Mzee Benjamin Mkapa asherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kuzindua kitabu chake cha 'My Life, My Purpose'

Siku ukiniona nimekesha humu jua sko kibaruani mkuu..napumzika...ukiniona sikonjua nahangaika na maish yangu..mimi siasa ni passion!

Hapana, sikumaanisha kuwa usishinde JF au kuwa online. Hayo ni mambo binafsi na ntakua mtovu wa nidham kukupangia nini cja kufanya.

Nilichokutahadharisha ni kuhusu mambo sojui ya mchuchuma, kiwira, epa, escrow..hayo unaweza kuota mvi siku si zako.
 
Hapana, sikumaanisha kuwa usishinde JF au kuwa online. Hayo ni mambo binafsi na ntakua mtovu wa nidham kukupangia nini cja kufanya.

Nilichokutahadharisha ni kuhusu mambo sojui ya mchuchuma, kiwira, epa, escrow..hayo unaweza kuota mvi siku si zako.


Nilikuelewa sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…