Mzaliwa wa kwanza ndio wanafaa kuongoza nchi. Je, Tanzania tunazingatia hilo?

Mzaliwa wa kwanza ndio wanafaa kuongoza nchi. Je, Tanzania tunazingatia hilo?

Salama wandugu.
Watanzania tufahamu kwamba mzaliwa wa kwanza imeandikwa kwenye Biblia,
Na kutokana na hilo wenzetu walioendelea nchi za mabeberu wanalizingatia sana hilo ,ukiwa wewe sio mzaliwa wa kwanza hufai hata kuongoza kijiji mpaka Uraisi wa nchi..
N:B Mzaliwa wa kwanza wa Kiume

Unaongelea uzaliwa wa kwanza na kuongoza kutokana na biblia au kutoka kwa mabeberu??

Kama ni kutoka kwenye biblia Daudi hakuwa mzaliwa wa kwanza na aliongoza taifa la Israel

Halafu kama unaongelea haki za mzaliwa wa kwanza ujue kunamzaliwa wa kwanza kwa haki/nafasi ya kuzaliwa na kuna mzaliwa wa kwanza kiroho.
Kama umesahau kasome habari ya Ishmael vs Isaka, Esau vs Yakobo, Ruben vs Yusufu, Ephraim vs Manase na wengine utaelewa

Biblia inasema
Misingi ikiharibika mwenye haki hana la kufanya; na Ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu, na hizo nguvu ziwe nguvu za Mungu
 
Tumerejea hoja Yako kutoka kwenye Biblia. Inamaana makosa yalifanyika yeye kupakiwa mafuta badala ya mzaliwa wa kwanza?

Swali la msingi sana hili

Na yupi aliyekua mzaliwa wa kwanza akawa mfalme na asiwe na mapungufu kama hayo ya Daudi na hata zaidi??
 
Hii ni dalili kwamba dini (tulioletewa na wakoloni) imetukaa kichwani kiasi kwamba hatuwezi kufikiri jambo bila kuihusisha.

Wazee wetu wanatushangaa sana huko waliko.
 
Hapa nawajua mambumbumbu na mazuzu wa Jf .
 
Salama wandugu.
Watanzania tufahamu kwamba mzaliwa wa kwanza imeandikwa kwenye Biblia,
Na kutokana na hilo wenzetu walioendelea nchi za mabeberu wanalizingatia sana hilo ,ukiwa wewe sio mzaliwa wa kwanza hufai hata kuongoza kijiji mpaka Uraisi wa nchi..
N:B Mzaliwa wa kwanza wa Kiume
Hili suala limekaa kiroho zaidi kuliko kiakili, hata hivyo impact ya kuwa mzaliwa wa kwanza haiegemei sana chronological order, anaweza kuwa mtoto aliyezaliwa wa kwanza, wapili, watatu hata wa mwisho kabisa!
 
Salama wandugu.
Watanzania tufahamu kwamba mzaliwa wa kwanza imeandikwa kwenye Biblia,
Na kutokana na hilo wenzetu walioendelea nchi za mabeberu wanalizingatia sana hilo ,ukiwa wewe sio mzaliwa wa kwanza hufai hata kuongoza kijiji mpaka Uraisi wa nchi..
N:B Mzaliwa wa kwanza wa Kiume
Biblia gani?
 
Hapa nawajua mambumbumbu na mazuzu wa Jf .
.
640px-Common_wildebeest.jpg
 
Yakobo mtoto wa Isaka na Rebeka kaka yake alikua anaitwa Esau walizaliwa mapacha ila Esau alitangulia Yakobo akafuata akiwa amemshika Esau mguu

Isaka hakua mtoto wa Kwanza wa Abraham ila mtoto wa kwanza wa Abraham alikua ni Ishmael aliezaa na sulia wa Sarai aliejulikana km .........

Ushaelewa mkuu?
Mungu ana siri kubwa jmn

Wazaliwa wa pili tujuane😃
 
Back
Top Bottom