TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

dah, Nzi kafia kidondani.
 
Unajua mzee alikua anajua Ile style moja tu bwana juu Bibi chini, hakujua siku hizi kabla hujakaa sawa unastuka mwenzio anakula koni, hujatulia unakuta vibuyu viko mdomoni, hujavua nguo unalambishwa chumvi kabla hujauliza kulikoni unapigiwa simu na laini ya tigo.
Kuna kupona hapo?
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
unakufa na kufufuka hapo hapo.
 
Saizi tutakuwa tunakwepa vizee japo kuhonga vipo vizuri nimekumbuka mmoja hata kutembea ilikuwa shughuli afu alikuwa na kitambi mwenyewe anahema juuu juu 😀😀😀
.....mwisho wa game ilikuwaje? Alizimika au alifia kwa kifua?
 
Kafa kiume. piga miti mtoto wa yoyote wa like aliyekaribu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…