reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Wa kwetu maisha magumuMaajabu hayaishi kwa kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa kwetu maisha magumuMaajabu hayaishi kwa kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inchi ina vituko hii [emoji16] Yan Baba ake Nandy mbona sasa kafanana na Billnas
MnoooWa kwetu maisha magumuuu
🤣🤣🤣🤣🤣Inchi ina vituko hii [emoji16] Yan Baba ake Nandy mbona sasa kafanana na Billnas
Wanawake hupenda wanaume wanaofanana na baba zao 😂Inchi ina vituko hii [emoji16] Yan Baba ake Nandy mbona sasa kafanana na Billnas
😂🤣😅😆😁😄😃😀😀Huku Wanatiana AibuMahari yenyewe ukute ni mwanamke kajioa.
Ataambulia tu chochote, Nandi hakujizaa mwenyewe
Wafinanga nao ni double dealers siku hizi"Mimi na Mama yake Nandy hatukuwa na tatizo lolote isipokuwa dada yake alimuonea wivu wakati nipo na yule mama. Akamtorosha/kumpoteza kama mfanyakazi akampeleka sehemu ambayo sijui".
"Nachotamani kumwambia Nandy ni kitu kimoja, kama ametambua kuna Charles Mfinanga zaidi ya mimi awe huru nampa baraka zote lakini ajue ni damu yangu".
"Akinitambua anitambue au akinikataa anikatae ila aelewe Nandy ni mtoto wangu kwa sababu mama yake aliondoka na ujauzito". - Mzee anayedai kuwa baba mzazi wa msanii @officialnandy Charles Godfrey Mfinanga
#EastAfricaRadio
Sasa hivi anakuwa maarufu huyu
Ova
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Inchi ina vituko hii [emoji16] Yan Baba ake Nandy mbona sasa kafanana na Billnas
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Mimi na Mama yake Nandy hatukuwa na tatizo lolote isipokuwa dada yake alimuonea wivu wakati nipo na yule mama. Akamtorosha/kumpoteza kama mfanyakazi akampeleka sehemu ambayo sijui".
"Nachotamani kumwambia Nandy ni kitu kimoja, kama ametambua kuna Charles Mfinanga zaidi ya mimi awe huru nampa baraka zote lakini ajue ni damu yangu".
"Akinitambua anitambue au akinikataa anikatae ila aelewe Nandy ni mtoto wangu kwa sababu mama yake aliondoka na ujauzito". - Mzee anayedai kuwa baba mzazi wa msanii @officialnandy Charles Godfrey Mfinanga
#EastAfricaRadio
Spiderman sjuiUnanikumbusha Mzee wa 900, na yule sijui piere liquid Mzee wa Niko juu! Hii nchi Raha sana.