Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Kupiga mdomo. Hapo sawaInasikitisha sana tena sanaaa...
Hivi hii nchi inaweza nini kwa ustadi kabisa maana kila sehemu kuna majanga...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupiga mdomo. Hapo sawaInasikitisha sana tena sanaaa...
Hivi hii nchi inaweza nini kwa ustadi kabisa maana kila sehemu kuna majanga...
Mkuu Ushimen , kwa Mara ya Kwanza naona Unabagua! Huyu wa Leo sio Classmate wako Mkuu? Au Umemsahau... 😀Inna lilah waina ilah rajuin...🙏
Kaona laki 4 kasema sio classmate wake 😊Mkuu Ushimen , kwa Mara ya Kwanza naona Unabagua! Huyu wa Leo sio Classmate wako Mkuu? Au Umemsahau... 😀
Huu utapeli nimewahi kukutana nao,jamaa wanakutumia meseji kuwa umepokea pesa kiasi kadhaa alafu wanakupigia uwarudishie.Ametapeliwaje????
Maana sijafungua hiyo video
Ova
Uzembe huu unagusa watu watatu:Habari wana JF
Wakati swala la kusajili kadi za simu kwa kitambulisho cha nida na alama za vidole unaingia nchini tulipewa umuhimu mbalimbali wa jambo ilo ikiwemo swala la usalama na kudhibiti utapeli kwa njia ya mtandao.
Nimeleta hoja hii kwani ni miaka sasa tangu swala la kujisajili kwa kutumia nida na alama za vidole uanze lakini bado tatizo la utapeli kwa njia ya mtandao umekuwa unaendelea kukua kwa kasi sana. Najiuliza mfumo huu wa usajili umekwama wapi kuwakamata matapeli awa ambao wanawaumiza baadhi ya watanzania na ata kusababisha umauti kwa wengine
Je hizo kadi za simu zinazotuma jumbe mbalimbali za utapeli zinasajiliwa kwa namna gani tofauti na hii iliyoelekezwa na serikali? Na kama zinasajiliwa kwa alama za vidole na nida kwanini watu awa wamekuwa hawakamatwi wakati utambulisho wao unafahamika.
Wapo wanaosema vinatumika vitambulisho vya wananchi wengine bila wao kujua, lakini kama ni kweli iko hivyo kwanini hii mitandao ya simu haiwajibishwi kwa kuwa wao wanawafahamu vijana wao waliowapa vibali vya kusajili mtaani. Kwani line inayosajiliwa mtaani haina taarifa za wakala aliemsajili?
Ninaomba kufahamu kwanini utaratibu huu wa usajili haujafanikiwa kwa kiwango kikubwa kutatua changamoto hii ya utapeli, lakini pia kushauri nini kifanyike.
Hiyo msg mnashindwa kuigunduaHuu
Huu utapeli nimewahi kukutana nao,jamaa wanakutumia meseji kuwa umepokea pesa kiasi kadhaa alafu wanakupigia uwarudishie.
Mimi niliwahi kucheki NIDA yangu imesajili namba ngapi,nikakuta ina namba 7,wakati mimi natambua namba 4 tuu.USIJE UKASHANGAA LAINI ILIYO SAJILIWA KWA ALAMA ZAKO ZA VIDOLE INATUMIWA NA TAPELI MDA HUU
SASA UNAPO SEMA KWANINI WAHALIFU HAO HAWAKAMATWI KWA KUFUATA ALAMA ZA VIDOLE USIJE SHANGAA WAKIANZA KAMATA WATANZANIA WENGI AMBAO SIO WAHALIFU NDIO WATAONEKANA WAHALIFU UKIWEMO WEWE.
MAANA YANGU NI KWAMBA WANAO SAJILI LAINI WENGI WAO NDIO HAO MATAPELI AU WANAHUSIKA KUWAUZIA MATAPELI LAINI HIZO ZA UTAPELI.
UTANIULIZA LAINI WANAPATAJE WANAPO SAJILI LAINI UNAKUTA ANAKUAMBIA MTANDAO UNASUMBUA HEBU WEKA DOLE GUMBA TENA HAPO NDIPO WANAPO WAFOTOLESHA WATU LAINI NYINGI BILA WAO KUJUA
MWISHO KABISA MFUMO KWA SASA TAYARI UPO CORRUPTED
(NI MIMI NINAE INGOJA YERUSALEMU MPYA YA KRISTO YESU )
Hapana mimi hawakunipata ila kwa kuwa nilikuwa na muda walituma meseji wakanipigia nikawa nawasiliana na jamaa akawa ananielekeza nimrudishie pesa Mteja ametuma kimakosa,na kwa kuwa nilimwambia nina balance ndogo akaniambia niende kwa Wakala nimpe hiyo namba atume pesa,nilirekodi mazungumzo yote nikawa nasikiliza nacheka tu mwenyewe.Ila ndio hivyo wakimpata asiyeshtukia wanampiga.Ila kama huyu Wakala angeomba hela kwa Mzee kabla kutuma angemuokoa sana Mzee, sema ndio hivyo naye akatuma tu.Hiyo msg mnashindwa kuigundua
Kama famba au ndy inakukuta akili ishachemka,mambo ya kupanic
Ova
Tunadanganywa sana nchi mbona mm nimetumiwa nitumie kwa namba hii sasa hivi?na pia kila baada ya siku napata ujumbe huo.kwa kweli kifo cha mzee Ayo kimenisikitisha sanaHabari wana JF
Wakati swala la kusajili kadi za simu kwa kitambulisho cha nida na alama za vidole unaingia nchini tulipewa umuhimu mbalimbali wa jambo ilo ikiwemo swala la usalama na kudhibiti utapeli kwa njia ya mtandao.
Nimeleta hoja hii kwani ni miaka sasa tangu swala la kujisajili kwa kutumia nida na alama za vidole uanze lakini bado tatizo la utapeli kwa njia ya mtandao umekuwa unaendelea kukua kwa kasi sana. Najiuliza mfumo huu wa usajili umekwama wapi kuwakamata matapeli awa ambao wanawaumiza baadhi ya watanzania na ata kusababisha umauti kwa wengine
Je hizo kadi za simu zinazotuma jumbe mbalimbali za utapeli zinasajiliwa kwa namna gani tofauti na hii iliyoelekezwa na serikali? Na kama zinasajiliwa kwa alama za vidole na nida kwanini watu awa wamekuwa hawakamatwi wakati utambulisho wao unafahamika.
Wapo wanaosema vinatumika vitambulisho vya wananchi wengine bila wao kujua, lakini kama ni kweli iko hivyo kwanini hii mitandao ya simu haiwajibishwi kwa kuwa wao wanawafahamu vijana wao waliowapa vibali vya kusajili mtaani. Kwani line inayosajiliwa mtaani haina taarifa za wakala aliemsajili?
Ninaomba kufahamu kwanini utaratibu huu wa usajili haujafanikiwa kwa kiwango kikubwa kutatua changamoto hii ya utapeli, lakini pia kushauri nini kifanyike.