singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,536
Hivi karibuni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema hatua ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusogeza mbele tarehe ya Kura ya Maoni ya Katiba inayopendekezwa, iwe mwanzo wa kutafakari na ikiwezekana kurejesha mambo ya msingi yaliyoondolewa katika Rasimu ya Pili ya Katiba iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
Bwana Butiko ameyasema hayo baada Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva alitangaza kusogezwa mbele kwa mchakato huo wa kura ya maoni.
Butiku aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyokuwa chini ya Jaji Joseph Warioba, alisema kuahirishwa kwa upigaji Kura ya Maoni ni nafasi pekee kwa NEC kujipanga upya na kuhakikisha wananchi wanaandikishwa kwa kiwango kikubwa katika daftari la kudumu la wapiga kura.
Alisema pia ni wakati mwafaka kuwapo kwa majadiliano ya kina ili kuangalia nini kinatakiwa kirudishwe kutoka katika vile vilivyoenguliwa kwenye Rasimu ya Pili ya Katiba kama itawezekana.
Maswali yangu kwa Butiku wanataka kutuamisha kuwa kila walichoandika katika rasimu ya pili ya katiba ndicho sahihi kwa watanzania na hazikustahili kuondolewa?Kama rasimu ya kina warioba haikustahili kuongezwa neon au kupunguzwa neno kwani warioba na tume yake waliupeleka bungeni na badala yake ungeletwa kwetu wananchi tukafanya maamuzi?
Mzee wangu Butiko kwanini kila sku mmekuwa nyie tu wa taasisi ya mwalimu ndio mnaleta hayo mashiniko hali ya kuwa katika tume hamkuwa peke yenu? Au mlikuwa mmebeba ajenda nyingine nyuma ya pazia ambayo watanzania hatuijui ndio maana mmekuwa manalalama kila leo wakati wenzanu wametulia.
Mzee wangu Butiku kazi yenu ilikuwa ni kukusanya maoni baada ya hapo kuyapeleka katika ngazi iliyofuta ambalo ni bunge na baada ya bunge sasa ni zamu yetu wananchi kwa mujimu ya sheria na sasa mtuache tufanye maamuzi yetu wenyewe sisi wananchi
Bwana Butiko ameyasema hayo baada Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva alitangaza kusogezwa mbele kwa mchakato huo wa kura ya maoni.
Butiku aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyokuwa chini ya Jaji Joseph Warioba, alisema kuahirishwa kwa upigaji Kura ya Maoni ni nafasi pekee kwa NEC kujipanga upya na kuhakikisha wananchi wanaandikishwa kwa kiwango kikubwa katika daftari la kudumu la wapiga kura.
Alisema pia ni wakati mwafaka kuwapo kwa majadiliano ya kina ili kuangalia nini kinatakiwa kirudishwe kutoka katika vile vilivyoenguliwa kwenye Rasimu ya Pili ya Katiba kama itawezekana.
Maswali yangu kwa Butiku wanataka kutuamisha kuwa kila walichoandika katika rasimu ya pili ya katiba ndicho sahihi kwa watanzania na hazikustahili kuondolewa?Kama rasimu ya kina warioba haikustahili kuongezwa neon au kupunguzwa neno kwani warioba na tume yake waliupeleka bungeni na badala yake ungeletwa kwetu wananchi tukafanya maamuzi?
Mzee wangu Butiko kwanini kila sku mmekuwa nyie tu wa taasisi ya mwalimu ndio mnaleta hayo mashiniko hali ya kuwa katika tume hamkuwa peke yenu? Au mlikuwa mmebeba ajenda nyingine nyuma ya pazia ambayo watanzania hatuijui ndio maana mmekuwa manalalama kila leo wakati wenzanu wametulia.
Mzee wangu Butiku kazi yenu ilikuwa ni kukusanya maoni baada ya hapo kuyapeleka katika ngazi iliyofuta ambalo ni bunge na baada ya bunge sasa ni zamu yetu wananchi kwa mujimu ya sheria na sasa mtuache tufanye maamuzi yetu wenyewe sisi wananchi