Mzee atoa darasa la kisheria juu ya kutokuwa na umuhimu kwa under 18 kuhudhuria mikutano ya kampeni ya Uchaguzi Mkuu

Mzee atoa darasa la kisheria juu ya kutokuwa na umuhimu kwa under 18 kuhudhuria mikutano ya kampeni ya Uchaguzi Mkuu

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Huyu mzee amejitahidi kutoa somo kwa CCM juu ya kuwatumia wanafunzi kuongeza vichwa kwenye mikutano ya kampeni za uchaguzi mkuu.

Sasa kama wale wenye ma-PhD wanashindwa kuelewa hiyo sheria anayonukuu, kweli watatuletea maendelea wakati zaidi ya miaka 50 tunasuasua?

 
Safi kabisa, siku ya kupita niliko huku kama itakuwa siku ya shule, watoto wangu watabaki tu nyumbani
 
Back
Top Bottom