Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwo Ni mtaji tosha "kata alafu pasuapasua Kama kuni utapiga hela nyingi zaidi ya mbao kwani mbao hutopata kitu Apokicheko nusu [emoji119][emoji119]nauliza maana unamiaka zaidi ya mitano na kuna mwarobaini nataka nijue nikodi machine ya kukata. Kitaa kigumu halafu naona njia ya kupata mtaji ni hii
asante mkuu kila kitu nimekipata👍👊Besides the fruits, wood from Neredu tree (as it is called in the region's language, Telugu) is used in Andhra Pradesh to make bullock cartwheels and other agricultural equipment. The timber of Neredu is used to construct doors and windows.
The wood is water resistant. Because of this it is used in railway sleepers and to install motors in wells. It is sometimes used to make cheap furniture and village dwellings though it is relatively hard to work on.
![]()
Syzygium cumini - Wikipedia
en.wikipedia.org
kabisa mkuu tena usijitie ujinga kukata bila kibali utafurahia show.ni miti yangu ya nyumbani NAyO naitaji kibali
sio nyumbani hata kama imeota chumbani toa taarifa za kuukata.ni miti yangu ya nyumbani NAyO naitaji kibali
natumia Mimi hizo mbao kutengeneza faniture kuna biashara nataka nifanye garama kubwa ni funiture. Unatoa. nakata baadhi maana unamiaka 10+Kwani hautoi matunda ? Bora endelea kuvuna na kuuza matunda sidhani kama hizo mbao zako zitakuwa na soko kuliko watu walivyozoea mtundu, cypress n.k. kwa ushauri kabla haujakata na kuingia chaka nenda kwa wauza mbao au potential buyers uwaulize wanaweza kununua kwa kiasi gani.., unaweza kuzikata matunzo yake na kuzifanya zikae vema na zisibumbuliwe gharama ikawa kubwa kuliko bei utakayouza
It is sometimes used to make cheap furniture and village dwellings though it is relatively hard to work on.natumia Mimi hizo mbao kutengeneza faniture kuna biashara nataka nifanye garama kubwa ni funiture. Unatoa. nakata baadhi maana unamiaka 10+
cheap haina tatizo ni matumizi binafsi shida ni kipengele cha hard to work on hapo inabidi nichunguze kama zitawezekana kuchanikaIt is sometimes used to make cheap furniture and village dwellings though it is relatively hard to work on.
Hapo Keyword ni Cheap na Hard to work on...
issue nadhani sio kwenye kuzichana labda hata tatizo la kwenye designing na kwa mazingira yetu kama zitafaa na pia je uliwaji wa wadudu upo vipi.., labda kwanza tengeneza kigoda kimoja alafu uone matokeo kabla haujashusha msitu mzima...,cheap haina tatizo ni matumizi binafsi shida ni kipengele cha hard to work on hapo inabidi nichunguze kama zitawezekana kuchanika
"Kata miti hiyo wakikusumbua wambie unataka kufanya utanuzi wa ujenzi" alafu kwa hayo maelezo yako napata wasiwasi na umri wako huwenda wewe Ni dogo wa certificate au diploma umefunga chuo unasumbua watunitakata maana Niko mtaa ambao MTU kugonga geti tu nishida, mtaa wa mapapaa halafu maliasili kuna mademu 3 wote in shemeji zangu hilo sio shida.