Mzee anayedai kuwa Baba wa Nandy Aibuka

Mzee anayedai kuwa Baba wa Nandy Aibuka

Duniani kweli Wawili wawili,Sema amefanana na Mwanae.
 
"Mimi na Mama yake Nandy hatukuwa na tatizo lolote isipokuwa dada yake alimuonea wivu wakati nipo na yule mama. Akamtorosha/kumpoteza kama mfanyakazi akampeleka sehemu ambayo sijui".

"Nachotamani kumwambia Nandy ni kitu kimoja, kama ametambua kuna Charles Mfinanga zaidi ya mimi awe huru nampa baraka zote lakini ajue ni damu yangu".

"Akinitambua anitambue au akinikataa anikatae ila aelewe Nandy ni mtoto wangu kwa sababu mama yake aliondoka na ujauzito". - Mzee anayedai kuwa baba mzazi wa msanii @officialnandy Charles Godfrey Mfinanga

#EastAfricaRadio

Wafinanga nao ni double dealers siku hizi

Nashauri akathibitishe kwenye dna na ikibainika siyo awekwe anakostahili
 
Kina mama wanafanya mistake nyingi sana! Wewe unae shupaza shingo kumcheka huyu mzee usikute watoto wote hapo nyumbani sio wako ni wa kijana wa boda boda!
Ingawa na sisi tuna mistake zetu pale tunapokataa ujauzito au kukataa matunzo, fasta tu anaegeshewa bakuli mwengine na kupewa zawadi [emoji16][emoji16] hii imetokea hapa juzi.
 
Siku zoote hajatokea mpk siku za harusi njaa mbaya sana,Sasa yule mwenye miwani ni nani wake nandy.
 
"Mimi na Mama yake Nandy hatukuwa na tatizo lolote isipokuwa dada yake alimuonea wivu wakati nipo na yule mama. Akamtorosha/kumpoteza kama mfanyakazi akampeleka sehemu ambayo sijui".

"Nachotamani kumwambia Nandy ni kitu kimoja, kama ametambua kuna Charles Mfinanga zaidi ya mimi awe huru nampa baraka zote lakini ajue ni damu yangu".

"Akinitambua anitambue au akinikataa anikatae ila aelewe Nandy ni mtoto wangu kwa sababu mama yake aliondoka na ujauzito". - Mzee anayedai kuwa baba mzazi wa msanii @officialnandy Charles Godfrey Mfinanga

#EastAfricaRadio

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duh bongo noma
 
Back
Top Bottom