TANZIA Mzee David Butinini afariki dunia

TANZIA Mzee David Butinini afariki dunia

Captain 666

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2021
Posts
660
Reaction score
1,236
Mzee huyu maarufu ndani ya mkoa wa iringa mwanachama wa chadema na bingwa wa propaganda za kisiasa ameaga dunia .

Chadema watammiss Sana hasa ukizingatia kua pia alikua campaign manager wa Msigwa .

Rest easy baba
---

1691085974528.png

Mzee David Butinini enzi za uhai wake

Mchungaji Msigwa athibitisha kutokea kwa kifo cha Mzee Butinini

Mchungaji Msigwa - Nimempoteza mzee wangu , rafiki yangu , mshauri wangu Mwalimu wangu wa siasa , muasisi wa mageuzi IRINGA.

Mbuyu umeanguka , Maktaba imetoweka . Asante sana kwa mchango wako katika maisha yangu.

R I. P David Butinini.
 
Mzee huyu maarufu ndani ya mkoa wa iringa mwanachama wa chadema na bingwa wa propaganda za kisiasa ameaga dunia .

Chadema watammiss Sana hasa ukizingatia kua pia alikua campaign manager wa mheshimiwa msigwa .

Rest easy baba
Alikua na undugu na Duncan Butinini?
 
Mzee huyu maarufu ndani ya mkoa wa iringa mwanachama wa chadema na bingwa wa propaganda za kisiasa ameaga dunia .

Chadema watammiss Sana hasa ukizingatia kua pia alikua campaign manager wa mheshimiwa msigwa .

Rest easy baba
Huna picture
 
Hivi alikuwa na uhusiano wowote na aliyekuwa mshambuliaji nguli wa timu ya soka ya Reli ya Morogoro wakati ule ilipokuwa inajulikana kama kiboko ya vigogo au ni mfanano wa majina tu?
 
Hivi alikuwa na uhusiano wowote na aliyekuwa mshambuliaji nguli wa timu ya soka ya Reli ya Morogoro wakati ule ilipokuwa inajulikana kama kiboko ya vigogo au ni mfanano wa majina tu?
Dugu moja
 
Back
Top Bottom