TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Unazungumzia 2M? Yote ya nini, witty akipigwa Full tank mbili tu anatoa zaga bila kipengele [emoji23][emoji23][emoji23] hamna mwanamke mgumu mbele ya pesa! Kuna ushawishi wa pekee kwenye hela.

[emoji23][emoji23][emoji23] Naliona sana hili huku uraiani yaani mwanamke mnunulie chakula kizuri, mnunulie vi heinekein chupa chache na mwisho mpakie katika vitz hata kama ni ya kuazima.

Ukipata upenyo upaki sehemu yoyote yenye giza na hakika unakula mzigo kwenye siti ya gari [emoji23]
 
This is the call of nature....... hakuna kuacha mpaka kuingia kaburini!
 
Saizi tutakuwa tunakwepa vizee japo kuhonga vipo vizuri nimekumbuka mmoja hata kutembea ilikuwa shughuli afu alikuwa na kitambi mwenyewe anahema juuu juu 😀😀😀
 
...... this is the call of nature....... hakuna kuacha mpaka kuingia kaburini!

Safi sana! Sisi waombolezaji tupo and we promise tutakuwepo mpaka mwisho!

Call of nature my foot! Endeleeni kupokea hiyo “call” tuendelee kujifunza “why men die earlier before women!”
 
Nisogezeeni hiyo picha nione asije kuwa mjukuu wangu
 

Sex si natural urge? Kwani tunalazimisha? Si unasikia kwa akili, mwili, na hasa maeneo yanauozunguka mapaja kuna kitu unataka? The only problem hapo ni kuendekeza uzinzi nje ya ndoa at that age. Mkewe yupo, hako kabinti ambacho hukapandi bila kutumia boosters kanini?
 

Uko sahihi Chief. Siku tukikumbuka kwamba tunao uwezo wa kuyatawala mazingira na sio mazingira yatutawale, tutapiga hatua kiasi chake.
 
Kuna mobile transactions siku hizi bro,unakwama wapi??:halaf unawaamini vp polisi kuwa kilichokuwepo ndo hicho walichoswma?? Kma Kuna dola 500 waliificha je??
Reading between the lines, that was my message. Hela imefichwa
 
Sasa vijana wamejichokea na wengine wamerudisha mira kwa kipa, acha wazee wajilie.
Si bora wajilie vijana tu mana wazee wenyewe ni mwendo wa kutembelea choki mwisho wa siku wakina neema kupewa kesi za mauaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…