Mzazi/Mlezi: Unachukua hatua gani za kiusalama kumlinda mtoto wako dhidi ya vitendo vya kiunyanyasaji wa kingono?

Mzazi/Mlezi: Unachukua hatua gani za kiusalama kumlinda mtoto wako dhidi ya vitendo vya kiunyanyasaji wa kingono?

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
Habari!
Bila shaka Wana JF wote tumepata habari ya kusikitisha juu ya binti aliyeingiliwa kingono na wanaume watatu baada ya kuhisiwa kuwa ametoka na mume wa mtu (mwanajeshi).

Kwa muktadha ule, wale vijana walifanya unyama sana kwa yule binti tena wakaona wamrekodi na kurusha katika mitandao

Hali hii imenitia wasiwasi sana juu ya mienendo ya vijana wetu wa kike na wa kiume katika jamii ya sasa.

Vijana wamejua mambo ya.kikubwa katika umri mdogo sana hali ambayo imesababisha wao kutembea na waume za watu na wengine wake za watu, either kwa tamaa za fedha ama wengine tamaa za kimwili.

Nimefuatilia kwa ufupi kuhusu huyu binti japo kwa sura tu anaonekana ni binti under 20 yrs kabisa.

Binti kama huyu mpaka kufikia hatua hii nzito ya kubeba mume wa mtu, ni laana na fedheha kwake na kwa wazazi wake.

Ndugu wana JF sitetei kwa namna yoyote ile kitendo alichofanyiwa, La Hasha!

ila najaribu kuwakumbusha, msifurahie kuona watoto wadogo wanamiliki vitu vya Gharama pasipo kujua walipovitoa.

Msipowafuatilia nyendo zao na kuchukua hatua, basi matukio kama haya hayatakwisha kabisa

FB_IMG_1722926150635.jpg
FB_IMG_1722926156759.jpg
 
Acha upumbavu kama unakiri huyo ni mtoto mdogo basi mwenye laana ni huyo mtu mzima mme wa mtu... Hao wahusika wameshajimaliza tayari kuwa mwanajeshi hakukupi uhalali wa kutudharau watanzania yaani unabaka then unapost myandaoni? WTF
 
Kutembea na mke ama mme wa mtu haliwezi kuwa tatizo kubwa maana ni mambo yaliyopo kwenye jamii zetu shida kumbaka huyo Binti.. hao vijana na wapumbavu na mwisho wao umefika rasmi.. watu wajinga sana hao.
 
Wanawake hawapendani kabisa. Huyo afande angevaa viatu vya huyu binti angepambana na mume wake kwa tabia Zake mbovu. Mambo mengi mwanaume amefanya na huyu binti ikiwemo kutumia mfumo wa Sodoma katika mapenzi. Na kuna uwezekano Mwanaume kamfundisha huyo binti kupata huduma ambayo hawezi iomba kwa mke wake.

Mtu pekee wa kumdhibiti ni mume wake.
 
Habari!
Bila shaka Wana JF wote tumepata habari ya kusikitisha juu ya binti aliyeingiliwa kingono na wanaume watatu baada ya kuhisiwa kuwa ametoka na mume wa mtu (mwanajeshi).

Kwa muktadha ule, wale vijana walifanya unyama sana kwa yule binti tena wakaona wamrekodi na kurusha katika mitandao

Hali hii imenitia wasiwasi sana juu ya mienendo ya vijana wetu wa kike na wa kiume katika jamii ya sasa.

Vijana wamejua mambo ya.kikubwa katika umri mdogo sana hali ambayo imesababisha wao kutembea na waume za watu na wengine wake za watu, either kwa tamaa za fedha ama wengine tamaa za kimwili.

Nimefuatilia kwa ufupi kuhusu huyu binti japo kwa sura tu anaonekana ni binti under 20 yrs kabisa.

Binti kama huyu mpaka kufikia hatua hii nzito ya kubeba mume wa mtu, ni laana na fedheha kwake na kwa wazazi wake.

Ndugu wana JF sitetei kwa namna yoyote ile kitendo alichofanyiwa, La Hasha!

ila najaribu kuwakumbusha, msifurahie kuona watoto wadogo wanamiliki vitu vya Gharama pasipo kujua walipovitoa.

Msipowafuatilia nyendo zao na kuchukua hatua, basi matukio kama haya hayatakwisha kabisa

View attachment 3062690View attachment 3062691

Yaani wewe kumuonesha sura unajiona mjanja. Wewe nae unaendeleza maumivu ya unyanyasaji alofanyiwa huyo binti kwa kujua ama kutokujua
 
Kabla ya kuwa mzazi (baba/mama), tafuta hela kwanza ili watoto wako wasitamani hela za watu wazima.

Hii yote ni sababu ya umaskini wa wazazi wa huyu binti.
 
Back
Top Bottom