TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Kwahiyo hatapelekwa mahakamani?
 
Maninaa[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji23]santee[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Unazungumzia 2M? Yote ya nini, witty akipigwa Full tank mbili tu anatoa zaga bila kipengele [emoji23][emoji23][emoji23] hamna mwanamke mgumu mbele ya pesa! Kuna ushawishi wa pekee kwenye hela.
We nyau kweli[emoji76][emoji76][emoji76]

Mi nimehongwa zaidi ya hizo takataka sijui 2M na uchi sijatoa

Kutoa uchi ni maamuzi sio pesa! Hii nazungumzia upande wangu!

Narudia K naitoa kwa maamuzi yangu sio eti unibabaishe na hela, kama ni hela na mimi ninazo mfyuuuu
 
Sasa nyie wenyewe papuchi mnataka mtuuzie, tugeeni bure tuchachuane kibingwa [emoji23]!!! Yani imefikia stage kumiliki demu ni kama umekopa HESLB. Marejesho kila saa.
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787] hakuna K ya bure amini hivo mpaka siku unaondoka humu duniani!

Na hali inazidi kuwa tete

Extrovert
 
Hizi ndio zitakuwa zako, kuwala kwenye kivitz chako!

Ila wanawake wengi tu wanajiheshimu sana tu...
 
Saizi tutakuwa tunakwepa vizee japo kuhonga vipo vizuri nimekumbuka mmoja hata kutembea ilikuwa shughuli afu alikuwa na kitambi mwenyewe anahema juuu juu [emoji3][emoji3][emoji3]
Ndo alikuwa anakumbato??[emoji15][emoji15][emoji15][emoji16][emoji16]

Una roho ngumu, vitakuja vikufie japo vina mishiko isiyokuwa na bajeti[emoji1787][emoji1787][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…