Mzee Akilimali achafua hali ya hewa Jangwani amtuhumu Makamu Rais wa Yanga

Kama sio siasa wivu na visasi, MANJI apewe timu aimiliki, tofauti na hapo tutegemee kushuka daraja baada ya misimu miwili au mitatu
Ha ha ha! Masikini akipata, mat...hulia sijui nini! Kama simba haikushuka daraja miaka minne iliyopita basi sahau kuhusu Yanga! Yanga siku zote daima mbele nyuma mwiko! Tuombe Mungu atuweke hadi Mei mwakani!
 

[emoji23][emoji23][emoji23]wewe jamaa ni mnafiki wa kiwango cha PhD
 
Mpira pesa, wachezaji hawawezi kucheza bila kulipwa, ndo tatizo la club zetu za kibongo kuwategemea watu, na club kutokuwa na chanzo cha mapato..
 
Wampe team huyo MZEE hata kwa msimu mmoja tuone.
 

Jamani tuwe tunarizika na kuwapongeza viongozi na wachezaji wetu ubingwa Mara 3 mfululizo last season coming from back to ubingwa tuache tamaa za kipuuzi na maneno uasikiwa na maana
 
Porojo zoote hizi mwisho wa msimu mnakimbilia FIFA,this time nasikia fifa wamewaonya kuwatajataja hovyo.
 
Kama kweli klabu inamatatizo hayo na uongozi pamoja na wanachama walikwisha liona hilo wakaamua kuikodisha[siyo kuuza] na mzee huyu huyu akapinga sasa analalamika nini?
Achangie fedha kama wazee wengine walivyokuwa wanafanya[Marhemu mzee Kondo Kipwata aliwahi kuweka nyumba yake rehani kwa ajili ya klabu na wala hakujitangaza] na aache kelele.
Ninavyosikia tatizo kubwa la bwana sanga ni kubana matumizi yasiyo yalazima hasa kipindi hiki kigumu na huyu mzee alizowea takrima na sasa amebuma. Hii yanga siyo ya mzee huyo wala hana hati miliki kwa klabu hiyo.
 
Huyu namshangaa sana wakitokea wawekezaji waichukue timu anatia figisufigisu fedha hamna bado analaumu haeleweki anachokiitaji shame on him?
 
Kuionyesha Yanga ina njaa juzi WACHEZAJI walishinda Mahakama ya Kisutu kumsubiri Yusuf Manji awape chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…