Mzee Cheyo: Inaonekana Serikali haina nia ya dhati kwenye suala la Katiba Mpya

Mzee Cheyo: Inaonekana Serikali haina nia ya dhati kwenye suala la Katiba Mpya

Siasa za Tanzania zinatia stress sana , kauli ya rais samia haikumpasa kuitoa kwa mtu kama yeye ambaye amekaa kwenye mchakato wa katiba mpya mwanzo mwisho anajua kipengele kilicho kwamisha, na anajua wapi palipaswa kuanzia na wala sio kuanza moja au kutoa elimu ambayo matumani kabisa wanaposwa kupata elimu hio hawatafika hata asilimia 10
 
Nimemsikia Nondo leo anahojiwa anajiliza tu kuwa serikali haijaweka time frame ya utekelezaji wa hayo makubaliano. Anataka kuonyesha wanapambana ili kupata mabadiliko, wakati CCM hawana dhamira ya dhati ya kutekeleza hayo wanayokubaliana. Ni kama wameshtuka kuwa CCM wanawasanifu.

CDM wamefanya jambo la maana kutohudhuria huo mkutano wa kupotezeana muda, maana wangesema hata CDM walishiriki hivyo vikao vya kihuni.
 
Back
Top Bottom