Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mzee Joseph Waryoba Butiku, Mkurugenzi mtendaji na rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere amshangaa Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Camilius Wambura "anasubiri nini kujiuzulu?" kufuatia matukio ya kuuawa na kutekwa kwa raia nchini.
Soma pia:
=> Ni nani hasa anaamuru watu kutekwa na kupotezwa?
=> Kwanini tatizo la Watu kutekwa lipo nchi za Kidemokrasia Tanzania na Kenya ila nchi za wanajeshi Uganda, Burundi na Rwanda halipo?
=> Watanzania - vifo vitokanavyo na kutekwa, utekaji na kujeruhi watu - nini kifanyike?
=> Kuuawa kwa Mzee Ally Kibao hakutafifisha jitihada za CHADEMA kuikomboa nchi
=> Ni nani hasa anaamuru watu kutekwa na kupotezwa?
=> Kwanini tatizo la Watu kutekwa lipo nchi za Kidemokrasia Tanzania na Kenya ila nchi za wanajeshi Uganda, Burundi na Rwanda halipo?
=> Watanzania - vifo vitokanavyo na kutekwa, utekaji na kujeruhi watu - nini kifanyike?
=> Kuuawa kwa Mzee Ally Kibao hakutafifisha jitihada za CHADEMA kuikomboa nchi