Mzanzibari hana cha kupoteza wala hawezi kupatwa uchungu Ngorongoro ikiuzwa, Tanzania bara tupambane na hali zetu

Mzanzibari hana cha kupoteza wala hawezi kupatwa uchungu Ngorongoro ikiuzwa, Tanzania bara tupambane na hali zetu

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Ndivyo hali ilivyo, hata mama wa kambo akilea watoto ambao sio wake haoni taabu hata kuchukua nguo zao na kuzigawa, ila hawezi fanya hivyo kwa watoto wake.

Mwisho wa siku hata hii ngorongoro ikiingia rasmi mikononi mwa huyo mwekezaji, Zanzibar haiwezi kuathirika ila ni sisi bara ndio tunaisoma namba.

Mzanzibari ili awe nafasi kama hii tuliyopo sisi ni mpaka kipande cha ardhi yao kiuzwe na wakazi wake wahamishiwe huko Tanga Handeni.

Wanasema haya mambo yalianza mwaka 93/94 kule Loliondo kwa mwekezaji kuuziwa kitalu cha uwindaji, huo mwaka nani alikuwa raisi?
 
Ndivyo hali ilivyo, hata mama wa kambo akilea watoto ambao sio wake haoni taabu hata kuchukua nguo zao na kuzigawa, ila hawezi fanya hivyo kwa watoto wake.

Mwisho wa siku hata hii ngorongoro ikiingia rasmi mikononi mwa huyo mwekezaji, Zanzibar haiwezi kuathirika ila ni sisi bara ndio tunaisoma namba.

Mzanzibari ili awe nafasi kama hii tuliyopo sisi ni mpaka kipande cha ardhi yao kiuzwe na wakazi wake wahamishiwe huko Tanga Handeni.

Wanasema haya mambo yalianza mwaka 93/94 kule loliondo kwa mwekezaji kuuziwa kitalu cha uwindaji, huo mwaka nani alikuwa raisi?
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
 
Ndivyo hali ilivyo, hata mama wa kambo akilea watoto ambao sio wake haoni taabu hata kuchukua nguo zao na kuzigawa, ila hawezi fanya hivyo kwa watoto wake.

Mwisho wa siku hata hii ngorongoro ikiingia rasmi mikononi mwa huyo mwekezaji, Zanzibar haiwezi kuathirika ila ni sisi bara ndio tunaisoma namba.

Mzanzibari ili awe nafasi kama hii tuliyopo sisi ni mpaka kipande cha ardhi yao kiuzwe na wakazi wake wahamishiwe huko Tanga Handeni.

Wanasema haya mambo yalianza mwaka 93/94 kule loliondo kwa mwekezaji kuuziwa kitalu cha uwindaji, huo mwaka nani alikuwa raisi?
Yes na wahenga tunakumbuka loliondo iliuzwa chini ya utawala gani!
 
Ndivyo hali ilivyo, hata mama wa kambo akilea watoto ambao sio wake haoni taabu hata kuchukua nguo zao na kuzigawa, ila hawezi fanya hivyo kwa watoto wake.

Mwisho wa siku hata hii ngorongoro ikiingia rasmi mikononi mwa huyo mwekezaji, Zanzibar haiwezi kuathirika ila ni sisi bara ndio tunaisoma namba.

Mzanzibari ili awe nafasi kama hii tuliyopo sisi ni mpaka kipande cha ardhi yao kiuzwe na wakazi wake wahamishiwe huko Tanga Handeni.

Wanasema haya mambo yalianza mwaka 93/94 kule loliondo kwa mwekezaji kuuziwa kitalu cha uwindaji, huo mwaka nani alikuwa raisi?
Ninapata hofu kwa marais Waislam kuwauzia Waarabu Loliondo na Ngorongoro.

Alianza Mwinyi, Kikwete na sasa huyu mwingine
 
Ni shida kwakweli, halafu wao wakimaliza muda wao na wanajengewa nyumba nzuri huku wananchi mnabaki mnateseka na kuuana..
 
kosa lilianza kuchagua jiwe liwe raisi na kisingizo kuwa umoja watanganyika muungano kila makamu anatoka znz bahati mbaya mungu kawa fundi kipozeo na na makamu kala kitonga.

Kuna uzi nimeweka . tumetoka ukabila tunaingia udini .

hii code itakuwa ngumu kuelewa
 
Wazanzibari sasa hivi wanalamba asali hatari na huwezi kuwasikia tena wakilalamikia kero za Muungano.

[emoji3591] Idumu Jamhuri yetu ya Muungano

[emoji3591] Udumu Muungano wetu

[emoji3591] Zidumu fikra sahihi za Mwalimu...

[emoji3591] Mama Samia mpaka 2030 !!!

[emoji3591] CCM hoyeeee!!! [emoji351][emoji351][emoji351][emoji351]
 
Toa ujinga wako hapa kisa mzanzibar kuponda tu kama unaweza kamtoe tulieni acheni propaganda
 
Ndivyo hali ilivyo, hata mama wa kambo akilea watoto ambao sio wake haoni taabu hata kuchukua nguo zao na kuzigawa, ila hawezi fanya hivyo kwa watoto wake.

Mwisho wa siku hata hii ngorongoro ikiingia rasmi mikononi mwa huyo mwekezaji, Zanzibar haiwezi kuathirika ila ni sisi bara ndio tunaisoma namba.

Mzanzibari ili awe nafasi kama hii tuliyopo sisi ni mpaka kipande cha ardhi yao kiuzwe na wakazi wake wahamishiwe huko Tanga Handeni.

Wanasema haya mambo yalianza mwaka 93/94 kule loliondo kwa mwekezaji kuuziwa kitalu cha uwindaji, huo mwaka nani alikuwa raisi?
Mbona wanauza visiwa vyao mkuu? Hii kazi wanaiweza sana.

Ila ninakubaliana nawe kuhusu wao kuwa na uchungu mkasa unapompata mTanganyika.

Linaloonekana wazi kwa sasa ni kuwa Tanganyika ina faida kwao katika kuchuma mali tu basi, siyo kuwa na uchungu na yanayowapata wananchi wa huko.

Hili jambo ni gumu na la kusikitisha kulizungumzia, lakini hali ndivyo ilivyo.
 
Kiufupi tumepigwa na kitu kizeeeto..

Awamu ya mafisadi ipo kazini

#MaendeleoHayanaChama
 
Ndivyo hali ilivyo, hata mama wa kambo akilea watoto ambao sio wake haoni taabu hata kuchukua nguo zao na kuzigawa, ila hawezi fanya hivyo kwa watoto wake.

Mwisho wa siku hata hii ngorongoro ikiingia rasmi mikononi mwa huyo mwekezaji, Zanzibar haiwezi kuathirika ila ni sisi bara ndio tunaisoma namba.

Mzanzibari ili awe nafasi kama hii tuliyopo sisi ni mpaka kipande cha ardhi yao kiuzwe na wakazi wake wahamishiwe huko Tanga Handeni.

Wanasema haya mambo yalianza mwaka 93/94 kule loliondo kwa mwekezaji kuuziwa kitalu cha uwindaji, huo mwaka nani alikuwa raisi?
True kabisa
 
Mara zote wanaouza ardhi ya watanganyika ni wazanzibar wanawauzia mabwana zao wa kiarabu
 
Ndivyo hali ilivyo, hata mama wa kambo akilea watoto ambao sio wake haoni taabu hata kuchukua nguo zao na kuzigawa, ila hawezi fanya hivyo kwa watoto wake.

Mwisho wa siku hata hii ngorongoro ikiingia rasmi mikononi mwa huyo mwekezaji, Zanzibar haiwezi kuathirika ila ni sisi bara ndio tunaisoma namba.

Mzanzibari ili awe nafasi kama hii tuliyopo sisi ni mpaka kipande cha ardhi yao kiuzwe na wakazi wake wahamishiwe huko Tanga Handeni.

Wanasema haya mambo yalianza mwaka 93/94 kule loliondo kwa mwekezaji kuuziwa kitalu cha uwindaji, huo mwaka nani alikuwa raisi?
Hii sio njia nzuri ya kutoa critique,
Unaweza ukawa na mawazo mazuri Ila ukakosa njia Bora ya kufikisha mawazo yako kwenye jamii,
Ni Kama mdude nyangali, (ukiwa na akili timamu utagundua Kua ana Ka ugonjwa flani Ka akili)
 
Hii sio njia nzuri ya kutoa critique,
Unaweza ukawa na mawazo mazuri Ila ukakosa njia Bora ya kufikisha mawazo yako kwenye jamii,
Ni Kama mdude nyangali, (ukiwa na akili timamu utagundua Kua ana Ka ugonjwa flani Ka akili)
Mwambie akure ushahidi Ngorongoro imeuzwa kwa nani na shs ngapi akikupa nitagg
 
Back
Top Bottom