Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Wakuu JF Amani iwe Nanyi.
Tunapozungumzia katiba Mpya katika kipindi hiki ambacho Serikali 3 haziepukiki.
Binafsi nimekuwa nukijiuliza sana ni kwanini Mzee Aboud Jumbe Yuko Kimya sana.
Hii ni Seheme ya Wasifu wa Mzee Aboud Jumbe Kutoka Wikipedia
Huyu Mzee inasemekana kuwa alisalitiwa na Maalim Seif pale alipokuja na wazo la Serikali 3.
Si Mpango wangu kujadili issue ya Maalim Seif, Lakini kwa wanaojua Siasa za Tanzania wanajua kuwa hata Maalim Seif Baada ya kupewa Mikoba ya Uwaziri Kiongozi, haikumchukua muda kuyaona na kuyashuhudia yale Mzee Jumbe alikuwa ameyaona, hii ilipelekea hata Maalim kuwekwa kizuizini na kuachiwa wakati almost nchi iko kwenye Mfumo wa vyama vingi na kujiunga na CUF kuendeleza Mapambano.
Sasa kwa kuwa Maalim anasimamia yale Mzee Jumbe aliyoyaona, hivi hatuoni kuwa ni wakati Muafaka sasa wa Mzee Jumbe kutoa Maoni yake.
Naandika post hii nikiwa na imani kuwa Mzee Jumbe yupo buheri wa Afya.
cc Barubaru , zanzibar huru, Mzee Mohamed Said , Bobwe
Tunapozungumzia katiba Mpya katika kipindi hiki ambacho Serikali 3 haziepukiki.
Binafsi nimekuwa nukijiuliza sana ni kwanini Mzee Aboud Jumbe Yuko Kimya sana.
Hii ni Seheme ya Wasifu wa Mzee Aboud Jumbe Kutoka Wikipedia
Inasemekana kuwa hata wazo la kuunga TANU na ASP Lilikuwa ni la huyu Mzee.Mwinyi Aboud Jumbe (born 14 June 1920)[1] was a politician in Zanzibar. He held several positions, including the second president of Zanzibar, chairman of the Revolutionary Council, Vice-President of the Union, and the vice-chairman of the Chama Cha Mapinduzi (CCM) party.[2]
Jumbe served as president of Zanzibar from 11 April 1972 until 30 January 1984. He succeeded Abeid Karume as president, following Karume's assassination on April 7, 1972. He was initially elected by the Revolutionary Council as a part of the Afro-Shirazi Party (ASP). While he was in office, in 1977, the two ruling parties of Tanzania merged. In particular, the ASP and the Tanganyika African National Union (TANU), merged to create Tanzania's ruling party, the CCM.[3]
In 1979, Jumbe introduced the first post-revolution constitution of Zanzibar. This separated the powers of the Revolutionary Council and the House of Representatives. Furthermore, the new constitution established elections by universal suffrage, instead of being elected by the Revolutionary Council.[3]
Huyu Mzee inasemekana kuwa alisalitiwa na Maalim Seif pale alipokuja na wazo la Serikali 3.
Si Mpango wangu kujadili issue ya Maalim Seif, Lakini kwa wanaojua Siasa za Tanzania wanajua kuwa hata Maalim Seif Baada ya kupewa Mikoba ya Uwaziri Kiongozi, haikumchukua muda kuyaona na kuyashuhudia yale Mzee Jumbe alikuwa ameyaona, hii ilipelekea hata Maalim kuwekwa kizuizini na kuachiwa wakati almost nchi iko kwenye Mfumo wa vyama vingi na kujiunga na CUF kuendeleza Mapambano.
Sasa kwa kuwa Maalim anasimamia yale Mzee Jumbe aliyoyaona, hivi hatuoni kuwa ni wakati Muafaka sasa wa Mzee Jumbe kutoa Maoni yake.
Naandika post hii nikiwa na imani kuwa Mzee Jumbe yupo buheri wa Afya.
cc Barubaru , zanzibar huru, Mzee Mohamed Said , Bobwe
Last edited by a moderator: