Hapana, taarifa yako juu ya kufariki akiwa Sinza si za kweli. Mzee Beda Jonathan Amuli amefariki akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.Alikua anaishi Mbezi mwisho hapa stend mpya, ng'ambo ya Barabara pale kwenye fremu za maduka, ndipo kwa Bedda Amury, mara nyingi alikua anakaa pale anapata kilaji mzee wawatu taratiiibu. Ila amefia huko sinza kwenye nyumba yake nyingine.
Mkuu ni kweli, huyu Beda Amuli alikuwa ICON ya ujenzi wa nyumba na Architecture nchini.RIP,tena miaka hiyo walikuwa wanachora kwa pencil,hapakuwa na sofware za siku hizi za kuchora kwa computer na kwa muda mmfupu,imagine mtu anachora ramani ya soko kama kariakoo kwa mkono na rula,hoteli kama kilimanjaro kwa penseli,kwa kweli ni kipaji cha aina yake.Mwenye detail zaidi za huyu Icon wa architecture atujuze,mmesema alikuwa kampuni ya Kiisrael?ya wapi ?kafa ana umri gani? kafia wapi ?kazi zake za mwisho ni zipi? etc etc
Jina sahihi la marehemu ni "Beda Jonathan Amuli".Alikua anaishi Mbezi mwisho hapa stend mpya, ng'ambo ya Barabara pale kwenye fremu za maduka, ndipo kwa Bedda Amury, mara nyingi alikua anakaa pale anapata kilaji mzee wawatu taratiiibu. Ila amefia huko sinza kwenye nyumba yake nyingine.
Ulivyokutana nae tu huyo stivu (Steve) ukajua mjanja mjanja, eti?? Usipende kumchafulia mtu jina pasipo kumjua undani wake, your point is irrelevant.Tulikutana na mwanae Stiv mjanja mjanja sana
Yeah, ni Bedda Amury, Mzee kutoka Masasi, moja ya Architects wa mwanzo kabisa hapa Tamzania.Inawezekana ila aliechora ramani ni che Bedda Amury.
Unategemea robot za Lumumba zikuelewe?Ni yupi kati ya hao wawili?
Je alikuwa anaishi wapi?
Msipende kusifia merehemu,sifia mtu akiwa hai!
Utaona asaivi Mtu kama TUNDU LISSU ni mwanasheria anayesaidia sana utumgwaji wa sheria bungeni na kukosekana kwake mmeona Masheria ya Kodi na Miamala ya simu benki,mara sjui ya ubakaji wanafunzi hayaeleweki,angekuwepo bungeni je?
Sasa mnasubiri akienda zake Mbinguni ndo watu ooh,tuache siasa ,sijui u ccm huyu jamaa alikuwa hazina,alisaidia sana,oooh spika analia kumbe u afiki tu,Tambua na mpe mtu credit zake akiwa hai.
Kuisoma historia yake ile kampuni ni ya Waisrael yeye ndiye aliye kuwa Technical person aliyechora!Inawezekana ila aliechora ramani ni che Bedda Amury.
Kwa Sisis wa Zamzni tunamfahamu saana kwani ndio watu/ wasomi wa mwanzo waliopractice ki-private. iLA NATUARLLY ALIKUWA MTU HUMBLE SANA ASIYEPENDAA MEDIA NADHANI NDIO MAANA alikuwa hajulikani saaana wengine tunaijua moaka nyimba yake Mororgoror Road- maeneo ya Kibaha.Mimi hilo jina ndo kwanza kulisikia. Mtu anapofariki mnaanza kumtambulisha vitu vizuri alivyofanya. Nadhani ni vizuri mtu kutangaziwa vitu vyake vizuri ambavyo amefanya akiwa bado hai ili wengi tumfahamu kabla, sio amefariki ndo mnaanza kututangazia sifa zake, je kama mngemtangaza kabla tungehitaji taaluma yake?
Ndio yupi kati ya hao wawili? Huyo ndio alitakiwa apewe kazi ta kuchora terminal III ya airport. Sio tule tuvichuguu tulitojengwa pale...
Architect B.J. Amuli alipata Elimu yake ya Architecture nchini Israel kabla ya kufungua firm yake ya B.J. Amuli alifanyakazi kama partner wa kampuni ikiitwa Zevet in early 70sInawezekana hata ile Nkrumah hall ya UDSM pia alihusika huyu. Maana naskia walijenga waisrael sasa unaweza kuta ndo hiyo hiyo kampuni aliyekuwamo