[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Msiba huko wapi nimejikuta nimewiwa sana kwenda kumzika huyu Kamanda aliyefia kwenye vita ya wote
Duh kwa Iyo siku uyo dada ukute aliaga anaenda kumwangalia mgonjwa kumbe anaenda kibla mwenyeweAjali kazini hii, ila fedheha mno kwa familia yake. Huyu msichana wa kipare alikuwa akifanya kazi ktk frem pale Goba ambazo ni mali ya huyu mzee baba kamanda.
hahahahahhahahaaBaba mtoto msumari kweli yani, hio chuma ya Vieite ndio ulimbo wao, hapo uongei mengi. Unashusha kioo na kukunja kidole cha shahada tu,,,unaskia mimi? eeh wewe njoo upande nikusogeze kidogo.
Point yangu haipo hapo
ππ dua la kuku hiloBado mzee ndosi .. ana miaka 70 + anakula vitoto vya miaka 25 . Anakaa kibaha. Lodge anaenda kutafuta tabata. Juzi kamtumia demu wangu 70,000 alafu anajifanya kakosea namba. Naamini siku zake na yey zinahesabika
Na Safari hii dua la kuku litampata mweweππ dua la kuku hilo
Huyu dada alikuwa anauza bidhaa gani mkuu maana kama niliwahi kumuona hapa mjini. Vipi hizi picha ni za kwake halisi, kuna rafiki yake anamtetea hapa nataka nimpe ushahidi wa kutosha.Ajali kazini hii, ila fedheha mno kwa familia yake. Huyu msichana wa kipare alikuwa akifanya kazi ktk frem pale Goba ambazo ni mali ya huyu mzee baba kamanda.
Sasa dharau gani tena jameniiii? Hivi kati ya kinu na mtwangio kipi kinawahi kudedi?Acha dharau mkuu itakucost
Nawaheshimu wanawake wa Kiparee.
Huyu mzee inasemekana aliwahi kushika nyadhifa kubwa serikalini ila akala panga kwa ufujaji wa fwedha za umma.mzee kafia kwenye raha hivyo hakuna aibu yeyote
Sasa dharau gani tena jameniiii? Hivi kati ya kinu na mtwangio kipi kinawahi kudedi?
Kuna wajinga madem wakiwaomba 100,000 wanakata mawasiliano. Wasichokijua ni kwamba kwa wataalam hiyo laki ni kama kujiunga na bundle tu. Zinafuata zote unakua unapiga tuNow days mademu wa kishua wanaongoza kudanga kuliko Hawa wa buza...
Kingine huyo mzee nahisi hiyo papuchi alikuwa anaipiga frequently.. na sheria inasema Kama una mke afu una kimada ambae ushamwambia umeoa kama Mara ya kwanza ulipiga kwa 300k, Mara ya pili inaweza kuwa 200k na jinsi mnavyozidi zoeana ndivyo hela inazidi pungua huwa inafikia kipindi unakula Hadi mzgo kwa mkopo
Namimi niko kwenye kundi la hao wajinga. Inasikitisha sana yani πππKuna wajinga madem wakiwaomba 100,000 wanakata mawasiliano. Wasichokijua ni kwamba kwa wataalam hiyo laki ni kama kujiunga na bundle tu. Zinafuata zote unakua unapiga tu
Hivi huyu mtoto kati ya 37,000 iliyobaki angepata mgao wa shingapi[emoji848]Lipo la kujifunza kwa vijana haiwezekani mdada mzuri namna hiyo kimuonekano kuwa na mahusiano na mzee wa miaka 80 huku vijana mumejaa tele. Teh.
Mwanamke ukimlisha akanywa na akashiba vizuri una uhuru wa kumfanyia chochote...Huwa wanakuwa submissive automatically..[emoji23][emoji23][emoji23] Naliona sana hili huku uraiani yaani mwanamke mnunulie chakula kizuri, mnunulie vi heinekein chupa chache na mwisho mpakie katika vitz hata kama ni ya kuazima.
Ukipata upenyo upaki sehemu yoyote yenye giza na hakika unakula mzigo kwenye siti ya gari [emoji23]
Amua basi unitunuku mie yatima π wittyWe nyau kweli[emoji76][emoji76][emoji76]
Mi nimehongwa zaidi ya hizo takataka sijui 2M na uchi sijatoa
Kutoa uchi ni maamuzi sio pesa! Hii nazungumzia upande wangu!
Narudia K naitoa kwa maamuzi yangu sio eti unibabaishe na hela, kama ni hela na mimi ninazo mfyuuuu
kusema ni rahisi sana yaani nisimzike mshua kwa heshima zote kisa kafa na Neema pisi kali,labda mama siyo mimi mtoto wa kiume.Ningekuwa yeye mke nisingetoa hata chozi moja. Hata angekuwa baba yangu nisingetoa hata chozi moja. Tena tungemzika kawaida mno. Akitoka mortuary ni moja kwa moja makaburini au safari mkoani Kwanza kama ni mkristo misa hatosomewa wala ibada ya mzee wa kanisa au katekista. Ni aibu kubwa mno.