Mzee Akilimali: Yanga haiwezi kukodishwa kama masufuria

Upinzani upi huo? Labda Tigopesa & Mpesa ndo upinzani mlio nao.. Azam Fc haijawahi kutangaza mapato yake, unaweza vipi kusema inajiendesha kwa faida ?

Azam Fc 1 - 1 Mtb ..
 
Upinzani upi huo? Labda Tigopesa & Mpesa ndo upinzani mlio nao.. Azam Fc haijawahi kutangaza mapato yake, unaweza vipi kusema inajiendesha kwa faida ?

Azam Fc 1 - 1 Mtb ..
Sasa itangaze mapato yake kwani inagawana na wanachama wake?
 
Hao wazee waje kwenye mkutano tarehe 23 kama wana hoja .na huyu MZEE akilimali alishafukuzwa uanachama na sasa anatafuta nini sasa?
 
Vyura unafikiri watakuelewa, hao Manji wanamsujudu
 
Reactions: PNC
Yanga a.k.a vyura sio masifuria ya sherehe mkuu, bangachori aanzishe timu yake
 
Reactions: PNC
Humu wanaomkataa manji ni mashabiki wa simba mkuu wasikusumbue hao
 
Vyanzo vya mapoto ya Yanga SC..
1. Ada za wanachama.
2. Wadhamini (Kilimanjaro, Vodacom & Quality Group).
3. Mauzo ya vifaa yenye nembo ya club.
4. Viingilio vya mechi (mauzo ya tiketi).
5. Haki ya kurusha moja kwa moja matangazo ya mechi zao..
6. Majengo..

Kote huko Yanga wanatengeneza hela nzuri tu, pamoja na kwamba kuna gharama za kuendesha timu, haiingii akilini kusema Yanga kama timu inadaiwa na mtu mmoja zaidi ya BILIONI 11..

huku ni kupatwa kwa Yanga, kama hali itabaki kama ilivyo ndani ya miaka 20 hili deni litakuwa linakimbizana na lile la taifa..
 
Reactions: PNC
Na je.anashindwaje kufanya hayo mabadiriko anayoyataka akiwa Kama mwenyekiti. Kwanini apewe timu kwa mkataba alioandika yeye.
Yanga ni kubwa kumzidi manj kwahiyo wanayanga tusikubali wala kushawishika na siasa za mabomba yatatoa maziwa.
 
Sasa itangaze mapato yake kwani inagawana na wanachama wake?
Kwani Man City wakitangaza wanakuwa wanagawana na wanachama? Ukweli ni kwamba Azam FC inajiendesha kwa hasara na hilo halina mjadala. Azam FC wapo kwa ajili ya kutangaza bidhaa & huduma za Bakheresa Group. na wala hakuna kingine cha ziada.

Azam Fc wamewekeza pesa mingi kwenye timu lakini hakuna chochote wanachokifanya iwe ndani ya nchi au nje .. kiufupi wameshindwa kabla ya lengo kutimia.
 
Humu wanaomkataa manji ni mashabiki wa simba mkuu wasikusumbue hao
Kwani lazima kila kitu tuweke upinzani? igeni hata yale mazuri ya Simba Sc .. sasa mnakodisha timu ili muonekane mko tofauti na Simba Sc au mnamkomoa nani hasa?
 
Soka la sasa ni pesa, mwenye pesa ndiye anatakiwa atoe sauti. Hao wazee wanataka kuendesha yanga sasa kama 1947. Haiendi hivyo, wenye pesa waendeshe yanga sisi wengine wote tuwe mashabiki tu. Utakuwaje na sauti wakati huna pesa?

Kama kuna wakati Yanga itaingia kwenye mgogoro mkubwa ni sasa kama Yanga Yetu haitakubaliwa kukodisha. Ngoja Manji ajitoe uone vilio.
 
Hao wazee wanapiga kelele yanga ni club kubwa, wanadhani bila fedha itabaki kuwa kubwa tu.
 
Mkuu utakuwa una tatizo la kumbu kumbu siyo bure
Nenda kapitie rekod za mechi zoote utajua.
Kwanza kumbe mda wote huu nabishana na shabiki la simba, shwain wee ebu kaongelee klabu yenu huko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe ulijua mimi ni kandambili
 
Kwani Manji kaifanyia nini vyura fc zaid ya kununua mechi na marefa kama yeye kiboko mbona KLABU BINGWA anachemsha

cc:Madeama
LAZMA MKUBALI YANGA ISHAKUWA GARI LA MAITI KILA MTU ANAWEZA KODISHA
View attachment 420879
We pimbi muulize aunt popo anamjua manji ni nani
 

Attachments

  • 1476911553415.jpg
    31.3 KB · Views: 29

Nimekupm mara nyingi kuhusu issue ya kuniadd kwenye group la wakubwa nadhani upo occupied kidogo na majukumu hukuona mkuu

I ask for your consideration mkuu
 
--NDG YUSUF MANJI KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAKUOMBA VIACHIE HIVYO VIBABU HIYO TIMU.
--WALISHA ZOEA KULA HAPO KILABUNI KTK KILA MECHI KWA SASA MFUMO UMEBADILIKA YAANI WANAUMIA KWELI.
--KIROHO SAFI WAACHIE VIBABU VIENDESHE TIMU.
 
Ninapata shida juu ya uelewa Wa wazee...kwann kama wana ushauri kinyume na yeye wasimwite tu...timu ya yanga ni kweli kubwa...ila bila pesa ni ndogo tu...hata MANJI akitoka akija mfadhili mwingine hawezi kukubali mfumo Wa upigaji uliopo....naona zama za kusajili wachezaji kwa mafungu unakuja, kila mwenye nguvu yake ataleta mchezaji...
Naona MANJI aghaili tu ili tuone huu ukubwa Wa Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…