Sijaelewa yani Chadema ndio walipiga spana, au uhuru hakupewa Chadema na alianza kujiona yuko huru ACT?!Kumbuka siasa zilipigwa spaan kwa miaka minne na nusu. Kule Chadema mzee alikua haamini kama Kuna ka maji uhuru la kuongea. Amefika ACT alijia sasa niko huru kuongea.
Fafanua nikuelewe tahadhari.