chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Mzee akilimali amezidi kusema kuikodisha Yanga kwa mtu binafsi haifai kwa kuwa Yanga ni taasisi ya watu wengi amesema, pia mkutano wa Yanga ni mkutano wa kihuni kwa kuwa kila kitakachosemwa na mwenyekiti watu wanaitikia tu kwa kufuata upepo
Mzee huyo amezidi kusema pia anatishiwa maisha yake na maesharipoti kituo cha polisi magomeni
Ni sawa na kumpa Matonya timu!Taasisi ya watu wengi imeshindwa hata kujenga uwanja wa mazoez akili mali apewe yanga awe mfadhili mkuu asikodishwe.
hakuna mwenye yanga,hao maponjoro wapewe tu hzo timu hata bure ziendeleeTaasisi ya watu wengi imeshindwa hata kujenga uwanja wa mazoez akili mali apewe yanga awe mfadhili mkuu asikodishwe.
Anaaibika kwa lipi? Mzee yupo vizuri, Manji anataka kuwaibia wavaa kandambili.Hivi huyu Mzee hana watoto? Mbona hawamshauri Mzee wao anaaibika
Nawashangaa yanga,wanamkodisha manji atafanya miujiza gani?
Hakuna kazi rahisi kama kuzipandisha chati simba na yanga,nembo tu kwa mwaka b10,manji anawatapeli wavaa kandambili
Zimemsaidiaje ktk maisha yake?Mzee akilimali ni mzee mwenye akili nyingi sana