TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Msiba huko wapi nimejikuta nimewiwa sana kwenda kumzika huyu Kamanda aliyefia kwenye vita ya wote
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ajali kazini hii, ila fedheha mno kwa familia yake. Huyu msichana wa kipare alikuwa akifanya kazi ktk frem pale Goba ambazo ni mali ya huyu mzee baba kamanda.
Duh kwa Iyo siku uyo dada ukute aliaga anaenda kumwangalia mgonjwa kumbe anaenda kibla mwenyewe
 
Baba mtoto msumari kweli yani, hio chuma ya Vieite ndio ulimbo wao, hapo uongei mengi. Unashusha kioo na kukunja kidole cha shahada tu,,,unaskia mimi? eeh wewe njoo upande nikusogeze kidogo.
hahahahahhahahaa
 
Huyu mzee hii ni tabia yake toka ujanani

Alishazoea kuzurura g.h na visichana huyu

haya ndo malipo yake
 
Bado mzee ndosi .. ana miaka 70 + anakula vitoto vya miaka 25 . Anakaa kibaha. Lodge anaenda kutafuta tabata. Juzi kamtumia demu wangu 70,000 alafu anajifanya kakosea namba. Naamini siku zake na yey zinahesabika
πŸ˜‚πŸ˜‚ dua la kuku hilo
 
Ajali kazini hii, ila fedheha mno kwa familia yake. Huyu msichana wa kipare alikuwa akifanya kazi ktk frem pale Goba ambazo ni mali ya huyu mzee baba kamanda.
Huyu dada alikuwa anauza bidhaa gani mkuu maana kama niliwahi kumuona hapa mjini. Vipi hizi picha ni za kwake halisi, kuna rafiki yake anamtetea hapa nataka nimpe ushahidi wa kutosha.
 
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787] hakuna K ya bure amini hivo mpaka siku unaondoka humu duniani!

Na hali inazidi kuwa tete

Extrovert
Mnatugonga retention fees sana hadi tumeamua kuwaachia washua sasa 😝
 
Kuna wajinga madem wakiwaomba 100,000 wanakata mawasiliano. Wasichokijua ni kwamba kwa wataalam hiyo laki ni kama kujiunga na bundle tu. Zinafuata zote unakua unapiga tu
 
Mwanamke ukimlisha akanywa na akashiba vizuri una uhuru wa kumfanyia chochote...Huwa wanakuwa submissive automatically..
 
Amua basi unitunuku mie yatima 😊 witty
 
kusema ni rahisi sana yaani nisimzike mshua kwa heshima zote kisa kafa na Neema pisi kali,labda mama siyo mimi mtoto wa kiume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…