa ambao wengi wao wanajua kujaza matumbo yao, hawapo kimasilai zaidi ya inchi.

Mzee wetu wewe ndio uliobaki ndani ya chaa cha CCM mwenyewe uthubutu wa kukemea, kukosoa, pale ambapo viongozi wetu hawa wabinafsi, waloo wa madaraka, wanao angalia zaidi familia zao kuliko kuangalia uzalendo wa taifa letu pendwa la Tanzania.

Mzee wetu tupo nyuma Yako kukuunga mkono juu ya kujenga taifa letu kwa ajili ya kizazi cha kesho.

Mzee wetu tunajua unapitia wakati ngumu juu ya kutetea maslai mapana ya taifa letu pendwa juu ya hawa wanaojiita wanaCCM huku wakiacha misingi ile CHAMA ilio anzishwa na Baba wa Taifa hili ambao ni upendo, watanzania wote ni ndugu, umoja na mshika mano, pamoja na kulinda utu wa mtu.

Mzee warioba karma itakuinua, upo tayari kupoteza malupulupu, Yako kwa ajili ya kutetea maslai ya taifa letu hili, hakuna mwingine mzee mwenyewe ujasili kama wako huo Mungu akulinde, akupe maisha marefu zaidi, usivunjike moyo, haki HUINUA TAIFA, watanzania wengi wapo nyuma Yako ila hawana ujasiri wa kusema wanaogopa" kutekwa" kupoteza maslai yao" kupoteza vyeo vyao, kupoteza mali zao . Mungu Ibariki Tanzania.

By mwinjilist
Tunamuombea afya njema, Baraka na Neema za Mungu na maisha marefu zaidi Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenz cha waTanzania walau atuongoze hadi 2035🐒
 
Kuna kijana mwenye laana alijaribu kumfanyia fujo pale Ubungo plaza - CCM imejaza vijana wa hovyo sana.

Mungu akupe maisha marefu Jaji pekee wa heshima uliyebakia TZ baada ya Majaji Nyalali na Kisanga kutangulia mnele za haki.
Hahaaa
 
..Nilipomsikia Mzee Warioba anasema uchaguzi wa 2020 ulikuwa na dosari, badala ya kusema ulivurugwa, na wapinzani waliuwawa, nilimuweka ktk kundi la wanafiki.

..Na mtakumbuka kwamba Mzee Warioba alimpigia kampeni Magufuli pamoja na kujua ukatili wa kila aina alioufanya kati ya 2016 na 2020.
Lugha Kidiplomasia katumia.
 
Mzee tunakuombea kwa Mungu uishi maisha marefu, uzalendo wako sisi watanzania tunauona.

Usichoke kusema na kukemea na kushauri viongozi wetu hawa ambao wengi wao wanajua kujaza matumbo yao, hawapo kimasilai zaidi ya inchi.

Mzee wetu wewe ndio uliobaki ndani ya chaa cha CCM mwenyewe uthubutu wa kukemea, kukosoa, pale ambapo viongozi wetu hawa wabinafsi, waloo wa madaraka, wanao angalia zaidi familia zao kuliko kuangalia uzalendo wa taifa letu pendwa la Tanzania.

Mzee wetu tupo nyuma Yako kukuunga mkono juu ya kujenga taifa letu kwa ajili ya kizazi cha kesho.

Mzee wetu tunajua unapitia wakati ngumu juu ya kutetea maslai mapana ya taifa letu pendwa juu ya hawa wanaojiita wanaCCM huku wakiacha misingi ile CHAMA ilio anzishwa na Baba wa Taifa hili ambao ni upendo, watanzania wote ni ndugu, umoja na mshika mano, pamoja na kulinda utu wa mtu.

Mzee warioba karma itakuinua, upo tayari kupoteza malupulupu, Yako kwa ajili ya kutetea maslai ya taifa letu hili, hakuna mwingine mzee mwenyewe ujasili kama wako huo Mungu akulinde, akupe maisha marefu zaidi, usivunjike moyo, haki HUINUA TAIFA, watanzania wengi wapo nyuma Yako ila hawana ujasiri wa kusema wanaogopa" kutekwa" kupoteza maslai yao" kupoteza vyeo vyao, kupoteza mali zao . Mungu Ibariki Tanzania.

By mwinjilist
Butiku ,na Jenerali Twaha Halfan Ulimwengu
 
Mzee tunakuombea kwa Mungu uishi maisha marefu, uzalendo wako sisi watanzania tunauona.

Usichoke kusema na kukemea na kushauri viongozi wetu hawa ambao wengi wao wanajua kujaza matumbo yao, hawapo kimasilai zaidi ya inchi.

Mzee wetu wewe ndio uliobaki ndani ya chaa cha CCM mwenyewe uthubutu wa kukemea, kukosoa, pale ambapo viongozi wetu hawa wabinafsi, waloo wa madaraka, wanao angalia zaidi familia zao kuliko kuangalia uzalendo wa taifa letu pendwa la Tanzania.

Mzee wetu tupo nyuma Yako kukuunga mkono juu ya kujenga taifa letu kwa ajili ya kizazi cha kesho.

Mzee wetu tunajua unapitia wakati ngumu juu ya kutetea maslai mapana ya taifa letu pendwa juu ya hawa wanaojiita wanaCCM huku wakiacha misingi ile CHAMA ilio anzishwa na Baba wa Taifa hili ambao ni upendo, watanzania wote ni ndugu, umoja na mshika mano, pamoja na kulinda utu wa mtu.

Mzee warioba karma itakuinua, upo tayari kupoteza malupulupu, Yako kwa ajili ya kutetea maslai ya taifa letu hili, hakuna mwingine mzee mwenyewe ujasili kama wako huo Mungu akulinde, akupe maisha marefu zaidi, usivunjike moyo, haki HUINUA TAIFA, watanzania wengi wapo nyuma Yako ila hawana ujasiri wa kusema wanaogopa" kutekwa" kupoteza maslai yao" kupoteza vyeo vyao, kupoteza mali zao . Mungu Ibariki Tanzania.

By mwinjilist
hii katiba ya mwaka 77 aliiandika nani kweli?
 
Yupo mzee Butiku mzee wa kigoda cha mwalimu. Hv mzee ulimwengu bado anaishi? Mzee wa maana sana yule.
 
..sasa hao waliomshambuliwa Mzee Warioba wameteuliwa ktk nyadhifa kubwa kuliko walizokuwa nazo wakati walipomshambulia.

..kitu cha kushangaza ni kwamba Mzee Warioba bado yuko ktk chama hicho hicho cha waliomshambulia. Pia anaendelea kujinyenyekeza kwa watawala na mamlaka zinazopandisha vyeo wahuni waliomshambulia.

..Mzee Warioba labda yuko kwenye denial akiamini watawala wahuni watamsikiliza akiwasilisha hoja zake kwa kumung'unya maneno. Au labda ni mnafiki anayetumika kuwadanganya wanamageuzi wamuone anawaunga mkono.
Mzee anaviapo vingi sana mkuu
 
Mzee tunakuombea kwa Mungu uishi maisha marefu, uzalendo wako sisi watanzania tunauona.

Usichoke kusema na kukemea na kushauri viongozi wetu hawa ambao wengi wao wanajua kujaza matumbo yao, hawapo kimasilai zaidi ya inchi.

Mzee wetu wewe ndio uliobaki ndani ya chaa cha CCM mwenyewe uthubutu wa kukemea, kukosoa, pale ambapo viongozi wetu hawa wabinafsi, waloo wa madaraka, wanao angalia zaidi familia zao kuliko kuangalia uzalendo wa taifa letu pendwa la Tanzania.

Mzee wetu tupo nyuma Yako kukuunga mkono juu ya kujenga taifa letu kwa ajili ya kizazi cha kesho.

Mzee wetu tunajua unapitia wakati ngumu juu ya kutetea maslai mapana ya taifa letu pendwa juu ya hawa wanaojiita wanaCCM huku wakiacha misingi ile CHAMA ilio anzishwa na Baba wa Taifa hili ambao ni upendo, watanzania wote ni ndugu, umoja na mshika mano, pamoja na kulinda utu wa mtu.

Mzee warioba karma itakuinua, upo tayari kupoteza malupulupu, Yako kwa ajili ya kutetea maslai ya taifa letu hili, hakuna mwingine mzee mwenyewe ujasili kama wako huo Mungu akulinde, akupe maisha marefu zaidi, usivunjike moyo, haki HUINUA TAIFA, watanzania wengi wapo nyuma Yako ila hawana ujasiri wa kusema wanaogopa" kutekwa" kupoteza maslai yao" kupoteza vyeo vyao, kupoteza mali zao . Mungu Ibariki Tanzania.

By mwinjilist

Uchaguzi ungesusiwa na wananchi wote, vyama vyote ili tuunde serikali ya mpito ya kifaita itayotupa katiba mpya ikiongozwa na Mzee Warioba kwa miaka mitatu hivi. Aweke mambo yote sawa.

Halafu ndio tufanye chaguzi mbalimbali. Ikiwa na viongozi wengine wazalendo kama Shivji nk.
 
Uchaguzi ungesusiwa na wananchi wote, vyama vyote ili tuunde serikali ya mpito ya kifaita itayotupa katiba mpya ikiongozwa na Mzee Warioba kwa miaka mitatu hivi. Aweke mambo yote sawa.

Halafu ndio tufanye chaguzi mbalimbali. Ikiwa na viongozi wengine wazalendo kama Shivji nk.
Yapu ingekaa vzr sana kwa masilai ya taifa letu pendwa
 
Back
Top Bottom