Mzee Cheyo aelewe Chawa wa kisiasa siyo lazima awe Binadamu hata Taasisi kama Chama chake ni CHAWA wa CCM

Mzee Cheyo aelewe Chawa wa kisiasa siyo lazima awe Binadamu hata Taasisi kama Chama chake ni CHAWA wa CCM

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mzee Cheyo wa UDP anahmia Machawa kama akina Lucas kuteuliwa Kuwa Wakuu wa wilaya, Mzee Cheyo anajisahaulisha Kuwa zipo Taasisi nyingi za Umma na binafsi ambazo ni chawa wa CCM kikiwemo Chama chake Cha UDP

Cheyo atoe kwanza boriti Kwenye jicho lake ndipo akione kibanzi Kwenye jicho la Lucas 😂🔥

=================

Mwenyekiti wa Chama cha Siasa cha UDP, Mzee John Momose Cheyo, amesema kuelekea mwaka 2050 lazima Nchi ibadilishe mfumo wake wa kuwapata Viongozi hasa Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya, akikemea vikali kujipendekeza na kusifiasifia Viongozi (Uchawa) kuwa sifa ya Mtu kuteuliwa kwenye nafasi mbalimbali Serikalini.

Cheyo amesema hayo leo August 21, 2024 Jijini Dar es salaam wakati Baraza la Vyama vya Siasa lilipokutana kutoa maoni yao kuhusu dira ya maendeleo ya Taifa 2050 katika mkutano ulioandaliwa na Ofisi ya Rais Tume ya Mipango.

Soma Pia: Amos Makalla ahalalisha "Uchawa", asema ni utamaduni wa kibinadamu wa kushukuru



Ahsanteni Sana
 
Mzee Cheyo wa UDP anahmia Machawa kama akina Lucas kuteuliwa Kuwa Wakuu wa wilaya
Mzee Cheyo anajisahaulisha Kuwa zipo Taasisi nyingi za Umma na binafsi ambazo ni chawa wa CCM kikiwemo Chama chake Cha UDP

Cheyo atoe kwanza boriti Kwenye jicho lake ndipo akione kibanzi Kwenye jicho la Lucas 😂🔥

Mwenyekiti wa Chama cha Siasa cha UDP, Mzee John Momose Cheyo, amesema kuelekea mwaka 2050 lazima Nchi ibadilishe mfumo wake wa kuwapata Viongozi hasa Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya, akikemea vikali kujipendekeza na kusifiasifia Viongozi (Uchawa) kuwa sifa ya Mtu kuteuliwa kwenye nafasi mbalimbali Serikalini.

Cheyo amesema hayo leo August 21, 2024 Jijini Dar es salaam wakati Baraza la Vyama vya Siasa lilipokutana kutoa maoni yao kuhusu dira ya maendeleo ya Taifa 2050 katika mkutano ulioandaliwa na Ofisi ya Rais Tume ya Mipango.


Ahsanteni Sana
Endelea hivyo hivyo kutoa madini! Siku nyingine ugimbi wa asubuhi huwa unaharibu ubongo wako 👍🤓🤠
 
Mzee Cheyo wa UDP anahmia Machawa kama akina Lucas kuteuliwa Kuwa Wakuu wa wilaya
Mzee Cheyo anajisahaulisha Kuwa zipo Taasisi nyingi za Umma na binafsi ambazo ni chawa wa CCM kikiwemo Chama chake Cha UDP

Cheyo atoe kwanza boriti Kwenye jicho lake ndipo akione kibanzi Kwenye jicho la Lucas 😂🔥
=============================
Mwenyekiti wa Chama cha Siasa cha UDP, Mzee John Momose Cheyo, amesema kuelekea mwaka 2050 lazima Nchi ibadilishe mfumo wake wa kuwapata Viongozi hasa Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya, akikemea vikali kujipendekeza na kusifiasifia Viongozi (Uchawa) kuwa sifa ya Mtu kuteuliwa kwenye nafasi mbalimbali Serikalini.

Cheyo amesema hayo leo August 21, 2024 Jijini Dar es salaam wakati Baraza la Vyama vya Siasa lilipokutana kutoa maoni yao kuhusu dira ya maendeleo ya Taifa 2050 katika mkutano ulioandaliwa na Ofisi ya Rais Tume ya Mipango.

Soma Pia: Amos Makalla ahalalisha "Uchawa", asema ni utamaduni wa kibinadamu wa kushukuru


Ahsanteni Sana
Hili bumunda Makalla nalo ni chawa vile vile
 

Attachments

  • Screenshot_20240404-141029~2.jpg
    Screenshot_20240404-141029~2.jpg
    122 KB · Views: 5
Mzee Cheyo wa UDP anahmia Machawa kama akina Lucas kuteuliwa Kuwa Wakuu wa wilaya
Mzee Cheyo anajisahaulisha Kuwa zipo Taasisi nyingi za Umma na binafsi ambazo ni chawa wa CCM kikiwemo Chama chake Cha UDP

Cheyo atoe kwanza boriti Kwenye jicho lake ndipo akione kibanzi Kwenye jicho la Lucas 😂🔥
=============================
Mwenyekiti wa Chama cha Siasa cha UDP, Mzee John Momose Cheyo, amesema kuelekea mwaka 2050 lazima Nchi ibadilishe mfumo wake wa kuwapata Viongozi hasa Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya, akikemea vikali kujipendekeza na kusifiasifia Viongozi (Uchawa) kuwa sifa ya Mtu kuteuliwa kwenye nafasi mbalimbali Serikalini.

Cheyo amesema hayo leo August 21, 2024 Jijini Dar es salaam wakati Baraza la Vyama vya Siasa lilipokutana kutoa maoni yao kuhusu dira ya maendeleo ya Taifa 2050 katika mkutano ulioandaliwa na Ofisi ya Rais Tume ya Mipango.

Soma Pia: Amos Makalla ahalalisha "Uchawa", asema ni utamaduni wa kibinadamu wa kushukuru


Ahsanteni Sana
LEO UMEONGEA POINT
 
Mzee Cheyo wa UDP anahmia Machawa kama akina Lucas kuteuliwa Kuwa Wakuu wa wilaya
Mzee Cheyo anajisahaulisha Kuwa zipo Taasisi nyingi za Umma na binafsi ambazo ni chawa wa CCM kikiwemo Chama chake Cha UDP
Na kile cha chapa ya jogoo
Sijui tetea wake ni nani?
 
😂😂😂

Uliposikia J J Mnyika Kajiuzulu uliugua tumbo la ghafla 😂
Ilinistua kidogo, lkn lolote linaeza kutokea. msigwa naye alinitetemesha lkn baada ya kuona anyoendelea kuyasema nimem flush kwenye memory zangu, kumbe kulikuwa na takataka Chadema limejificha.
CCM kumeoa, mavi kabisa ni kuwa watu wako kule kwa vile kuna kugawa vyeo na sikuwa watu wana IMANI nayo kama ilivyo kwa chadema!
 
huyu mzee anakulasana ruzuku za CCM, inaonekanwa kama mama amemsahau kidogo
 
Back
Top Bottom