Mzazi adai kuwa na mashaka ya kifo cha binti yake kinachodaiwa kusababishwa na sumu, alikuwa akiishi kwa siri na mwanaume anayedaiwa kuwa mwanajeshi

Mzazi adai kuwa na mashaka ya kifo cha binti yake kinachodaiwa kusababishwa na sumu, alikuwa akiishi kwa siri na mwanaume anayedaiwa kuwa mwanajeshi

Copy and Paste kama ilivyokutwa;

"Moyo wangu unavuja damu kuhusu binti yangu wa kwanza Maria Izidory Petro ambaye alikuwa anasoma Chuo, Institute of Tax Administration kilichoko Dar es Salaam akichukua Shahada ya Kodi. Alipata changamoto ya kiafya ghafla kwa ambacho kilidaiwa kuwa sumu kwa mujibu wa madaktari tarehe 26 na kufariki 27 Septemba 2024 katika Hospitali ya Rufaa Kitete, baada ya kupelekwa na mwanaume nisiyemjua."

"Mwanaume huyo alipomfikisha hospitali, alilipa pesa ya awali hospitali na kumwachia mdogo wa marehemu elfu 40 ya dharula. Mdogo wa marehemu aliitwa na mwanaume baada ya dada yake kupata shida hiyo. Watu waliokuja nyumbani baada ya mazishi ni wafanyakazi wenzake tu kwa kadiri ya maelezo yao."

"Wakati tatizo linampata tayari mwanaume huyo alikuwa akiishi naye kwa siri, inasemekana ni mwanajeshi wa kambi ya Mabama Tabora, alimchukua bila ya mimi kuwa na taarifa. Nina wasiwasi kifo cha mwanangu si cha kawaida."

"Ninaomba kupaziwa sauti ili haki itendeke. Baba ninakuomba nina maumivu makali."

Izidory Petro Chinyo,
Mzazi.
20 Novemba 2024.
MIN-me unakera na like zako bwana
 
Copy and Paste kama ilivyokutwa;

"Moyo wangu unavuja damu kuhusu binti yangu wa kwanza Maria Izidory Petro ambaye alikuwa anasoma Chuo, Institute of Tax Administration kilichoko Dar es Salaam akichukua Shahada ya Kodi. Alipata changamoto ya kiafya ghafla kwa ambacho kilidaiwa kuwa sumu kwa mujibu wa madaktari tarehe 26 na kufariki 27 Septemba 2024 katika Hospitali ya Rufaa Kitete, baada ya kupelekwa na mwanaume nisiyemjua."

"Mwanaume huyo alipomfikisha hospitali, alilipa pesa ya awali hospitali na kumwachia mdogo wa marehemu elfu 40 ya dharula. Mdogo wa marehemu aliitwa na mwanaume baada ya dada yake kupata shida hiyo. Watu waliokuja nyumbani baada ya mazishi ni wafanyakazi wenzake tu kwa kadiri ya maelezo yao."

"Wakati tatizo linampata tayari mwanaume huyo alikuwa akiishi naye kwa siri, inasemekana ni mwanajeshi wa kambi ya Mabama Tabora, alimchukua bila ya mimi kuwa na taarifa. Nina wasiwasi kifo cha mwanangu si cha kawaida."

"Ninaomba kupaziwa sauti ili haki itendeke. Baba ninakuomba nina maumivu makali."

Izidory Petro Chinyo,
Mzazi.
20 Novemba 2024.
Kama ni kweli kavuna alichopanda.
Kwa nini alifanya siri?
 
Leo kwa mara ya kwanza analaumiwa marehemu.
Hapo angekuwa hai angejitetea nini kwa mfano?
Siyo mahari au ndoa ni kumtambulisha tu kwa wazazi mtu anaye ishi nae.
Yeye na huyo mjeda wake wote wana makosa. Mjeda kaenda mbali zaidi kakosa utu kwanini asepe? Lazima afikiriwe vibaya hata kama hakuna baya alilofanya.
 
Yeye na huyo mjeda wake wote wana makosa. Mjeda kaenda mbali zaidi kakosa utu kwanini asepe? Lazima afikiriwe vibaya hata kama hakuna baya alilofanya.
Mjeda ana kosa.
Marehemu alipokuwa hai na sisi tuliobaki yaani binadamu yeyote timamu linapofika suala la usalama wako unawajibika wewe mwenyewe kwanza.
Wenza kutambulishana ni suala la usalama pia.
 
Copy and Paste kama ilivyokutwa;

"Moyo wangu unavuja damu kuhusu binti yangu wa kwanza Maria Izidory Petro ambaye alikuwa anasoma Chuo, Institute of Tax Administration kilichoko Dar es Salaam akichukua Shahada ya Kodi. Alipata changamoto ya kiafya ghafla kwa ambacho kilidaiwa kuwa sumu kwa mujibu wa madaktari tarehe 26 na kufariki 27 Septemba 2024 katika Hospitali ya Rufaa Kitete, baada ya kupelekwa na mwanaume nisiyemjua."

"Mwanaume huyo alipomfikisha hospitali, alilipa pesa ya awali hospitali na kumwachia mdogo wa marehemu elfu 40 ya dharula. Mdogo wa marehemu aliitwa na mwanaume baada ya dada yake kupata shida hiyo. Watu waliokuja nyumbani baada ya mazishi ni wafanyakazi wenzake tu kwa kadiri ya maelezo yao."

"Wakati tatizo linampata tayari mwanaume huyo alikuwa akiishi naye kwa siri, inasemekana ni mwanajeshi wa kambi ya Mabama Tabora, alimchukua bila ya mimi kuwa na taarifa. Nina wasiwasi kifo cha mwanangu si cha kawaida."

"Ninaomba kupaziwa sauti ili haki itendeke. Baba ninakuomba nina maumivu makali."

Izidory Petro Chinyo,
Mzazi.
20 Novemba 2024.
Tayari kuna kianzio hapo..
1.Sababu ya kifo sumu
2. Mtu aliyemleta hospital
 
Hii hali inaogopesha kwasababu kuna binti kanafunga chuo cha ualimu tarehe 21 sasa lengo langu nikaburudike nae kwa likizo yake yote ya wiki 2,, sasa ikitokea akanifia huko hotelini sijui nitafanyaje
Kikubwa uhakikishe utimamu wa afya yake. Mabinti wenye matatizo ya upumuaji ni kukaa nao mbali mita 100! Au wenye vifafa
 
Wakulaumiwa kwanza marehemu kisha huyo mjeda.
Binti wa elimu hiyo alifanyaje uamuzi wa kuishi na mwanaume bila kumtambulisha kwa wazazi wake?

Binti zetu wanapuuzia mambo ya msingi, hawasikilizi wazazi mwisho wanasababisha maumivu kwa wazazi.
Pole familia ya marehemu.
Tema mate chini bruh...
Wengi tumepita njia hiyo.
 
Back
Top Bottom