chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Mzee akilimali amezidi kusema kuikodisha Yanga kwa mtu binafsi haifai kwa kuwa Yanga ni taasisi ya watu wengi amesema, pia mkutano wa Yanga ni mkutano wa kihuni kwa kuwa kila kitakachosemwa na mwenyekiti watu wanaitikia tu kwa kufuata upepo
Mzee huyo amezidi kusema pia anatishiwa maisha yake na maesharipoti kituo cha polisi magomeni
Mzee huyo amezidi kusema pia anatishiwa maisha yake na maesharipoti kituo cha polisi magomeni