Mzazi adai kuwa na mashaka ya kifo cha binti yake kinachodaiwa kusababishwa na sumu, alikuwa akiishi kwa siri na mwanaume anayedaiwa kuwa mwanajeshi

Mzazi adai kuwa na mashaka ya kifo cha binti yake kinachodaiwa kusababishwa na sumu, alikuwa akiishi kwa siri na mwanaume anayedaiwa kuwa mwanajeshi

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Copy and Paste kama ilivyokutwa;

"Moyo wangu unavuja damu kuhusu binti yangu wa kwanza Maria Izidory Petro ambaye alikuwa anasoma Chuo, Institute of Tax Administration kilichoko Dar es Salaam akichukua Shahada ya Kodi. Alipata changamoto ya kiafya ghafla kwa ambacho kilidaiwa kuwa sumu kwa mujibu wa madaktari tarehe 26 na kufariki 27 Septemba 2024 katika Hospitali ya Rufaa Kitete, baada ya kupelekwa na mwanaume nisiyemjua."

"Mwanaume huyo alipomfikisha hospitali, alilipa pesa ya awali hospitali na kumwachia mdogo wa marehemu elfu 40 ya dharula. Mdogo wa marehemu aliitwa na mwanaume baada ya dada yake kupata shida hiyo. Watu waliokuja nyumbani baada ya mazishi ni wafanyakazi wenzake tu kwa kadiri ya maelezo yao."

"Wakati tatizo linampata tayari mwanaume huyo alikuwa akiishi naye kwa siri, inasemekana ni mwanajeshi wa kambi ya Mabama Tabora, alimchukua bila ya mimi kuwa na taarifa. Nina wasiwasi kifo cha mwanangu si cha kawaida."

"Ninaomba kupaziwa sauti ili haki itendeke. Baba ninakuomba nina maumivu makali."

Izidory Petro Chinyo,
Mzazi.
20 Novemba 2024.
 
Wakulaumiwa kwanza marehemu kisha huyo mjeda.
Binti wa elimu hiyo alifanyaje uamuzi wa kuishi na mwanaume bila kumtambulisha kwa wazazi wake?

Binti zetu wanapuuzia mambo ya msingi, hawasikilizi wazazi mwisho wanasababisha maumivu kwa wazazi.
Pole familia ya marehemu.
 
Copy and Paste kama ilivyokutwa;

"Moyo wangu unavuja damu kuhusu binti yangu wa kwanza Maria Izidory Petro ambaye alikuwa anasoma Chuo, Institute of Tax Administration kilichoko Dar es Salaam akichukua Shahada ya Kodi. Alipata changamoto ya kiafya ghafla kwa ambacho kilidaiwa kuwa sumu kwa mujibu wa madaktari tarehe 26 na kufariki 27 Septemba 2024 katika Hospitali ya Rufaa Kitete, baada ya kupelekwa na mwanaume nisiyemjua."

"Mwanaume huyo alipomfikisha hospitali, alilipa pesa ya awali hospitali na kumwachia mdogo wa marehemu elfu 40 ya dharula. Mdogo wa marehemu aliitwa na mwanaume baada ya dada yake kupata shida hiyo. Watu waliokuja nyumbani baada ya mazishi ni wafanyakazi wenzake tu kwa kadiri ya maelezo yao."

"Wakati tatizo linampata tayari mwanaume huyo alikuwa akiishi naye kwa siri, inasemekana ni mwanajeshi wa kambi ya Mabama Tabora, alimchukua bila ya mimi kuwa na taarifa. Nina wasiwasi kifo cha mwanangu si cha kawaida."

"Ninaomba kupaziwa sauti ili haki itendeke. Baba ninakuomba nina maumivu makali."

Izidory Petro Chinyo,
Mzazi.
20 Novemba 2024.
Mwanajeshi asiye Na jina?
 
Copy and Paste kama ilivyokutwa;

"Moyo wangu unavuja damu kuhusu binti yangu wa kwanza Maria Izidory Petro ambaye alikuwa anasoma Chuo, Institute of Tax Administration kilichoko Dar es Salaam akichukua Shahada ya Kodi. Alipata changamoto ya kiafya ghafla kwa ambacho kilidaiwa kuwa sumu kwa mujibu wa madaktari tarehe 26 na kufariki 27 Septemba 2024 katika Hospitali ya Rufaa Kitete, baada ya kupelekwa na mwanaume nisiyemjua."

"Mwanaume huyo alipomfikisha hospitali, alilipa pesa ya awali hospitali na kumwachia mdogo wa marehemu elfu 40 ya dharula. Mdogo wa marehemu aliitwa na mwanaume baada ya dada yake kupata shida hiyo. Watu waliokuja nyumbani baada ya mazishi ni wafanyakazi wenzake tu kwa kadiri ya maelezo yao."

"Wakati tatizo linampata tayari mwanaume huyo alikuwa akiishi naye kwa siri, inasemekana ni mwanajeshi wa kambi ya Mabama Tabora, alimchukua bila ya mimi kuwa na taarifa. Nina wasiwasi kifo cha mwanangu si cha kawaida."

"Ninaomba kupaziwa sauti ili haki itendeke. Baba ninakuomba nina maumivu makali."

Izidory Petro Chinyo,
Mzazi.
20 Novemba 2024.
Hawa mapoti haww
 
kwa nchi inavyoenda hii nayo itapita tu, ila wewe kama mzazi umeamua kufanya nini? hashtags, kupostiwa habari kwenye vyanzo tofauti haisaidii bado (nimejifunza kupitia watu wanaopotea kila siku na hata kupitia ile kesi ya mchimbaji madini aliyeuliwa na polisi Mtwara)

Nini umeamua kufanya ndiyo kitaleta mabadiliko.

Pole sana kwa msiba mkuu.
 
kwa nchi inavyoenda hii nayo itapita tu, ila wewe kama mzazi umeamua kufanya nini? hashtags, kupostiwa habari kwenye vyanzo tofauti haisaidii bado (nimejifunza kupitia watu wanaopotea kila siku na hata kupitia ile kesi ya mchimbaji madini aliyeuliwa na polisi Mtwara)

Nini umeamua kufanya ndiyo kitaleta mabadiliko.

Pole sana kwa msiba mkuu.
Tunahitaji wakina Hamza wengi ili mambo ya hovyo hovyo yaishe.
 
Back
Top Bottom