Mzazi mwenzangu anataka nimhudumie

Mzazi mwenzangu anataka nimhudumie

Mzee wa fact

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
246
Reaction score
228
Iko hivi mzaz mwenzangu ambae tuliishi kwa mda ikitokea mfarakano akapata dume jingine tena bila kunitaarifu.

Siku za mwanzo wa magusiano yake alinipiga block hata yakumuona mwanangu na hela yamatumizi yamtoto pia aliniambia ukisikia toa usipojisikia acha.

Lakini now haipiti wiki ananipiga virungu Mara mtoto anaumwa Mara hivi mpaka shida zake binafsi
Nimpotezee au nimpige company
 
Iko hivi mzaz mwenzangu ambae tuliishi kwa mda ikitokea mfarakano akapata dume jingine tena bila kunitaarifu
Siku za mwanzo wa magusiano yake alinipiga block hata yakumuona mwanangu na hela yamatumizi yamtoto pia aliniambia ukisikia toa usipojisikia acha
Lakini now haipiti wiki ananipiga virungu Mara mtoto anaumwa Mara hivi mpaka shida zake binafsi
Nimpotezee au nimpige company
Kamchukue mwanao ukae naye.

Aendelee na dume lake.
 
Iko hivi mzaz mwenzangu ambae tuliishi kwa mda ikitokea mfarakano akapata dume jingine tena bila kunitaarifu
Siku za mwanzo wa magusiano yake alinipiga block hata yakumuona mwanangu na hela yamatumizi yamtoto pia aliniambia ukisikia toa usipojisikia acha
Lakini now haipiti wiki ananipiga virungu Mara mtoto anaumwa Mara hivi mpaka shida zake binafsi
Nimpotezee au nimpige company
Kachukue mtoto peleka kwako au nyumbani kwa mama yako na achana na mpumbavu

Nilishawahi kubeba mtoto wangu akiwa na miaka miwili na sasa ana 22.

Utahangaika sana ukimuendekeza mwanamke uliyezaa nae,hawajielewagi hao
 
Ndio maana inakuwaga ngumu sana Singo Maza kuolewa kwa sababu kama hizi.
Wanandoa mkiachana baada ya muda hasira zinaisha kisha mnaanza kumisiana na kurudisha ule upendo wenu wa awali kwa kigezo cha huduma kwa Mtoto wenu.
 
Kama unaweza hudumia ila kama huwezi unavunga tu, inategemea na yeye alikua na uzito gani kwako maana pia kumuacha akipigika na maisha bado ni aibu Kwa mtoto wako maana ni mzazi mwenzio
 
Back
Top Bottom