Memento JF-Expert Member Joined Jun 13, 2021 Posts 4,423 Reaction score 9,986 Jun 11, 2022 #21 sky soldier said: kikwete ?? Click to expand... Umesahau kilichotokea 2009??
S Sexless JF-Expert Member Joined Mar 11, 2017 Posts 23,683 Reaction score 55,898 Jun 11, 2022 #22 sky soldier said: Wanasema haya mambo yalianza mwaka 93/94 kule loliondo kwa mwekezaji kuuziwa kitalu cha uwindaji, huo mwaka nani alikuwa raisi? Click to expand... Mzee Ally Hassan Mwinyi
sky soldier said: Wanasema haya mambo yalianza mwaka 93/94 kule loliondo kwa mwekezaji kuuziwa kitalu cha uwindaji, huo mwaka nani alikuwa raisi? Click to expand... Mzee Ally Hassan Mwinyi
mwandende JF-Expert Member Joined Feb 16, 2017 Posts 11,005 Reaction score 20,805 Jun 11, 2022 #23 Lord denning said: Mwambie akure ushahidi Ngorongoro imeuzwa kwa nani na shs ngapi akikupa nitagg Click to expand... Mkuu hata wewe mwenyewe ushauzwa siku nyingi bila kujijuwa Ngoja siku mwenye Mali akianza kudai Mali zake utajuwa.. Ni Jambo la muda tu..
Lord denning said: Mwambie akure ushahidi Ngorongoro imeuzwa kwa nani na shs ngapi akikupa nitagg Click to expand... Mkuu hata wewe mwenyewe ushauzwa siku nyingi bila kujijuwa Ngoja siku mwenye Mali akianza kudai Mali zake utajuwa.. Ni Jambo la muda tu..
S simon2016 JF-Expert Member Joined Oct 19, 2020 Posts 598 Reaction score 1,715 Jun 11, 2022 #24 Lord denning said: Tupe ushahidi Ngorongoro imeuzwa kwa nani na shs ngapi? Click to expand... ona huyu fala kwahiyo ukisikia mtu halawiti watoto huwa unataka kile kitendo kirudiwe ndio uamini.
Lord denning said: Tupe ushahidi Ngorongoro imeuzwa kwa nani na shs ngapi? Click to expand... ona huyu fala kwahiyo ukisikia mtu halawiti watoto huwa unataka kile kitendo kirudiwe ndio uamini.
papason JF-Expert Member Joined Sep 14, 2010 Posts 5,119 Reaction score 5,698 Jun 11, 2022 #25 Mzanzibari ndiye anawauzia waarabu ardhi ya wamassai
Ngungenge JF-Expert Member Joined Jun 11, 2016 Posts 2,914 Reaction score 3,386 Jun 12, 2022 #26 Kitu ninacho amini Wamasai wanatakiwa wapungue ngorongoro ili kutunza mazingira na hakuna plan b ya kuwaacha
Kitu ninacho amini Wamasai wanatakiwa wapungue ngorongoro ili kutunza mazingira na hakuna plan b ya kuwaacha
Lord denning JF-Expert Member Joined Jun 3, 2015 Posts 15,819 Reaction score 33,255 Jun 12, 2022 #27 simon2016 said: ona huyu fala kwahiyo ukisikia mtu halawiti watoto huwa unataka kile kitendo kirudiwe ndio uamini. Click to expand... kwani kuna shida gani ukitupa ushahidi?
simon2016 said: ona huyu fala kwahiyo ukisikia mtu halawiti watoto huwa unataka kile kitendo kirudiwe ndio uamini. Click to expand... kwani kuna shida gani ukitupa ushahidi?
Lord denning JF-Expert Member Joined Jun 3, 2015 Posts 15,819 Reaction score 33,255 Jun 12, 2022 #28 mwandende said: Mkuu hata wewe mwenyewe ushauzwa siku nyingi bila kujijuwa Ngoja siku mwenye Mali akianza kudai Mali zake utajuwa.. Ni Jambo la muda tu.. Click to expand... Mimi sio mjinga kama wewe kuamini nadharia zako za kusadikika hizo
mwandende said: Mkuu hata wewe mwenyewe ushauzwa siku nyingi bila kujijuwa Ngoja siku mwenye Mali akianza kudai Mali zake utajuwa.. Ni Jambo la muda tu.. Click to expand... Mimi sio mjinga kama wewe kuamini nadharia zako za kusadikika hizo