kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,131
- 6,111
Kama namuona bashite anavyomlia timing.Mmh kama kweli anataka kutoka na kwa style anayoimba kweli amecheza na nyakati.....ila intakiwa uwe na roho ngumu kama kwelikweli kutoa nyimbo kama iyo ndio uweze kutoka
Huu wimbo sichoki kuusikilizaJe huyu ndo mrithi wa ROMA? Je hatafungiwa? [HASHTAG]#MzeeIchimbao[/HASHTAG]
Ona ulivyo mjinga, baada ya kumpongeza mwenzio kwa harakati wewe unamvunja moyo.Siku zake zinahesabika
Kuna watu wanaitwa cold blood, hawajali kuhusu kifo,kutetea haki,pale jamii inapoteswa,ukimtishia kifo anakwambia just do it,km che guevera,nk.Huwa si wanafiki hawawezi kaa kimya kuona mwingine anaonewa.Huwezi silence watu wote ni kuukimbiza upepo, hata ukiiuwa chadema, wataibuka wengi tu,ukimuuwa Lisu mmoja wanaibuka 10,tuyafanyayo sie ni repetition ya yaliyoshafanyika, na hayakuleta tija.Ndo maana wenzetu wao hawapambani na watu wao upambana na maendeleo ili upinzani wakose cha kukosoa.Hii kusilence watu ufanywa na washamba primitive ambao hawajui chochote kuhusu dunia, japo ujiona wanajua vitu kumbe ni zero brain empty minded, ni weupe vichwani.Mmh kama kweli anataka kutoka na kwa style anayoimba kweli amecheza na nyakati.....ila intakiwa uwe na roho ngumu kama kwelikweli kutoa nyimbo kama iyo ndio uweze kutoka
Kinatema checheeee!!!chuma hichi