Mzalendo: Nasogea Goligota

Hip hop is dead, nyimbo walizoimba kina Flava Flev yeye anaimba leo??
 
Jamaa nimemkubalii yupo vizuri sana
 
Kumbe bado kuna wanaharakati
Aisee yaani ndo shida hii,!! Sisi tunajitahidi kuua, kutoka, na kufungia lakini bado tu wanazidi kuongezeka.

Mpaka najiuliza sijui tutawamaliza lini!?
Itabidi tuue Watanzania wote sasa coz hatuna namna!!
 
Haya tusubiri matokeo yakee bila kusahau Hashtag zetu...
[HASHTAG]#FreeMzalendo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#YukoWapiMzalendo[/HASHTAG]
 
Hata Mimi nilishaimbaga lakini sijatoboa.
 
Hata Mimi nilishaimbaga lakini sikutoboa.
 
Hats Mimi nilishachana sana lakini sikutoboa.
 
Hats Mimi nilishaimbaga lakini sikutoboa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…