Azam FC haina uongozi bali wamiliki .. Pale hakuna cha bodi wala nini, kila kitu familia ndio wanahusika.Igeni namna ya kuongoza timu zenu toka kwa klabu bora Afrika mashariki na kati bila kusahau bara la Afrika AZAM FC
Umeongea ukweli mtupu broo.Ambaye anasema Manji hajafanya kitu, ana shida ya kufikiri au penginepo kuona, au penginepo kusikia, na siajabu kuongea.
Manji kuna mambo mengi kayafanya, ila kama wana yanga hatutaki kumkodisha tusimkodishe, tutoe altenative klabu iendelee, ila siyo eti kusema kanunua mech. Toeni solution , akitoka Manji aje nani na kifanyike nini
BASI NGOJA NIKUULIZE SWALI TENA manji kaendesha klabu kwa hasara ya sh.bil11.6 na wakati aliikuta Yanga na deni la ml200Kama ali include jibu kwa swali
Ndio nnacho lenga.
Kwa hiyo unaweza hata kumuamini yeye.
Mtu ukimuuliza swali aka kuuliza tena pia ni jibu hilo.
Mnavyo ambiwa kuwa Yanga SC ni serikali muwe mnaelewa jamani....hivi suala la Hassan Kessy Ramadhan ameruhusiwa lini kucheza Yanga?? naona leo anaanza kwenye line up dhidi ya Toto Africa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] thubutuuu muwezee wapi nyie kipindi tangu manji achukue Yanga tumewageuza tutakavyo
ILA UKIZUNGUMZIA TOKA ZIANZE KUKUTANA HAPO KUNA UKAKASI ILA KWA KUANZIA ENZI ZA MANJI TUMEWAGALAGAZA SANA
Tangu manji aingie yanga huelewi kafanya nini!!?Manji kafanya nini?, hilo deni wanalodaiwa Yanga limetoka wapi? Na Yanga imekopa kwa nani? Yeye pekeyake ndio analijua hilo deni?
Huyu yuko pan africa hukoM
Mzee Mangala Tabu Mangala,
Deni lita define uongozi wa manji kama ni madhaifu yaliyo jitokezaBASI NGOJA NIKUULIZE SWALI TENA manji kaendesha klabu kwa hasara ya sh.bil11.6 na wakati aliikuta Yanga na deni la ml200
SASA WAMKUMBUKE KWA LIPI??
Kaka hebu tuambie Manji kafanya nini Yanga? Hicho anachotaka kufanya sasa Yanga kwa nini hakukifanya miaka yote ndani ya Yanga, kwa nini anataka kukifanya nje ya Yanga?Tangu manji aingie yanga huelewi kafanya nini!!?
Suala la deni ndio nimekubali hapo kakosea
Huyu yuko pan africa huko
Na alicho kifanya ni nini ambacho yanga imefaidika kisoka mpaka leo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] sasa si ndio uvitaje hvo vitu tutakavyomkumbuka navyoDeni lita define uongozi wa manji kama ni madhaifu yaliyo jitokeza
Ila haliwezi kukufanya useme mtu kakaa 4 yrs alafu awe hajafanya kitu, sasa kama hajafanya kitu bas klabu ingekuwa ilikufa, ni non sense ukisema hivo
Sasa wamiliki si ndo uongozi wenyewe mana anachagua bodi yake yeye mwenyewe na si wanachama..Uboro wa Azam FC haina migogoro kama ya timu ambazo zina umri wa babu,inajiendesha yenyewe kwa faida bila kukopakopa na ni timu inayoonyesha upinzani katika ligi kuuAzam FC haina uongozi bali wamiliki .. Pale hakuna cha bodi wala nini, kila kitu familia ndio wanahusika.
Na huo ubora wa Azam Fc ni upi hasa?
Acha kunirudsha nyuma bhana Nilisha vitaja[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] sasa si ndio uvitaje hvo vitu tutakavyomkumbuka navyo
VitajePan Africa vipi wakati katokea Yanga? We hujui Mangala kafanya nini Yanga?
haaa!![emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] kumbe yangaDeni lita define uongozi wa manji kama ni madhaifu yaliyo jitokeza
Ila haliwezi kukufanya useme mtu kakaa 4 yrs alafu awe hajafanya kitu, sasa kama hajafanya kitu bas klabu ingekuwa ilikufa, ni non sense ukisema hivo
Mzee Akilimali amedai Yanga ni klabu kubwa na haiwezi kukodishwa kama masufuria ya kwenye shughuli kwa ajili ya kufaidisha mtu mmoja