Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

mtaji kiuno, angalia ataku-U444444444444! ndo maana mie nakuna kisawasawa c mchezo!
 
Navyo fahamu mimi ndoa haipo tena, hakuna ndoa tena ukikutwa unapandwa na mwanaume mwingine ambae si mme wako.
 
Uyo ajitambui...unaomba ushauri wa nn kma unaendelea kufanya...anapaswa akuache kbc maana ujajutia
 
Eti ntaendelea nae kwa siri........kama unakunwa sana na huyo jamaa bora kuachika maana ndoa hapo haina maana tena.Il a pole shost
 
Mi nadhani hata huyo mtoto umembambikia sio wake!
 
Kuna watu lazima wakamatwe kwa nguvu na wapimwe akili.

Hizi adithi huwa sinunui.
 
tusileteane utani hapa do u love ua husband????????????????nijibu hapo kwanza theni nikupe mbinu...
 
unataka ushauriwe nini tena hapo?? jiheshimu dada yangu au mpaka shetani akukane.....??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…